Kuna jambo linanishangaza kidogo, embu tusaidiane.
Kila siku naona ziara za kutembelea ujenzi wa uwanja mpya wa Arusha, ila sijawahi kuona wala kusikia maendeleo ya uwanja mpya wa Dodoma. Je, uwanja huo haupo katika plan za AFCON?
Pia nina wasiwasi sana hizi ziara za uwanja wa Arusha...