Wakuu habari,
Hivi unapohitaji Passport kumbe ni Mpaka Uwe na safari, bila kuwa na safari hupati Passport, niliwahi pita pale Airport wakaniambia hivyo maafisa wa Uhamiaji, sasa hawaoni kama ni kuwaonea watu?
Hivi mfano inatokea mara paap umepata safari ghafla unatakiwa uondoke baada ya wiki...