Utaratibu wa malipo ya N-CARD Umeonesha kufeli vibaya katika Vivuko, Waziri Chunguza TEMESA kuna kero za makusudi

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,279
21,396
Wakati UDART wameonesha waziwazi kufeli juu ya matumizi ya CARD kwa maksudi!

TEMESA nao pasipo kujua ama kwa maslahi yao binafsi, Wameingia kichwa kichwa katika matumizi ya malipo ya N-CARD bila weledi!

Abiria wote wameelekezwa kuhakikisha wanatumia N-CARD ili kuweza kulipia kivuko, Hivyo wametangaziwa Ukomo wa matumizi ya tiketi za kawaida ifikapo tarehe15/5

Jambo ambalo limechangia idadi kubwa ya abiria kununua na kusajili CARD kiasi cha kuibua kero kubwa zifuatazo;
  1. Mashine za kuscan Card Zipo mbili tu kwa kila upande, na mda wa kusubiria kuscan kwa kila mtu mmoja ni sekunde 3-4 ( Delay Scan Cycle time), Hivyo kwa uwezo wa kivuko cha MV magononi watu 2000, Maana yake watu hao wataingia kwenye kivuko kwa sekunde 8000sec ukiachilia zile za magari na mikokoteni! Mda huo ni sawa na dakika 134, kwa mashine mbili maana yake watavuka kwa dakika 67 sawa na lisaa limoja na dakika 7! Kwa maana hiyo abiria watatumia mda mwingi ili kuvuka kuliko mtu anaesafiri na Boti kutoka Dar kwenda Zanzibar! Ni ujinga mkubwa sana
  2. Namna ya kuongeza na kuangalia salio kwenye N-CARD ni lazima mtu awatafte wao wenyewe, Huwezi kurecharge kwa mitandao ya simu.
  3. Kiwango cha kurecharge CARD lazima kianzie 1000, jambo ambalo linawatenga wale wasiyo na elfu moja zaidi ya kupewa Mia mbili ya kuvukia kila siku! (kama mia mbili iliwapa tabu hiyo elfu moja wataipata wapi? Kwanini kiwango kisingekuwa kuanzia 200?).
  4. Mfumo huo wa N-CARD umekuwa ukifyeka pesa za abiria bila taarifa inapotokea hitilafu za kiufundi ( January mfumo huo ulikomba pesa zote kwenye N -Card za wateja pasipo taarifa na kila aliyelalamika walimuahidi kumrejeshea pasipo kufanya hivyo.
  5. Ulazima wa N-CARD unamlazimisha hata anaevuka kwa siku moja awe na Kadi kwa mujibu wa maelezo kwenye tangazo lao
Pamoja na lengo zuri la kupunguza kero na wizi, Mfumo huo unaonekana kuna na kero maradufu.

Waziri fuatilia haraka utendaji wa N-CARD (Busy hour) TEMESA ili baadae USISIKITIKE Kama maamuzi ya TFF
 
Nilishangaa sana mwendokasi walivojifelisha zile card. Aisee janja janja makazini haziwezi kuisha.

idea ya izo card za kivukoni ni nzuri, ingawa sijaziona kwani zimewekwa unapopanda au unapoenda waiting area? Nadhani kama zimewekwa getini waiting area hazitakua na usumbufu sana.
 
Nilishangaa sana mwendokasi walivojifelisha zile card. Aisee janja janja makazini haziwezi kuisha.

idea ya izo card za kivukoni ni nzuri, ingawa sijaziona kwani zimewekwa unapopanda au unapoenda waiting area? Nadhani kama zimewekwa getini waiting area hazitakua na usumbufu sana.
Mwendokasi wameua CARD ili wapige zile hela za nauli! Nilijua hilo lingefanyika tu kimkakati wabongo wengi ni wapiga dili hasa akipewa wadhifa. Huwa wanapenda sana loopholes ndio ulaji wao ulipo hivyo watajitahidi wayeyushe gasket maker zote.

Nauli anazoiba pale POS ni millions
 
Nilishangaa sana mwendokasi walivojifelisha zile card. Aisee janja janja makazini haziwezi kuisha.

idea ya izo card za kivukoni ni nzuri, ingawa sijaziona kwani zimewekwa unapopanda au unapoenda waiting area? Nadhani kama zimewekwa getini waiting area hazitakua na usumbufu sana.
Ziko mbili tu kila upande, ebu fikilia lile nyomi la watu watavuka kwa mda
 
Wakati UDART wameonesha waziwazi kufeli juu ya matumizi ya CARD kwa maksudi!

TEMESA nao pasipo kujua ama kwa maslahi yao binafsi, Wameingia kichwa kichwa katika matumizi ya malipo ya N-CARD bila weledi!

Abiria wote wameelekezwa kuhakikisha wanatumia N-CARD ili kuweza kulipia kivuko, Hivyo wametangaziwa Ukomo wa matumizi ya tiketi za kawaida ifikapo tarehe15/5

Jambo ambalo limechangia idadi kubwa ya abiria kununua na kusajili CARD kiasi cha kuibua kero kubwa zifuatazo;
  1. Mashine za kuscan Card Zipo mbili tu kwa kila upande, na mda wa kusubiria kuscan kwa kila mtu mmoja ni sekunde 3-4 ( Delay Scan Cycle time), Hivyo kwa uwezo wa kivuko cha MV magononi watu 2000, Maana yake watu hao wataingia kwenye kivuko kwa sekunde 8000sec ukiachilia zile za magari na mikokoteni! Mda huo ni sawa na dakika 134, kwa mashine mbili maana yake watavuka kwa dakika 67 sawa na lisaa limoja na dakika 7! Kwa maana hiyo abiria watatumia mda mwingi ili kuvuka kuliko mtu anaesafiri na Boti kutoka Dar kwenda Zanzibar! Ni ujinga mkubwa sana
  2. Namna ya kuongeza na kuangalia salio kwenye N-CARD ni lazima mtu awatafte wao wenyewe, Huwezi kurecharge kwa mitandao ya simu.
  3. Kiwango cha kurecharge CARD lazima kianzie 1000, japo ambalo linawatenga wale wasiyo na elfu moja zaidi ya kupewa Mia mbili ya kuvukia kila siku! (kama mia mbili iliwapa tabu hiyo elfu moja wataipata wapi? Kwanini kiwango kisingekuwa kuanzia 200?).
  4. Mfumo huo wa N-CARD umekuwa ukifyeka pesa za abiria bila taarifa inapotokea hitilafu za kiufundi ( January mfumo huo ulikomba pesa kwenye N -Card pasipo taarifa na kila aliyelalamika walimuahidi kumrejeshea pasipo kufanya hivyo.
  5. Ulazima wa N-CARD unamlazimisha hata anaevuka kwa siku moja awe na Kadi kwa mujibu wa maelezo kwenye tangazo lao
Pamoja na lengo zuri la kupunguza kero na wizi, Mfumo huo utaongeza kero maradufu.
Waziri fuatilia haraka utendaji wa N-CARD Busy hour TEMESA ili baadae USISIKITIKE Kama maamuzi ya TFF

E0NhMwdXIAAW0HL.jpeg
 
Mwendokasi wameua CARD ili wapige zile hela za nauli! Nilijua hilo lingefanyika tu kimkakati wabongo wengi ni wapiga dili hasa akipewa wadhifa. Huwa wanapenda sana loopholes ndio ulaji wao ulipo hivyo watajitahidi wayeyushe gasket maker zote.

Nauli anazoiba pale POS ni millions
Ndo zao
 
Wakati UDART wameonesha waziwazi kufeli juu ya matumizi ya CARD kwa maksudi!

TEMESA nao pasipo kujua ama kwa maslahi yao binafsi, Wameingia kichwa kichwa katika matumizi ya malipo ya N-CARD bila weledi!

Abiria wote wameelekezwa kuhakikisha wanatumia N-CARD ili kuweza kulipia kivuko, Hivyo wametangaziwa Ukomo wa matumizi ya tiketi za kawaida ifikapo tarehe15/5

Jambo ambalo limechangia idadi kubwa ya abiria kununua na kusajili CARD kiasi cha kuibua kero kubwa zifuatazo;
  1. Mashine za kuscan Card Zipo mbili tu kwa kila upande, na mda wa kusubiria kuscan kwa kila mtu mmoja ni sekunde 3-4 ( Delay Scan Cycle time), Hivyo kwa uwezo wa kivuko cha MV magononi watu 2000, Maana yake watu hao wataingia kwenye kivuko kwa sekunde 8000sec ukiachilia zile za magari na mikokoteni! Mda huo ni sawa na dakika 134, kwa mashine mbili maana yake watavuka kwa dakika 67 sawa na lisaa limoja na dakika 7! Kwa maana hiyo abiria watatumia mda mwingi ili kuvuka kuliko mtu anaesafiri na Boti kutoka Dar kwenda Zanzibar! Ni ujinga mkubwa sana
  2. Namna ya kuongeza na kuangalia salio kwenye N-CARD ni lazima mtu awatafte wao wenyewe, Huwezi kurecharge kwa mitandao ya simu.
  3. Kiwango cha kurecharge CARD lazima kianzie 1000, japo ambalo linawatenga wale wasiyo na elfu moja zaidi ya kupewa Mia mbili ya kuvukia kila siku! (kama mia mbili iliwapa tabu hiyo elfu moja wataipata wapi? Kwanini kiwango kisingekuwa kuanzia 200?).
  4. Mfumo huo wa N-CARD umekuwa ukifyeka pesa za abiria bila taarifa inapotokea hitilafu za kiufundi ( January mfumo huo ulikomba pesa kwenye N -Card pasipo taarifa na kila aliyelalamika walimuahidi kumrejeshea pasipo kufanya hivyo.
  5. Ulazima wa N-CARD unamlazimisha hata anaevuka kwa siku moja awe na Kadi kwa mujibu wa maelezo kwenye tangazo lao
Pamoja na lengo zuri la kupunguza kero na wizi, Mfumo huo utaongeza kero maradufu.
Waziri fuatilia haraka utendaji wa N-CARD Busy hour TEMESA ili baadae USISIKITIKE Kama maamuzi ya TFF
Huo mfumo ni wa kipumbavu tu pia.
Nilikuwa na hiyo kadi yao, niliweka salio 9,000 niliposajili (around January); Nikatumia for like 2 weeks tu, kisha nikawa nimesafiri for like 2 months. Kuja kurudi, nascan inagoma; Nikawafuata kuangalia salio limeisha imebaki 0. Nikawaeleza mbona bado salio linatakiwa kuwepo la kutosha tu, ni kwamba nilisafiri tu for the past 2 months. Wakasema watafanyia kazi, wakapiga picha kadi yangu na kuchukua namba ya simu.... Wiki nzima ikapita, hola. Nikawafuata tena, wakafanya hivyo hivyo tena. nimeripoti zaidi ya mara nne, hakuna walilofanya. Waliniambia eti salio langu lilitumika na mtu mwingine kipindi nimesafiri (what the fu*k is that?). Hadi leo ninalo kadi lao kama urembo. Nasubiri hiyo tarehe 15 wanayosema itakua ndo mwisho wa kutumia tiketi za kawaida, niwaanzishie mtiti.
 
Huo mfumo ni wa kipumbavu tu pia.
Nilikuwa na hiyo kadi yao, niliweka salio 9,000 niliposajili (around January); Nikatumia for like 2 weeks tu, kisha nikawa nimesafiri for like 2 months. Kuja kurudi, nascan inagoma; Nikawafuata kuangalia salio limeisha imebaki 0. Nikawaeleza mbona bado salio linatakiwa kuwepo la kutosha tu, ni kwamba nilisafiri tu for the past 2 months. Wakasema watafanyia kazi, wakapiga picha kadi yangu na kuchukua namba ya simu.... Wiki nzima ikapita, hola. Nikawafuata tena, wakafanya hivyo hivyo tena. nimeripoti zaidi ya mara nne, hakuna walilofanya. Waliniambia eti salio langu lilitumika na mtu mwingine kipindi nimesafiri (what the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala is that?). Hadi leo ninalo kadi lao kama urembo. Nasubiri hiyo tarehe 15 wanayosema itakua ndo mwisho wa kutumia tiketi za kawaida, niwaanzishie mtiti.
Watu wengi sana wameibiwa pesa zao na hawana namna ya kurefund! Wanaiba pesa kwa njia hiyo wanakomba zote kwenye akaunti
 
Mfumo huo wa N-CARD umekuwa ukifyeka pesa za abiria bila taarifa inapotokea hitilafu za kiufundi ( January mfumo huo ulikomba pesa zote kwenye N -Card za wateja pasipo taarifa na kila aliyelalamika walimuahidi kumrejeshea pasipo kufanya hivyo.
Hii ilitokea hata kwenye mabank japo inasemekana yalikuwa ni maagizo toka juu
 
Mashine za kuscan Card Zipo mbili tu kwa kila upande, na mda wa kusubiria kuscan kwa kila mtu mmoja ni sekunde 3-4 ( Delay Scan Cycle time), Hivyo kwa uwezo wa kivuko cha MV magononi watu 2000, Maana yake watu hao wataingia kwenye kivuko kwa sekunde 8000sec ukiachilia zile za magari na mikokoteni! Mda huo ni sawa na dakika 134, kwa mashine mbili maana yake watavuka kwa dakika 67 sawa na lisaa limoja na dakika 7! Kwa maana hiyo abiria watatumia mda mwingi ili kuvuka kuliko mtu anaesafiri na Boti kutoka Dar kwenda Zanzibar! Ni ujinga mkubwa sana
Nimeupenda huu uchambuzi, lakini haya yote hufanyika kwa makusudi ili kuitia hasara serikali, na lengu kuu ni kuhakikisha tunarudi kule kwenye wizi kupitia tickets, haya yanafanyika si kwamba hawajui ila ni makusudi na mtandao wake ni mrefu, wale wa DART walikaa camp mwaka mzima na miezi kule Morogoro wakitengeneza mfumo wa e-tickets lakini hawajafanikiwa
 
Wakati UDART wameonesha waziwazi kufeli juu ya matumizi ya CARD kwa maksudi!

TEMESA nao pasipo kujua ama kwa maslahi yao binafsi, Wameingia kichwa kichwa katika matumizi ya malipo ya N-CARD bila weledi!

Abiria wote wameelekezwa kuhakikisha wanatumia N-CARD ili kuweza kulipia kivuko, Hivyo wametangaziwa Ukomo wa matumizi ya tiketi za kawaida ifikapo tarehe15/5

Jambo ambalo limechangia idadi kubwa ya abiria kununua na kusajili CARD kiasi cha kuibua kero kubwa zifuatazo;
  1. Mashine za kuscan Card Zipo mbili tu kwa kila upande, na mda wa kusubiria kuscan kwa kila mtu mmoja ni sekunde 3-4 ( Delay Scan Cycle time), Hivyo kwa uwezo wa kivuko cha MV magononi watu 2000, Maana yake watu hao wataingia kwenye kivuko kwa sekunde 8000sec ukiachilia zile za magari na mikokoteni! Mda huo ni sawa na dakika 134, kwa mashine mbili maana yake watavuka kwa dakika 67 sawa na lisaa limoja na dakika 7! Kwa maana hiyo abiria watatumia mda mwingi ili kuvuka kuliko mtu anaesafiri na Boti kutoka Dar kwenda Zanzibar! Ni ujinga mkubwa sana
  2. Namna ya kuongeza na kuangalia salio kwenye N-CARD ni lazima mtu awatafte wao wenyewe, Huwezi kurecharge kwa mitandao ya simu.
  3. Kiwango cha kurecharge CARD lazima kianzie 1000, jambo ambalo linawatenga wale wasiyo na elfu moja zaidi ya kupewa Mia mbili ya kuvukia kila siku! (kama mia mbili iliwapa tabu hiyo elfu moja wataipata wapi? Kwanini kiwango kisingekuwa kuanzia 200?).
  4. Mfumo huo wa N-CARD umekuwa ukifyeka pesa za abiria bila taarifa inapotokea hitilafu za kiufundi ( January mfumo huo ulikomba pesa zote kwenye N -Card za wateja pasipo taarifa na kila aliyelalamika walimuahidi kumrejeshea pasipo kufanya hivyo.
  5. Ulazima wa N-CARD unamlazimisha hata anaevuka kwa siku moja awe na Kadi kwa mujibu wa maelezo kwenye tangazo lao
Pamoja na lengo zuri la kupunguza kero na wizi, Mfumo huo unaonekana kuna na kero maradufu.

Waziri fuatilia haraka utendaji wa N-CARD (Busy hour) TEMESA ili baadae USISIKITIKE Kama maamuzi ya TFF
Huyu Ndugai Ni mgonjwa wa akili kabisa na hastahili kuongoza huu mhimili, matatizo ya ccm haya
 
Sipatii picha rush hours asubuhi na jioni flani. Labda wataongeza nyingine kabla ya tarehe 15 waliyosema.
Kumbuka siku chache baada ya kumsindikiza mwenda zake, tukasikia bandarini mifumo haifanyi kazi, mara TRA imeungua, na leo unasikia ya kivuko, si kwamba hawajui, wanajua sana ila mbinu chafu zimetamalaki, haiwezekani wakaweka mifumo bila kufanya analysis rahisi kabisa kama iliyofanywa na mleta mada
Mashine za kuscan Card Zipo mbili tu kwa kila upande, na mda wa kusubiria kuscan kwa kila mtu mmoja ni sekunde 3-4 ( Delay Scan Cycle time), Hivyo kwa uwezo wa kivuko cha MV magononi watu 2000, Maana yake watu hao wataingia kwenye kivuko kwa sekunde 8000sec ukiachilia zile za magari na mikokoteni! Mda huo ni sawa na dakika 134, kwa mashine mbili maana yake watavuka kwa dakika 67 sawa na lisaa limoja na dakika 7! Kwa maana hiyo abiria watatumia mda mwingi ili kuvuka kuliko mtu anaesafiri na Boti kutoka Dar kwenda Zanzibar! Ni ujinga mkubwa sana
 
Back
Top Bottom