Urusi was a civitas and ancient episcopal see of the Roman province of Africa Proconsularis in present-day Tunisia.
The town flourished from 30BC until 640AD and has been tentatively identified with ruins at Henchir Soudga, (9.57727n 35.98709e) in Siliana Governorate. The ruins lie just outside the Jebel Serj National Park.
Nchi kubwa kubwa kama Marekani, Uingereza na Ufaransa hupigia sana kelele na kuhubiri uzuri wa demokrasia, na hasa wakishinikiza nchi changa zifuate demokrasia.
Lakini watu hao hao hawataki taasisi kubwa zaidi duniani, Umoja wa mataifa iendeshwe kidemokrasia. Nchi hizo pamoja na Russia na China...
Urusi ijiandae kwa mvua ya drones.....
Warusi walikosea sana kuanzisha huu ugomvi bila kushirikisha ubongo.....
Mykhailo Fedorov, Ukraine's Minister of Digital Transformation, has announced a UAH 235 million (US$6.3 million) fundraising campaign to buy 10,000 kamikaze drones.
Source: Fedorov...
Kwa mwendo kasi, zege hailali...ni kulipua mpaka wakomboe maeneo ya taifa lao..
Russian troops have been forced to retreat as Ukraine has retaken a key village in Donetsk, according to reports.
Moscow’s forces have abandoned their positions in Urozhaine, which is a strategically-significant...
Drones zinazidi kuwa kero kwa Warusi, na sasa viwanda vya Ukraine vimechachamaa kuzalisha kwa maelfu...
An explosion has occurred in the Russian city of Belgorod, damaging the facade of a high-rise building and cars.
Source: Meduza, a Latvia-based Russian independent news outlet, with...
Hii imefanywa na wazalendo, ikumbukwe pembeni na jeshi la Ukraine, kuna wananchi wapiganaji waliounda makundi ya kuhujumu na kuharibu miundo mbinu ya wanajeshi wa Urusi......
Petro Andriushchenko, adviser to the mayor of Mariupol, has said that the partisans destroyed the Russian base in the...
Ifahamike sasa Ukraine wana viwanda vyao vya drones, Mrusi ajiandae kupambana na maelfu ya drones kote kote, wanapiga Moscow na Crimea, maeneo ambayo Putin alisema yakiguswa atafanya kitu.
17 Ukrainian drones attacked a logistics base of Russian troops near Yevpatoriia in occupied Crimea on...
Russia has successfully launched Luna 25, the country’s first lunar lander in 47 years.
The uncrewed spacecraft lifted off from the Vostochny Cosmodrome in Amur Oblast, Russia. Hitching a ride aboard a Soyuz-2 Fregat rocket, Luna 25 took flight at 8:10 a.m. local time Friday, or 7:10 p.m. ET...
Hali imekua hovyo Moscow, watu wametulia wanatazama michezo mubashara kwenye TV, ghafla wanashuhudia mlipuko pembeni.
The moment of the drone explosion in Moscow, which the authorities claimed was downed by electronic warfare, was caught on video during the broadcast of the Russian Rowing...
Wengi wanaamua hamna haja ya kuhangaika, bora wajifie...
The number of suicides among Russian officers has increased significantly since the Russian full-scale invasion of Ukraine began.
Source: Ukrinform news agency, citing Andrii Yusov, Spokesman for Ukraine's Defence Intelligence, on air...
Muda itabidi waachiwe pakutokea....
===========
Ukraine forces have retaken land near Bakhmut from Russia, Kyiv says
Ukrainian forces have recaptured the heights over Bakhmut and are successfully encircling Russian troops in the city, a defence minister in Kyiv has said.
Hanna Maliar also...
Muendelezo wa alichoahidi Zelensky, Moscow wakae mkao wa kupokea salamu za madude yanayopaa juu yao....
August 10, 20233:54 AM GMT+3Updated 9 hours ago
Aug 10 (Reuters) - Russia's emergency service said early on Thursday that an auto repair shop caught fire in Domodedovo outside Moscow...
Alishaonya rais wa Ukraine, mtasikia mashambulizi ndani ya Urusi......haya
Siku hizi ukimwaga mboga, hatumwagi ugali, tunatafuta mboga nyingine...
The number of people injured in an explosion at an industrial plant northeast of Moscow has increased to at least 45, the administration of the...
Kwenye vita kuna mengi sana, yaani mtandao wa wanawake ambao kazi yao ilikua kutuma taarifa Urusi.....
Ukraine claimed to have dismantled an all-female spy network operating in the Donetsk region, which allegedly had been leaking information to Russia’s intelligence services and Wagner Group...
Kwa vile ni dhahiri Urusi imeshindwa Ukraine na kuhamisha nguvu nyingi kwenye heka heka za Afrika, sikujua na wao hukimbia kikinuka kwenye bara hili............
Russia says it has evacuated staff from its embassy in Khartoum, citing the high security risks to personnel amid the ongoing...
Ni kampuni kubwa ambayo hutengeneza mizinga ikiwemo ile ya hypersonic, wamedukuliwa kizembe sana tena kwa miezi mitano bila kushtukia....
North Korean leader Kim Jong Un and Russia's Defense Minister Sergei Shoigu visit an exhibition of armed equipment on the occasion of the 70th anniversary...
Wakati Ukraine ikishughulika na kudondosha vibomu vidogo vidogo kwenye daraja na meli za Urusi na hii ni baada ya kushindwa kurejesha jimbo lolote lililotekwa.Mwenzake Urusi amefikiria mbali sana katika kushinda vita vinavyoendelea.
Mbinu muhimu ni kupambana na wale wanaompa nguvu Ukraine nje...
Niger inageuka kuwa kete muhimu ya vita vya kiuchumi katikati ya mataifa nguli na yenye misuli duniani.
Viashiria ni kwamba sera za mfaransa Africa zimetikiswa ndani ya wiki hii ambapo Niger anaenda kumkataa mfaransa kama mshirika wa kihistoria kiuchumi.Jambo ambalo linaenda kutishia uchumi wa...
PHOTO: RUSSIAN AIRPORT OF VNUKOVO
The Russian airport of Vnukovo was closed for takeoff and landing on the afternoon of 6 August, allegedly due to "dangerous targets" in the sky.
Source: Russian state-owned news agency TASS; Mash Telegram channel; Moscow Mayor Sergei Sobyanin, on Telegram...
Nafikiri tumshauri Rais Samia afanye uamuzi mgumu kunusuru uchumi wa nchi kwa mgogoro huu wa mafuta nchini.
Tarehe 27/28 July 2023 nchi za Afrika 49 kati ya 54 zinazotambuliwa na Umoja wa Mataifa zilishiriki Mkutano wa Afrika na Urusi mjini St. Petersburg nchini Urusi na mambo Makuu mawili...
imeelezwa kuwa uwezo wa Urusi kubadili mbinu katikati ya mzozo imeipa nguvu kubwa ya kupambana na silaha ilizopatiwa Ukraine ambazo zinatumia GPRS ili kupata shabaha zake.
Mwanzoni Urusi ilikuwa inatumia mitambo mikubwa kwa ajili ya kazi hiyo ambayo ilikuwa ikitembea katikati ya msururu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.