A university (from Latin universitas 'a whole') is an institution of higher (or tertiary) education and research which awards academic degrees in several academic disciplines. University is derived from the Latin phrase universitas magistrorum et scholarium, which roughly means "community of teachers and scholars". Universities typically offer both undergraduate and postgraduate programs.
The first universities in Europe were established by Catholic Church monks. The University of Bologna (Università di Bologna), Italy, which was founded in 1088, is the first university in the sense of:
being a high degree-awarding institute.
using the word universitas (which was coined at its foundation).
having independence from the ecclesiastic schools and issuing secular as well as non-secular degrees (with teaching conducted by both clergy and non-clergy): grammar, rhetoric, logic, theology, canon law, notarial law.
Kwa zaidi ya wiki tatu sasa, maeneo ya karibu na Chuo Kikuu cha SAUT hususan mitaa ya Nyamalango, Maduka Tisa–Buhima na Sweya yanaishi bila maji kabisa. Hali imekuwa mbaya kupita kiasi na inaathiri moja kwa moja maisha ya kila siku ya wakazi.
Mara chache sana maji yanaporudi inakua ni usiki wa...
Anonymous (43ef)
Thread
huduma
huduma ya maji
kuhusu
maji
malalamiko
mwanza
saut
tanzania
ukosefu
ukosefu wa maji
university
wiki
Last week Makerere University passed out over 9200 Students in a four day event as they celebrated academic excellence across all courses.
Among the graduates, 213 received PhD degrees, 2503 graduated with master’s degrees while 6343 graduated with Bachelor’s degrees, 206 graduated with post...
Serikali imekifungia chuo cha Mwanza university wanafunzi wadai pesa za takribani million 73 ambapo uongozi ulidai zitahamishiwa Bugando..
Kama mnavojua Watanzania njaa sana hiki chuo kuna wanafunzi wamepachikwa tu not qualified to study medicine hukoo Bugando watapokelewa na nani?
It's...
Africa’s Premier University Makerere, is set to reduce its undergraduate admissions as it seeks to increase postgraduate enrollment to at least 30%.
It will cut undergraduate graduate intake from 14,000 students to 12,000 students.
This is part of the University’s long term strategy to...
Mimi ni mtumishi, Nilipata ruhusa ya kwenda masomoni lakini sikwenda kwasababu ya ukiritimba uliopo halmashauri kwamba ukienda masomoni basi uwezi kupanda daraja, na Mimi napanda daraja Mwakani, nimetimiza miaka mitatu ya ajira Sasa, naona nikasome kitu kingine, passion yangu ni Mambo ya...
Chuo Kukuu Huria kimekuwa na tatizo sugu la kutopeleka taarifa NACTVET, watu wanamaliza masomo lakini wengine huwachukua mpaka miaka mitatu ndio taarifa zinatumwa NACTVET, na hapo mpaka uwe unafatilia.
Kama siyo mfuatiliaji inakula kwako.
Je, umeshawai kukutana na hii changamoto, embu...
Kama tulivyojadiliana maandamano ya kupinga udhembe na kukosekana uwajibika miongoni ya walimu wetu na viongozi wa chuo pia yatafanyika 18 December 2025 kama tulivyokubaliana.
Kero kwa miaka na miaka zimekuwa zikilalamikiwa na kupelekwa kwa viongozi husika ila kumekuwa hakuna mabadiliko imekuwa...
Anonymous
Thread
amani
chuo kikuu huria
december
dhidi
huria
kikuu
maandamano
maandamano ya amani
mbovu
open
open university
tarehe
university
uongozi
uwajibikaji
Kwa miaka yangu mitatu niliyokuwa hapa chuoni nimeona Walimu wetu wakionyesha dharau na kutosimamia majukumu yao sawasawa na kwa wakati.
Miaka yote kumekuwa na tatizo la kuchelewa kwa matokeo, unaweza kuwekewa matokeo wiki mbili baada ya Graduation na ukakosa nafasi ya ku-graduate mwaka husika...
Anonymous
Thread
chuo
chuo kikuu
chuo kikuu huria
huria
kikuu
mapema
open university
pekee
university
wanasiasa
Salama wakuu Leo hii tarehe 21 November.
RUAHA CATHOLIC UNIVERSITY hapo Iringa Wana jambo Lao pale, graduation ya kukata na shoka sasa kwa bahati mbaya kuna mvua kubwa inaendelea kunyesha naona kabisa shughuli kuharibika.
Band maarufu kutoka Los Angels Marekani inayopiga mziki wa Hard...
University of Iringa - UoI, Wanataka tuwape Elfu Arobaini ya Joho. Ni wizi mkubwa.
Joho unavaa halafu halafu baadaye jioni unarudisha.
Waziri wa Elimu tusaidie japo tutoe Elfu nane.
Chuo cha Iringa wameanza wizi. Majoho wanayo na sisi wanafunzi wao.
Je, wametugeuza Mtaji?
Ni jambo la kipumbavu sana (Mods please naomba mniache, sisi watu wazima na watanzania tunafanyiana mambo ya kijinga sana hawajui wanakwamisha madeal kiasi gani kwa wanafunzi wao)
Mfano una shida yoyote ya ki Academic unaenda mpaka Dar makao makuuu, supervisor wako anakukwepa, ukipiga simu...
Tarehe 01 na tarehe 02 kulifanyika usaili wa wanataaluma Chuo Kikuu Mzumbe.
Kumekuwa na utaratibu usiowazi wa kuwapata vijana wanaojitolea, na hawa ndo wamekua wanufaika wa hizi ajira zinazotangazwa.
Baada ya malalamiko kwenye usaili wa 2023, wakaamua kuacha hata kuweka hadharani majina ya...
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES
Sokoine University of Agriculture (SUA) was established on the 1st July 1984 by the Parliamentary Act No.6 of the same year, which was repealed by the Universities Act No.7 of 2005 from which the SUA Charter was granted in 2007. The vision of the University is to be a...
Kozi ya ICT ndio nahitaji kuisoma kama kichwa kinavyojieleza...... naomba ushauri juu ya hilo katika maswali yafuatayo
1. Je inawezekana?
2. Naomba kujua ninaweza badilishiwa muundo wa elimu katika kada yangu ya elimu kwa kutumia cheti cha ICT baada ya kumaliza masomo?
Ni hayo tu naombeni...
Applications are invited from suitably qualified and experienced Tanzanians to fill the position of Deputy Vice Chancellor, Planning, Finance and Administration (DVCPFA) at Kairuki University (KU). The Deputy Vice Chancellor responsible for administration and finance is the principal assistant...
Kwa wale mlio na mapesa benki, na ambao mna vijana wanaotarajia kujiunga vyuoni, nawashauri muwapeleke Daystar University. Kauli mbiu yake ni "The University with a difference."
Kwanini chuo hicho kina kaulimbiu hiyo? Daystar University ni chuo kikuu kinachojumuisha maadili ya Kikristo katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.