Think2
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 2,636
- 4,852
Wanasema hitilafu kwamba ndani ya hayo masaa matano wamepata wametengeneza na kufunga kila kitu?
Hio hitilafu imetokea maeneo gani? Hao waangalia mitambo hawakujua tatizo hilo mapema ifike saa moja ukatike huo huo muda mtume na tanganzo? Mmmmh hii tanzagiza msijekuwa mmeingiza mamuluki wakutuua hio tarehe saba.
Kama mmezima umeme ili mpitishe silaha zenyu za mauaji mseme msije kutupiga za vichwa tena.
Hio hitilafu imetokea maeneo gani? Hao waangalia mitambo hawakujua tatizo hilo mapema ifike saa moja ukatike huo huo muda mtume na tanganzo? Mmmmh hii tanzagiza msijekuwa mmeingiza mamuluki wakutuua hio tarehe saba.
Kama mmezima umeme ili mpitishe silaha zenyu za mauaji mseme msije kutupiga za vichwa tena.