Wanabodi, hakuna mtaa au Kijiji au mji ambao waalifu hawajulikani. Hawa waalifu tunaishi nao na kushirikia katika shughuli mbalimbali za kijamii.
Lakini pia tunaona namna waalifu walivyo na ujasiri mitaani mwetu kupelekea kuogopwa hata kulipotiwa kwenye vyombo husika. Ujasiri wa kuwafichuwa...