Machawa wa Serikali ya CCM kumbe ni mijitu mibaya kiasi hiki! Msama ukimuona kama mtu mwema ila ni jizi la hatari mtapeli viwanja vya watu!
==============
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imetangaza kuwatafuta washtakiwa Alex Msama Mwita na Benny Mwita Sammoh wanaokabiliwa na...
Tanzania tumekuwa na uhusiano mzuri na nchi ya China kwa miaka mingi
Uhusiano huu unapaswa kuendelezwa ili tuweze kusaidiana mbinu za maendeleo katika nchi zetu
China inatutegemea sana lakini pia sisi tunawategemea sana katika mambo mengi yanayohusiana na maendeleo
Kesi ya Uhujumu Uchumi...
Bubu huyo ni miongoni mwa washukiwa wa makosa ya uhaini waliopandishwa leo kizimbani katika mahakama ya hakimu mkazi. Yupo pia mwandishi wa habari wa Millard ayo aitwaye Thomas pamoja na watoto ambao ni chini ya umri wa miaka 18.
Swali langu, bubu anawezaje kufanya uhaini?
Swali la pili, Ikiwa...
Wahandisi watatu na muongoza watalii mmoja wanaotuhumiwa kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kutoka katika taasisi mbalimbali za Serikali na binafsi wanatarajia kusomewa hati mpya ya mshataka ya uhujumu uchumi Septemba 30, 2025.
Wahandisi hao ni Faustine Malya (44) mkazi wa Salasala...
Mahakama ya Wilaya ya Sumbawanga Mkoani Rukwa imemhukumu Bw. Badwin Atanazi Chundu (60), Mtendaji wa Kata ya Ikozi, kifungo cha miaka 60 jela pamoja na kurejesha zaidi ya Shilingi milioni 44 alizozitumia vibaya.
Kwa mujibu wa taarifa ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa...
Mkuu wa mkoa wa Tabora Mhe Paul Chacha ameagiza viongozi wa vyama vya msingi vipatavyo 32 vya wakulima wa Pamba wilayani Igunga wakamatwe mara moja na kufunguliwa mashitaka ya uhujumu uchumi baada ya kubainika wamechezea mizani ya kieletroniki maarufu kama mizani janja ya kupimia uzito wa Pamba...
Tarehe 17/07/2025 Mahakama ya Wilaya ya Mbulu katika shauri la uhujumu uchumi (ECC. No. 13987/2025) imemtia hatiani mshtakiwa Mtendaji wa Kata ya Kainam Bw, ELIWANGU FADHILI MKUMBWA kwa kosa la ufujaji na ubadhilifu wa fedha za mradi wa Kituo cha Afya Kainam alizozitumia kwa manufaa yake...
Tarehe 15.07.2025 katika Mahakama ya Wilaya ya Kakonko limefunguliwa Shauri la Uhujumu Uchumi lililosajiliwa kwa nambari ECC.17155/2025 mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Mh. Maila Makonya (SRM).
Washtakiwa hao ni Bw. Denis Simon Manji (36) ambaye ni Fundi sanifu maji RUWASA Wilaya ya Kakonko na...
Vijana wa umri wa 30s ambao wanajipambanua kiuchumi kwa ujasiriamali then from No where wanapewa kesi za uhujumu uchumi.
Hivi hili rika letu lina nini cha kuhujumu nchi? Kijana ndo kwanza unajitafuta kimaisha ila kutokana na mambo tu ya kisiasa mmetofautiana unatafuta kesi popote pale ili mradi...
Jamaa kadakwa kizembe sana kama kuku kwenye mtego wa pumba nakumbuka alishwahi kutapeli wajinga humu. Sasa ni zamu yake ONTARIO mahakamani.
Anahamishiwa Kisutu leo.
Vijana fanyeni kazi halali, acheni wizi na utapeli maana nyakati hizi sio za ujanjaujanja.
Huyu kawa wa mfano
Wafanyakazi 11 wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kigamboni wakikabiliwa na mashtaka mbalimbali, yakiwemo ya uhujumu uchumi na kusababisha hasara ya Shilingi 169,617,520 kwa Ofisi ya Rais – TAMISEMI.
Kesi hiyo imetajwa leo, Juni 24, 2025, mbele ya...
MAHAKAMA ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemhukumu kwenda jela miaka 20 Katibu wa Chama Cha Ushirika cha Msingi(Amcos)Kijiji cha Gula,Masanja Mboje(36)baada ya kukutwa na hatia ya makosa mawili ya rushwa na uhujumu uchumi.
Hukumu hiyo imetolewa leo Jumanne.Mei20,2025 na Hakimu Mkazi wa...
Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili msanii wa uigizaji Joyce Mbaga (32), maarufu Nicole Berry na mwenzake Rehema Mahanyu (31), itatajwa leo Jumatatu Machi 24, 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni inayoketi Kinondoni.
Kwa mara ya kwanza, washtakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo...
Wakuu,
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi mkoani Songwe imemhukumu kifungo cha miaka 20 gerezani aliyekuwa Afisa Mtendaji wa Kata ya Mbuyuni baada ya kumkuta na hatia ya uhujumu uchumi.
Afisa Mtendaji huyo, Assan Jacob anadaiwa kukusanya Shilingi milioni sita kutoka kwa wananchi 200 wa kata...
Watumishi tisa wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara, akiwamo aliyekuwa mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo, Amos Kusaja na wafanyabiashara watatu wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Musoma wakikabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi na kuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya...
Mr. Manguruwe yamemkuta huko.
Mkurugenzi Mwanzilishi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40) maarufu kwa jina la Dkt. Manguruwe na mwenzake wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakiballiwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka 28.
Katika kesi hiyo, Mkondya...
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Hatuwezi kuwa na Taífa la matapeli, wanyonyaji na dhulma tupu. Alafu serikali ibariki unyonyaji huo.
Inashangaza kumwona Kiongozi akishadadia na kuhamasisha Vijana wajitolee, wanyonywe, wadhulumiwe, wapotezewe Muda waô. Kwa kweli inasikitisha Sana
Kama...
Najiuliza na kujiuliza tena na tena. TASAC palikuwa na kitengo cha Clearing and Forwarding ambapo hawa kazi yao ilikuwa ni kusimama kama serikali kufanya clearance ya kila kitu kutoka hapa nchini kabla ya kufanyiwa shipping mfano madini, mazao kama ngano, wanyama na vitu vingine sensitive...
Kuna kipindi ule upepo wa kesi za uhujumu uchumi Na utakatishaji fedha ulizidi kiwango chake , hasa kile kipindi cha mwendazake...sidhani kama ule upepo ungemuacha huyu jamaa yangu mwenye tabia za m
Kihaya😀..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.