Kiongozi wa upinzani nchini Cameroon, Issa Tchiroma Bakary, amekimbilia nchini Gambia kwaajili ya usalama wake kufuatia mvutano uliotokea baada ya uchaguzi wa Oktoba, ambao ulimrejesha madarakani Rais Paul Biya katikati ya maandamano yenye vurugu.
Serikali ya Gambia imethibitisha kuwa Tchiroma...
Alichokifanya Polepole katika uislamu tunaita "Taqiyya" ambapo mtu unaruhusiwa kusema uongo kuepusha madhara makubwa zaidi. Ukimsikiliza Polepole wakati anaanza kuongea alikuwa anasisitiza sana amekula kiapo kwa marais watatu, bila shaka hiki ndicho kilichomfanya ajifiche huko alikojificha na...
1. Edgar Mwakabela au SATIVA
2. Msabaha
3. Hilda Newton (Alikimbilia uhamishoni baada ya kunusurika siku ya kesi ya Lissu)
4. Titto Magoti
5. Maria Sarungi
Ongeza wengine
Mnamo Januari 9, 2025, Zanzibar itashuhudia tukio la kihistoria itakapompokea Sultan Jamshid bin Abdullah kurejea kwenye pwani zake. Hili ni tukio muhimu sana kihistoria, kwani mtawala wa zamani wa Zanzibar anarudi baada ya miongo sita ya uhamisho nchini Uingereza na Oman, kufuatia kuondolewa...
Wanakumbi.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Anthony Blinken wakati wa mkutano wake na maafisa wa baraza la mawaziri la vita:
Kawambua haiwezekani kuiondoa Hamas Gaza katika hali yake sasa Israel wamerudi Qatar tena hali tete Gaza.
Baraza la mawaziri la vita la Israel liliwekwa Jumatano...
Habari ndugu wanaJF
Poleni kwa majukumu, niliwamisi Sana ndugu zangu nilikuwa uhamishoni kwa muda ila nimerejea salama.
Natuma salamu kwa wafiatao
sky eclat
faiza fox
kichwa kichafu
mpwayungu
mshana Jr
To yeye
wa stendi
na wote wanaosoma Uzi huuu.........
UJUMBE
TUKUMBUKANE KUPITIA JAMIIFOFUM
Hamasa ninayoishuhudia leo inanikumbusha siku tuliyompokea Mwanamageuzi Oscar Kambona kutoka Uhamishoni Uingereza.
Kiukweli Bila kujali itikadi ya vyama wananchi kwa maelfu walifurika kumlaki.
Hata leo naona Watu wameweka itikadi pembeni labda tu Sukuma gang ndio bado wanajishauri.
Karibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.