uhakiki

  1. J

    Nimefanya uhakiki wa vyeti RITA lakini mpaka sasa sijapata majibu

    JAMANI WANAJAMII FORUM, MSAADA WENU NAOMBA NDUGU ZANGU, NIMEFANYA UHAKIKI WA CHETI CHA KUZALIWA RITA LEO NI SIKU YA KUMI NA TATU SIJAPATA MAJIBU NA KWENYE SYSTEM YAO HAIONESHI IPTION YA KUVIEW STUTUS WALA NIKIFUNGUA INBOX HAIONESH CHOCHOTE... TATIZO NI NINI JAMANI
  2. J

    Uhakiki: Msajili akuta madudu NCCR Mageuzi na CHAUMA Zanzibar. Kimoja ofisi ziko sebuleni kwa mtu na kingine mali zake ni kiti na meza basi!

    Msajili wa vyama vya siasa ambaye kwa sasa anafanya uhakiki wa vyama vyote vya siasa nchini amekuta mapungufu kwa baadhi ya vyama vya siasa Zanzibar. Msajili amesema baadhi ya vyama hali zao zinatisha na kimojawapo ofisi yake ipo sebuleni kwa mtu ambapo familia ya mtu huyo inatumia pia sebule...
  3. elivina shambuni

    TPDC iko kwenye maandalizi ya kuchimba visima viwili (utafiti na uhakiki) vitakavyogharimu Sh bilioni 202.6

    "TPDC iko kwenye maandalizi ya kuchimba visima viwili (utafiti na uhakiki) vitakavyogharimu Sh bilioni 202.6. Mategemeo yetu katika utafiti huu ni kugundua gesi asilia futi za ujazo trilioni 1.032 (TCF). Kisima hiki kitakuwa baharini na ni cha kwanza kwa TPDC” Dk. James Mataragio
Back
Top Bottom