Nimefanya uhakiki wa vyeti RITA lakini mpaka sasa sijapata majibu

James07392

Member
Mar 8, 2019
20
6
JAMANI WANAJAMII FORUM, MSAADA WENU NAOMBA NDUGU ZANGU,

NIMEFANYA UHAKIKI WA CHETI CHA KUZALIWA RITA LEO NI SIKU YA KUMI NA TATU SIJAPATA MAJIBU NA KWENYE SYSTEM YAO HAIONESHI IPTION YA KUVIEW STUTUS WALA NIKIFUNGUA INBOX HAIONESH CHOCHOTE... TATIZO NI NINI JAMANI
 
Mwenyewe nasuburia mtu mwenye feedback juu ya hili jambo
JAMANI WANAJAMII FORUM, MSAADA WENU NAOMBA NDUGU ZANGU.
NIMEFANYA UHAKIKI WA CHETI CHA KUZALIWA RITA LEO NI SIKU YA KUMI NA TATU SIJAPATA MAJIBU NA KWENYE SYSTEM YAO HAIONESHI IPTION YA KUVIEW STUTUS WALA NIKIFUNGUA INBOX HAIONESH CHOCHOTE... TATIZO NI NINI JAMANI
 
JAMANI WANAJAMII FORUM, MSAADA WENU NAOMBA NDUGU ZANGU.
NIMEFANYA UHAKIKI WA CHETI CHA KUZALIWA RITA LEO NI SIKU YA KUMI NA TATU SIJAPATA MAJIBU NA KWENYE SYSTEM YAO HAIONESHI IPTION YA KUVIEW STUTUS WALA NIKIFUNGUA INBOX HAIONESH CHOCHOTE... TATIZO NI NINI JAMANI

Watakuletea nadhan wamezidiwa. Nilimfanyia kijana wangu wameleta majib baada ya siku15
 
Kuwa mvumilivu,wanachelewa lakina wanahakiki na kutuma.Mimi nimefanya uhakiki wa Vyeti vitatu cha kuzaliwa kimoja na vya vifo viwili.Mpaka sasa wamehakiki viwili na kuvituma bado kimoja.Imechukua almost wiki tatu...!
 
Back
Top Bottom