Leo (Jana, Desemba 17, 2025) nimemtembelea Mteja wangu Mhe Lissu, Ukonga Gerezani kujadiliana naye hatima ya kesi zinazomkabili, ashukuliwe Mungu kwa kuendelea kumjalia afya na siha njema kiongozi.
Gerezani kuna utaratibu mpya umeanzishwa ambao ni kinyume cha sheria, Nilichokutana nacho leo...
Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa, Tundu Lissu ametuma ujumbe kutoka Gerezani ukonga, akibainisha kuwa hakuna Maridhiano bila Ukweli na Uwajibikaji.
Aidha, amesema hakuna haki bila amani. Ujumbe huu ameuandika kwa mkono wake mwenyewe.
Mtendeeni Lisu haki. Mliomba wiki mbili ili kumkomoa akae jela. Hili si agizo na wakubwa zenu. Mmeshakuwa indoctrinated na roho mbaya wa wakubwa zenu kumtesa Lissu.
Tendeni haki! KUNA SIKU YA HUKUMU INAKUJA, MTAULIZWA NA MUNGU WA HAKI.
Nilitegemea sana kuwa leo wataonesha uungwana kwa kitu kidogo tu xha kuofuta kesi hii ya UONGO, FABRICATED. Surprisingly enough wanadiriki kuleta shahidi wa siri wa uongo!
Tenda Bwana Yesu, Tenda Bwana Yesu.
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wakili Tundu Lissu, ambayo ilipangwa kuendelea kusikilizwa tarehe 3 Novemba 2025, haikuweza kuendelea kama ilivyopangwa. Kesi hiyo iliahirishwa hadi 10
Novemba 2025, lakini hata tarehe hii ya leo Lissu...
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu imeanza kusikilizwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo, Jumatatu Novemba 10.2025
Hata hivyo, tofauti na siku zote ambapo Lissu ambaye anajitetea mwenyewe kwenye...
KESI ya uhaini namba 19605/2025 inayomkabili Tundu Lissu, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), inatarajiwa kuendelea siku ya jumatatu, tarehe 10 Novemba 2025, katika Mahakama Kuu masjala ndogo ya Dar es Salaam.
Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu imehairishwa leo, Ijumaa Oktoba 24.2025 hadi Novemba 03.2025
Kesi hiyo imehairishwa kufuatia ombi la Jamhuri lililowasilishwa Mahakamani hapo likieleza kuwa, leo...
Kumsikiliza Lissu akiwasulubu mashahidi wa mchongo wa Jamhuri ni jambo la kufurahisha sana.
Leo kamkaba shahidi wa pili kuhusu elimu yake ya kuunga unga kwenye kesi yake ya Ugaidi.
Ni polisi, mtaalamu wa cyber ila kasomea kutengeneza mafriji.
Utetezi wa sita wa Tundu Lissu, Mahakama Kuu ya Tanzania kwenye kesi yake ya Uhaini, Septemba 16, 2025.
Kilichojiri kwenye utetezi wa tano kipo hapa: GE2025 - Utetezi wa tano wa Tundu Lissu, Mahakama Kuu ya Tanzania kwenye kesi yake ya Uhaini, Septemba 15, 2025
===
Majaji wameingia kwenye...
Ukifuatilia kesi bandia ya Serikali dhidi ya Tundu Lissu, unapata ujumbe mmoja ulio dhahiri kabisa kuwa, "Mawakili wa Serikali wana uwezo mdogo sana wa akili na Taaluma!
Maswali Muhimu ya kujiuliza:
1. Ni kweli mawakili wa Serikali ni watu wenye akili na weledi mdogo sana? Kama ndivyo, kwa...
https://youtu.be/HVArMzRPSyk?si=278C6pGBZ2Dk0qwq
➡Leo Tundu Lissu kampiga za uso kweli kweli hakimu Kiswaga na kumwambia waziwazi kuwa yeye ndiye anayeruhusu utaratibu na mchakato wa uendeshaji kesi mahakamani (court process) kufanyiwa ufisadi (abused) na Public prosecutors..
➡Kamwambia hakimu...
Kuna msemo unasema 'Justice delayed is justice denied' na huu ndio uhalisia unaojitokeza kwenye mifumo yetu ya Haki Jinai.
Mtu anakamatwa, anafunguliwa kesi, lakini upelelezi haujakamilika—maombi ya muda yanaendelea. Shauri likifika mahakamani, bado upande wa mashitaka unaomba muda zaidi, au...
https://www.youtube.com/live/oU5eT7Dimu0?si=BYYHRNCBHOz_0_ye
Siku hazikawii kufika, usikilizwaji kesi ya Lissu huo umewadia. Kama mnakumbuka wakayi uliopita upande wa mashtaka walisema wanahitaji muda zaidi kukamilisha upelelezi na wakaambiwa tarehe itakayopangwa kutakuwa hakuna nafasi ya hiki...
uasi = rebellion
A rebellion is a violent organized action by a large group of people who are trying to change their country's political system.
Rebellion: When a group of people openly and forcefully go against the government or leader in charge.
It can also mean when someone goes against a...
Wakuu,
Kwa wale ambao tumeshindwa kufika mahakamani channel ya mahakama inarusha tukio hili mubashara (maana TBC imegoma kurusha tukio hili lenye maslahi ya taifa), lakini kwa quality ya video na sauti ni kama unaangalia midoli inakwenda huku huko basi! Sauti inasikika kwa tabu sana, ni ngumu...
Wakuu,
Hali ya mtandao ikoje mliko? Yaani toka asubuhi mtandao imekuwa hovyooo kila kitu kinaenda taratibu kwa spidi ya kobe! Ni hii tu kesi ya Lissu ndio mnafanya mambo yote yasiende na kutuingizia hasara?
Yaani Lissu anawatetemesha mpaka mnatumia resource zote kuhakikisha mambo hayaendi sawa...
Wakuu,
Kesi ya Lissu ni suala la kitaifa. Watanzania tuna maslahi nayo maana Uhain si na uchochezi wa kusumbua Watanzania na kufanya tukose amani ni suala serious sana (hata kama tunajua ni uongo😂😂😂), sasa mbali na haya yote TBC, televisheni ya Taifa ni kama wapo ulimwengu mwingine! Yaani ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.