Wakizungumza leo Septemba 25, 2025 wakati wa Kampeni za Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan zilizofanyika mjini Lindi, baadhi ya wanawake wakazi wa Mkoa huo wamesema maendeleo yaliyopatikana katik kipindi cha Miaka minne (04) ya uongozi wa Dkt. Samia yangeweza...