Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche amewataka waandishi wa habari kutoendelea kumuuliza kuhusu aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, akiwataka kumtafuta na kumuuliza maswali mwenyewe.
"Alituaga kwa mazungumzo, anataka apumzike kwa muda kwenye active politics na atarudi. Kwa...