tundu antipas lissu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    John Heche: Lissu ana siku 350 Gerezani

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, ameiomba Mahakama iitishe na kusikiliza kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu ili kesi iishe na Lissu akafanyiwe matibabu ambapo amesema kama Lissu atapatwa na lolote akiwa gerezani kuna Watu watalazimika kujibu ni nini kimempata...
  2. Waufukweni

    Sugu: Nilikuwa team Mbowe, ila Lissu ni mwanangu

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, amesema kwamba ingawa katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho alimuunga mkono Freeman Mbowe, katika maisha yake binafsi alikuwa rafiki zaidi wa Tundu Lissu tangu walipokuwa pamoja bungeni...
  3. Idugunde

    Kwa mateso haya ya gerezani ingekuwa ni Freeman Mbowe angekuwa ameshajipeleka Ikulu na kupewa juisi na kuwasaliti watanzania

    Mbowe alipenda sana siasa za kujaza tumbo lake. . Alikuwa yupo tayari kuuza watu ili mradi yeye na tumbo lake washibe na kwenda chooni. Kwa namna alivyoteswa Tundu Lissu leo hii Mbowe angekuwa ameenda Ikulu kunywa juisi za Ceres. Lissu hanunuliki. Na hii ndio Sababu CHADEMA inazidi kuwa na nguvu.
  4. Heparin

    PostGE2025 Lissu anyimwa tena faragha ya kuzungumza na mawakili wake gerezani Ukonga, barua aliyoandika kuhoji mwenendo wa kesi yatumia siku 10 kumfikia Msajili

    Leo (Jana, Desemba 17, 2025) nimemtembelea Mteja wangu Mhe Lissu, Ukonga Gerezani kujadiliana naye hatima ya kesi zinazomkabili, ashukuliwe Mungu kwa kuendelea kumjalia afya na siha njema kiongozi. Gerezani kuna utaratibu mpya umeanzishwa ambao ni kinyume cha sheria, Nilichokutana nacho leo...
  5. Carlos The Jackal

    PostGE2025 Tundu Lissu: Wote waliohusika na mauaji ya watanzania lazima wawajibike au wawajibishwe

    Nilisema humu kuwa hakutakuwa na Msalia mtume wala nini. Tatizo mmeua sana Ndugu zetu, mmeua Sanaa. Hamjaishia kuua, Mmezika kwa Halaiki, haikutosha, Mmechoma Miili ya Ndugu zetu. Oaaaa unyama mloufanya kwa Taifa hili, NI LAZIMA TUTAWANYONGA, TUTAWAFUNGA NA TUTAWAFILISI TU.
  6. Heparin

    PostGE2025 Lissu 'Tutakinukisha' saivi miezi 9 yupo gerezani. Shehe 'Tutakata watu vichwa' bado yupo mtaani anakunywa Alkasusu

    Nchi hii inashangaza sana. Kuna double standard ya hali ya juu mno. Aliyesema atakinukisha hakuchukua round akawekwa nyuma ya nondo, saivi anapambana asinyongwe hadi kufa. Lakini aliyesema atakata watu vichwa yupo mtaani tu anajidai na kunywa alkasusu bila shida. Lakini tutashinda. Safari hii...
  7. Heparin

    PostGE2025 Lissu aiomba Mahakama Kuu imuunganishe kama mdaiwa kwenye kesi ya Mgawanyo wa Mali za Chama

    Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe Tundu A. Lissu amewasilisha Maombi mahakama kuu ya Tanzania akiomba kuunganishwa kwenye shauri namba 8323/2025 lililofunguliwa na SAID ISSA MOHAMED na wenzake dhidi ya Bodi ya wadhamini wa Chama na Katibu Mkuu wa Chama. Mhe Lissu anaiomba mahakama aunganishwe...
  8. Heparin

    GE2025 Kizungumkuti Makahama Kuu, Lissu hajafikishwa kuendelea na kesi ya Uhaini kwa sababu za kiusalama

    Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu imeanza kusikilizwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo, Jumatatu Novemba 10.2025 Hata hivyo, tofauti na siku zote ambapo Lissu ambaye anajitetea mwenyewe kwenye...
  9. Heparin

    GE2025 Uhaini wa Lissu kuendelea kusikilizwa tena Novemba 10, 2025 Mahakama Kuu kanda ya Dar

    KESI ya uhaini namba 19605/2025 inayomkabili Tundu Lissu, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), inatarajiwa kuendelea siku ya jumatatu, tarehe 10 Novemba 2025, katika Mahakama Kuu masjala ndogo ya Dar es Salaam.
  10. Heparin

    GE2025 Mwanzoni nililaumu Lissu na Heche kuwa mikononi mwa dola, kwa kilichotokea Oktoba 29, hawa watu kwasasa wangekuwa marehemu

    Mungu anaweza kukunusuru kutoka kwenye janga fulani bila wewe kujua. Kwa tulichokiona kuanzia Oktoba 29, 2025, bila shaka Tundu Lissu na John Heche wangekuwa uraiani sasa hivi tusingekuwa nao. Ni dhahiri, serikali hii dhalimu ingewaua wakiwa makazini kwao, hata kama wasingeandamana. Kama...
  11. DuaZaMama

    GE2025 Kesi ya Lissu yaahirishwa hadi Novemba 3, 2025, shahidi wa nne wa Jamhuri ‘akwama mkoani’

    Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu imehairishwa leo, Ijumaa Oktoba 24.2025 hadi Novemba 03.2025 Kesi hiyo imehairishwa kufuatia ombi la Jamhuri lililowasilishwa Mahakamani hapo likieleza kuwa, leo...
  12. Hance Mtanashati

    Ninadhani Lissu ni salama zaidi huko mahabusu kuliko huku uraiani

    Kwa yaliyotokea kwa Heche, Polepole, ukimya wa Gwajima, naona kabisa bora Lisu aendelee kukaa hukohuko mahabusu kuliko uraiani. Nchi inatisha kwa sasa, na Lisu ndiye mtu pekee anayetazamiwa na wengi kuwavusha kwenye nchi ya ahadi. Sasa tuangalie upande wa pili kama Lisu akarudi uraiani na...
  13. Heparin

    Lissu amkaba Shahidi wa Jamhuri Mahakamani, ahoji elimu yake ya 'Mafriji' kasomea wapi

    Kumsikiliza Lissu akiwasulubu mashahidi wa mchongo wa Jamhuri ni jambo la kufurahisha sana. Leo kamkaba shahidi wa pili kuhusu elimu yake ya kuunga unga kwenye kesi yake ya Ugaidi. Ni polisi, mtaalamu wa cyber ila kasomea kutengeneza mafriji.
  14. Waufukweni

    GE2025 Heche: Lissu amewaambia niko tayari kukaa Gerezani kuliko kuachiliwa na kuondoka ndani ya nchi yangu

    John Heche, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, akizungumza nje ya Ukumbi wa Mahakama Kuu ambako inaendelea kusikilizwa Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, amesema amesikia kuwa wapo watu waliomfuata Lissu na kumwambia akubali kuachiliwa huru kwa sharti la kuondoka...
  15. Koffi Annan

    GE2025 Lissu ni mtu na nusu

    Huyu jamaa anawahangaisha sana CCM. Amekula chuma nusu kufa, Amepigwa kesi ya uhaini, Anaongea ukweli bila kupepesa macho. Haogopi kitu chochote na yupo tayari kwa lolote muda wowote, Kikwete amewahi kusema bora Slaa awe rais kuliko Lissu kukalia kiti cha ubunge. Huyu jamaa siku akihukumiwa...
  16. Waufukweni

    GE2025 Baada ya Kesi ya Lissu kuahirishwa hadi Septemba 9, 2025, raia wameanza kuimba 'Rais!…Rais!…. Rais!'

    Kesi ya uhaini dhidi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu imeahirishwa hadi kesho Septemba 9, 2025 baada ya kuomba muda zaidi kupitia nyaraka za committal proceedings. Lissu aliwasilisha hoja kuwa nyaraka alizopewa akiwa gerezani zinatofautiana na zile alizokabidhiwa leo na Mahakama Kuu...
  17. DuaZaMama

    GE2025 Gombo: Nikiwa Rais namwachia huru Tundu Lissu,Atengeneze katiba mpya

    Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Mhe. Gombo Samandito Gombo, ameahidi kumuachia huru mwanasiasa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, endapo atashinda uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza leo Septemba 4, 2025 katika mkutano wa kampeni...
  18. Stuxnet

    BAWACHA yamtaka Polepole amtaje aliyempiga Lissu risasi

    Swali gumu la BAWACHA kwa Polepole, "Tutajie pia waliompiga Lissu risasi, tunakushukuru kwa mambo mengi unayotuambia" === Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) Taifa, Sharifa Suleiman, amemshambulia vikali aliyekuwa Katibu Mwenezi wa CCM Taifa na Balozi wa Tanzania nchini Cuba...
  19. Waufukweni

    GE2025 Polepole: Tunaendaje kwenye Uchaguzi wakati Mpinzani wa Kweli yuko Gerezani?

    Humphrey Polepole akizungumza kwa njia ya Mtandao usiku wa Agosti 13 amesema; "Mama Samia Mungu atamgusa, nchi hii ni kubwa zaidi kuliko yeye na kwamba dhamana ilimtaka yeye ndiyo awe Rais wa nchi yetu baada ya aliyekuwa Rais kutwaliwa na Mungu. Kwahiyo ana Haki ya kulinda maslai mapana ya nchi...
  20. E

    Chadema achana na maigizo ya ccm, Lissu ukitoka jela nenda kahubiri injili ya ukombozi CCM washatepeta

    Hata msipoahiriki uchaguzi 2030 mtakuja mkiwa Moto ,,,nendeni mkahubiri injili ,,Lissu sina mashaka na uadilifu wake anaweza kuongoza chombo kwa uadilifu bila kutamani shekeli za watawala na hatimae kujenga uungwaji mkono utakaoleta kimbunga achana na akina Zitto nk. Wao Wana mission zao...
Back
Top Bottom