trump

Donald John Trump (born June 14, 1946) is the 45th and current president of the United States. Before entering politics, he was a businessman and television personality.
Trump was born and raised in the New York City borough of Queens, and received a B.S. degree in economics from the Wharton School at the University of Pennsylvania. He took charge of his family's real-estate business in 1971, renamed it The Trump Organization, and expanded its operations from Queens and Brooklyn into Manhattan. The company built or renovated skyscrapers, hotels, casinos, and golf courses. In the 1980s and 1990s, following setbacks in several highly leveraged real estate ventures, Trump diversified into various side ventures, mostly by licensing his name. He co-authored several books, including The Art of the Deal. He owned the Miss Universe and Miss USA beauty pageants from 1996 to 2015, and produced and hosted The Apprentice, a reality television show, from 2003 to 2015. Forbes estimates his net worth to be $3.1 billion.
Trump entered the 2016 presidential race as a Republican and defeated 16 other candidates in the primaries. His political positions have been described as populist, protectionist, and nationalist. He was elected in a surprise victory over Democratic nominee Hillary Clinton, although he lost the popular vote. He became the oldest first-term U.S. president, and the first one without prior military or government service. His election and policies have sparked numerous protests. Trump has made many false or misleading statements during his campaign and presidency. The statements have been documented by fact-checkers, and the media have widely described the phenomenon as unprecedented in American politics. Many of his comments and actions have also been characterized as racially charged or racist.
During his presidency, Trump ordered a travel ban on citizens from several Muslim-majority countries, citing security concerns; after legal challenges, the Supreme Court upheld the policy's third revision. He enacted a tax-cut package for individuals and businesses, rescinding the individual health insurance mandate. He appointed Neil Gorsuch and Brett Kavanaugh to the Supreme Court. In foreign policy, Trump pursued an America First agenda, withdrawing the U.S. from the Trans-Pacific Partnership trade negotiations, the Paris Agreement on climate change, and the Iran nuclear deal. He imposed import tariffs triggering a trade war with China.
A special counsel investigation did not find sufficient evidence to establish criminal charges of conspiracy or coordination with Russia, but found that the Trump campaign welcomed the foreign interference under the belief that it was politically advantageous. Trump was also personally investigated for obstruction of justice and was neither indicted nor exonerated. In a July 2019 telephone call, Trump pressured the Ukrainian president to investigate Joe Biden, a potential rival U.S. presidential candidate for 2020, and his son Hunter Biden. A whistleblower alleged a White House cover-up and a wider pressure campaign which may have included the withholding of military aid to Ukraine, sparking the Trump–Ukraine scandal. In response, the House of Representatives initiated an impeachment inquiry to investigate whether Trump had abused his office for political gain.

View More On Wikipedia.org
  1. E

    Chanzo cha mgogoro kati ya Rais Trump na Elon Musk

    Wiki moja baada ya bilionea wa Marekani, Elon Musk kutangaza kujiondoa katika Serikali ya Rais Donald Trump, uhusiano wao umeendelea kutetereka kiasi cha wawil hao kulumbana mitandaoni. Musk ambaye ni mmiliki wa kampuni za Tesla, Space X na mtandao wa X (zamani Twitter) alitangaza kujiondoa...
  2. Mkalukungone Mwamba

    Trump atishia 'kusitisha ruzuku na mikataba yote ya serikali anayopata Elon Musk

    Donald Trump ameendelea kumshambulia Elon Musk kupitia mtandao wa Truth Social, akisema: "Elon alikuwa ‘anavuka mipaka’, nilimwambia aondoke, niliondoa amri ya magari ya umeme (EV Mandate) iliyolazimisha kila mtu kununua magari ya umeme ambayo hakuna aliyoyataka (ambayo alijua kwa miezi kadhaa...
  3. T

    Sasa rasmi: Trump na Elen Musk wanawashiana moto huko twitani

    Naona wameshibana sasa, mpaka Musk kumwambia Trump bila yeye, asingeshinda Na pia Musk amekasirika baada ya Trump kuweka kodi kubwa kwa matajiri Tulisema hawa hawafiki mbali Yamefika sasa Tutaendelea kuleta updates https://www.youtube.com/watch?v=8oh_WNAYchU
  4. X

    Baada ya kilio cha muda mrefu cha Trump hatimaye leo Xi Jinping amepokea simu ya Trump

    Kwa miezi kadhaa Trump alikuwa akijaribu sana kuongea na Xi bila mafanikio. Pia alikuwa akitamani sana atembelee China aongee na Xi Hatimaye leo ndoto zake zote 2 zimetimia kwanza ya kuongea na Xi kwa simu na pili amekaribishwa na raisi Xi atembelee China. Jambo la kushangaza ni kwamba hizi...
  5. Mi mi

    TRUMP: Nampenda Xi Rais wa China lakini ni mgumu katika kufanya makubaliano Trump asema

    Bila shaka kuna vitu Trump kajifunza kuhusu Xi katika hivi vita vya biashara na ushuru mpaka tulipo fikia hapa inawezekana alikuwa ana mchukulia kawaida Rais wa China Xi kama anavyo vichukulia virais vya nchi masikini kama Tanzania. Donald J. Trump Truth Social 06.04.25 02:17 AM EST I like...
  6. P

    Trump apiga marufuku raia wa nchi 12 kuingia Marekani

    Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza kupiga marufuku raia wa nchi 12 kuingia Marekani. Nchi zilizopigwa marufuku kwa raia wao kuingia Marekani ni Afghanistan, Myanmar, Chad, Republic of the Congo, Equatorial Guinea, Eritrea, Haiti, Iran, Libya, Somalia, Sudan, na Yemen ========== Trump...
  7. Nyani Ngabu

    Rais Donald Trump na Elon Musk ndani ya Oval Office

    Dakika chache zilizopita, Rais Donald Trump kaongea na waandishi wa habari ofisini kwake katika hafla ya kumuaga Elon Musk, ambaye amenaliza muda wake kama ‘Special Government Employee’. Kinyume na narrative ya baadhi ya watu kuwa Trump na Musk wamemwagana [whatever that means], Musk kamaliza...
  8. The Zanzibar Echo

    Kremlin yasema hakuna mipango ya Putin kuzungumza na Trump

    Msemaji wa Ikulu ya Urusi Dmitry Peskov, amesema rais Vladimir Puin hana mipango yoyote ya kuzungumza na rais wa Marekani Donald. Hivi Karibuni Trump ameonesha hadharani kukasirika kwake na rais huyo wa Urusi, akionya wiki hii kwamba Putin anacheza na moto kwa kukataa kujihusisha na mazungumzo...
  9. Manyanza

    Hivi huyu mtoto wa Trump (X Æ A-12) ana umuhimu gani kwenye misafara ya know Trump?

    Wakuu na wajuzi wa mambo Nyani Ngabu , Mayor Quimby Kiranga I huyu mtoto wa Elon Musk ana umuhimu gani kwenye shughuli za Trump maana kwenye ziara nzito za Trump na yeye huwa yupo tu. Naomba kujuzwa Elon Musk, kushoto, akizungumza kama mwanawe, X Æ A-12, na Rais wa Marekani Donald Trump...
  10. Webabu

    Ellon Musk aondoka ikulu ya Marekani akiwa mnyonge baada ya kutapeliwa na raisi Trump

    Raisi wa sasa wa Marekani ni mmoja ya watu hodari katika kutapeli ili kufanikisha mipango yake.Karibuni hivi baada ya Israel kushindwa kumuokoa mateka mwenye uraia wa Marekani raisi Trump aliwatapeli Hamas na kumpata raia huyo kirahisi kabisa.Tabia zake hizi ziliwanasa warembo wengi wa Marekani...
  11. Bird Watcher

    Elon Musk na D Trump tayari wamemwagana

    Wakuu Elon Musk alikuwa Special employee wa Serikali ya Marekani ku lead Department of Efficiency(DOGE) tumekuwa tukisema umu kuwa mafahari wawili hawakai zizi moja Bunge la marekani na Wapinzani wa Trump mara kadhaa wamesikika wakilaumu kuwa Mamlaka ya Elon yanavuka Mipaka Trump was somehow...
  12. Echolima1

    Asante Trump Asante Netanyahu kwa misaada yenu kwetu- Wakazi wa Gaza!!

    Kuna clip zinasambaa zikiwaonyesha wananchi wa Gaza wakimsifu Rais Trump na hata Benjamin Netanyahu kwa juhudi mpya za Marekani na Israel kupeleka chakula moja kwa moja kwa wale wanaohitaji misaada. Aljazeera na PressTv hawawezi kuonyesha video hii kwa sababu ni wanafiki sana!!!
  13. JanguKamaJangu

    Donald Trump amwambia Rais wa Urusi, Vladimir Putin kuwa anacheza na moto

    "Kitu ambacho Vladimir Putin hajui ni kuwa kama sio mimi mambo mengi mabaya yangekuwa yameitokea Urusi, namaanisha MAMBO MABAYA. Anacheza na moto! Donald J. Trump Rais wa Marekani Mei 27, 2025 ======== "What Vladimir Putin doesn’t realize is that if it weren’t for me, lots of really bad...
  14. I

    Harvard vs Trump (2025): Vita kuu kati ya elimu na madaraka ya serikali

    HARVARD vs TRUMP (2025): VITA KUU KATI YA ELIMU NA MADARAKA YA SERIKALI Na Goodluck Maleko J “Kwa mara ya kwanza katika historia ya Marekani ya kisasa, chuo kikuu kinapambana moja kwa moja na serikali kuu kuhusu kile kinachofundishwa, nani anayefundisha, na nani anaruhusiwa kujifunza. Harvard...
  15. Mindyou

    Trump amuita Putin "kichaa" baada ya Urusi kurusha makombora 360 kwenda Ukraine siku ya Jumapili

    Wakuu, Mnakumbuka Trump alivyoingia madarakani alijinadi akisema kuwa anammudu Putin na kwamba akiingia tu madarakani ataimaliza hiyo vita "ON DAY ONE?" Yaani it seems kabisa matarajio yake na alichokutana nacho ni tofauti kabisa. Naona sio Putin wala Zelensky wanayemsikiliza. Ni kama he was...
  16. Mhaya

    Trump Kuvaa Kama Papa Haikuwa Bahati Mbaya, Marekani Ilikuwa Ishafanya Maamuzi Juu Ya Ujio wa Papa Mpya

    Watu wengi walivurugwa baada ya kuiona picha ya Trump akiwa amejipa upapa. Watu wakaongea weee ila mzee baba alijua tu, this time Marekani inatoa papa. Akaamua kutupa picha, sema na vichwa vyetu vya panzi hatukuelewa. Kutu chochote kiitwacho uchaguzi, Marekani anaweza kuingiza mikono yake...
  17. Yoda

    Chakula maalumu cha usiku kwa ajili matajiri wanunuzi wa Cryptocurrency ya Trump chalalamikiwa kuwa duni.

    Juzi Rais wa Marekani DJT alifanya hafla katika club yake ya golf na kuwaandalia chakula cha usiku matajiri zaidi ya 200 waliowekeza zaidi ya $milioni moja kwa kichwa katika Crypto currency yake ya memecoin. Hata hivyo chakula hicho kimelalamikiwa kwamba kilikuwa duni sana ukilinganisha na...
  18. Daby

    Trump amemuuliza Rais wa Afrika Kusini kwanini hawamkamati Julius Malema? Kweli?

    Moja ya ziara zilizotikisa vyombo vya habari week hii ni hii ya Rais wa Afrika Kusini kuitembelea Marekani. Kama kawaida ya Trump alimkalisha chini Ramaphosa Oval office. Lakini safari hii Ramaphosa hakufanya mistakes za Zelensky alikuwa humble and composed. Hili likamfanya Trump naye...
  19. enzo1988

    Kama alivyofanya kwa Zelensky, Trump karudia tena kwa Ramaphosa!

    Jamaa anapenda kudhalilisha sana marais wa mataifa madogo! Ila yale makubwa huwa na heshima sana! Wednesday 21 May 2025 20:56, UK https://news.sky.com/story/trump-ambushes-south-african-president-by-playing-video-alleging-genocide-in-south-africa-13372206 Wednesday 21 May 2025 20:45, UK...
  20. Nyani Ngabu

    Trump kamshtukiza Rais Ramaphosa ndani ya Oval Office

    Hahahaaa. Niliposikia anaenda kuonana na Trump ikulu ya Marekani, nikasema huyo anaenda kufanya nini huko? Hakuona jinsi vile Zelenskyy alivyofanyiwa. Haya, leo naye yamemkuta kiaina 🤣. =============== Donald Trump amemshambulia ghafla Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, wakati wa mkutano...
Back
Top Bottom