Isa 59:2
lakini maovu yenu yamewafarikisha ninyi na Mungu wenu, na dhambi zenu zimeuficha uso wake msiuone, hata hataki kusikia.
Mit 28:9 SUV
Yeye aligeuzaye sikio lake asiisikie sheria, Hata sala yake ni chukizo
TUNAONA DHAMBI inakutenga na Mungu kutokumtii Mungu sheria za Mungu kunamfanya...