Ni kundi la uchochezi kushinda hata vyama vya siasa, hata usemaje wa wakuu wao hauna tofauti na watu wa chama kile, japo hujichekesha kuudanganya umma.
Mimi kama mimi naona hakina faida hata moja na kinawezekana kabisa kinatumika, mambo yao mengi wanayojidai wanayafuata huwa ni mikakati ya...