Ndani ya Tanzania Football Federation (TFF) kumejaa vilaza ambavyo havijui maana ya mpira na matokeo yake ni kuingia mikataba inayovuruga tamaduni na brand za vilabu vya mpira.
Tulisikia juzijuzi hapa Yanga wakigomea kuvaa nembo zenye rangi ya mtani wake, na leo tunasikia sakata jingine la...