TFF na ubovu wa ligi yetu

KAGAMEE

JF-Expert Member
Dec 20, 2013
3,867
4,495
Wakuu mimi ni Yanga kindakindaki na hakuna ambae hajui humu.Huwa naumia sana timu ndogo inapokandamizwa pindi zikutanapo na either Yanga yangu au Simba (Mbembwaji mkuu).Tangu msimu uliopita haya madudu ya marefa yalikuwepo na sasa yanaendelea (yaan karia anasema kazi iendelee).Yafuatayo ni maswali ninayojiuliza sipati majibu;

1.Serikali haioneni haya madudu?

2.Takukuru hawaoni haya madudu?

3.Tff hawaoni aibu kwa mambo ambayo yamekuwa yakiendelea kwenye Soka?

4.Bodi ya ligi wakiamka asubuhi kwenda kazini wanafanya nini huko maofsini kama wanashindwa kusimamia ubora wa marefariii??

5.Waziri wa michezo haoneni yanayoendelea kwenye mpira wetu?

Basi tuseme wote hapo juu wamejisahau,Na Raisi nae haoni upuuzi huu?

Tanzania mpira unadidimizwa kizembe na wenye mamlaka
 
Wakuu mimi ni Yanga kindakindaki na hakuna ambae hajui humu.Huwa naumia sana timu ndogo inapokandamizwa pindi zikutanapo na either Yanga yangu au Simba (Mbembwaji mkuu).Tangu msimu uliopita haya madudu ya marefa yalikuwepo na sasa yanaendelea (yaan karia anasema kazi iendelee).Yafuatayo ni maswali ninayojiuliza sipati majibu;

1.Serikali haioneni haya madudu?

2.Takukuru hawaoni haya madudu?

3.Tff hawaoni aibu kwa mambo ambayo yamekuwa yakiendelea kwenye Soka?

4.Bodi ya ligi wakiamka asubuhi kwenda kazini wanafanya nini huko maofsini kama wanashindwa kusimamia ubora wa marefariii??

5.Waziri wa michezo haoneni yanayoendelea kwenye mpira wetu?

Basi tuseme wote hapo juu wamejisahau,Na Raisi nae haoni upuuzi huu?

Tanzania mpira unadidimizwa kizembe na wenye mamlaka
Yote haya ni baada ya GSM kujitoa kuidhamini ligi kuu..,
Pole sana..
Swali ni je Mo naye angeidhamini ligi kuu,Yanga wasingeleta vigisu vigisu...?..
Mpira wa Bongo una siasa nyingi sana..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
VITENDO vya Aina hii vituzindue nasisi tupambane

USHINDI WA SIMBA DHIDI YA TIMU NYINGINE.

1. Biashara United - Penalty

2 Dodoma Dodoma JIJI - Red Card

3. Polisi Tanzania - Penalty

4 Coastal Union - Red Card

5 Prison Tanzania- Penalty

6 Mbeya City - Penalty & Red Card

7 Kagera Sugar - Red Card

8 Geita Gold - Goal disallowed

9. Ruvu Shooting - Penalty & Red Card

10. Azam FC - Penalty

11. Mbeya Kwanza - Offside goal

Yaani haya yote hayawashtui?? Tusilalamike TUINGIE Vitani
 
VITENDO vya Aina hii vituzindue nasisi tupambane

USHINDI WA SIMBA DHIDI YA TIMU NYINGINE.

1. Biashara United - Penalty

2 Dodoma Dodoma JIJI - Red Card

3. Polisi Tanzania - Penalty

4 Coastal Union - Red Card

5 Prison Tanzania- Penalty

6 Mbeya City - Penalty & Red Card

7 Kagera Sugar - Red Card

8 Geita Gold - Goal disallowed

9. Ruvu Shooting - Penalty & Red Card

10. Azam FC - Penalty

11. Mbeya Kwanza - Offside goal

Yaani haya yote hayawashtui?? Tusilalamike TUINGIE Vitani
Ndio maana hili tatizo la maamuzi mabovu hayakomi sababu asilimia kubwa ya mashabiki ukiwemo wewe ni wanafiki.

Haya matukio mengine uliyotaja maamuzi yake yalikuwa halali ila kwa sababu ya ushabiki wewe unataja tu na mbaya zaidi hujataja hata tukio moja la maamuzi mabovu yaliyoifaidisha yanga kama vile haijawahi kufaidika na maamuzi mabovu.Acha unafiki.
 
VITENDO vya Aina hii vituzindue nasisi tupambane

USHINDI WA SIMBA DHIDI YA TIMU NYINGINE.

1. Biashara United - Penalty

2 Dodoma Dodoma JIJI - Red Card

3. Polisi Tanzania - Penalty

4 Coastal Union - Red Card

5 Prison Tanzania- Penalty

6 Mbeya City - Penalty & Red Card

7 Kagera Sugar - Red Card

8 Geita Gold - Goal disallowed

9. Ruvu Shooting - Penalty & Red Card

10. Azam FC - Penalty

11. Mbeya Kwanza - Offside goal

Yaani haya yote hayawashtui?? Tusilalamike TUINGIE Vitani
Ninachoshukuru tu kuna watu wanajitambua wanaweka ushabiki pembeni na kupata sauti juu ya ubora wa marefarii wa ligi yetu
 
Ndio maana hili tatizo la maamuzi mabovu hayakomi sababu asilimia kubwa ya mashabiki ukiwemo wewe ni wanafiki.

Haya matukio mengine uliyotaja maamuzi yake yalikuwa halali ila kwa sababu ya ushabiki wewe unataja tu na mbaya zaidi hujataja hata tukio moja la maamuzi mabovu yaliyoifaidisha yanga kama vile haijawahi kufaidika na maamuzi mabovu.Acha unafiki.
Mengine yalikuwa sahihi kabsa ila 90% siyo
 
Yanga Ligi mnaongoza nyinyi... Lakini Kwa Mateso Makali haya...Kilio Mapemaaa..!
Msukule Wakati Unatua Yanga Uliusia Muache Kulalamika..Ajabu Yeye Leo anaitisha press Kulalamika.
Ama Kweli huko wote ni 'Machale Championi' kasoro JK na Sunday Manara...!
 
VITENDO vya Aina hii vituzindue nasisi tupambane

USHINDI WA SIMBA DHIDI YA TIMU NYINGINE.

1. Biashara United - Penalty

2 Dodoma Dodoma JIJI - Red Card

3. Polisi Tanzania - Penalty

4 Coastal Union - Red Card

5 Prison Tanzania- Penalty

6 Mbeya City - Penalty & Red Card

7 Kagera Sugar - Red Card

8 Geita Gold - Goal disallowed

9. Ruvu Shooting - Penalty & Red Card

10. Azam FC - Penalty

11. Mbeya Kwanza - Offside goal

Yaani haya yote hayawashtui?? Tusilalamike TUINGIE Vitani
Cha kujiuliza je hizo ni halali au sio halali?

Asilimia 90 ya hizo zote ni halali.

Unataka watu wacheze rafu mbaya wasipewe Card?

Watu washike kwenye box au wacheze rafu kwenye box, referee asitoe penati?

Sheria za mpira za kazi gani sasa?

Utopolo mmeshaanza malalamiko mapema hii. Tumeshasema tunachukua ubingwa back to back mara kumi.
 
Cha kujiuliza je hizo ni halali au sio halali?

Asilimia 90 ya hizo zote ni halali.

Unataka watu wacheze rafu mbaya wasipewe Card?

Watu washike kwenye box au wacheze rafu kwenye box, referee asitoe penati?

Sheria za mpira za kazi gani sasa?

Utopolo mmeshaanza malalamiko mapema hii. Tumeshasema tunachukua ubingwa back to back mara kumi.
Punguza ushabiki bro,90%?????
 
Wakuu mimi ni Yanga kindakindaki na hakuna ambae hajui humu.Huwa naumia sana timu ndogo inapokandamizwa pindi zikutanapo na either Yanga yangu au Simba (Mbembwaji mkuu).Tangu msimu uliopita haya madudu ya marefa yalikuwepo na sasa yanaendelea (yaan karia anasema kazi iendelee).Yafuatayo ni maswali ninayojiuliza sipati majibu;

1.Serikali haioneni haya madudu?

2.Takukuru hawaoni haya madudu?

3.Tff hawaoni aibu kwa mambo ambayo yamekuwa yakiendelea kwenye Soka?

4.Bodi ya ligi wakiamka asubuhi kwenda kazini wanafanya nini huko maofsini kama wanashindwa kusimamia ubora wa marefariii??

5.Waziri wa michezo haoneni yanayoendelea kwenye mpira wetu?

Basi tuseme wote hapo juu wamejisahau,Na Raisi nae haoni upuuzi huu?

Tanzania mpira unadidimizwa kizembe na wenye mamlaka
tulia dawa ikuingie

0B80FF7A-6569-43AB-9647-2578EAE38252.jpeg
 
Back
Top Bottom