technolojia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Je, unajua wayahudi wamechangia pakubwa maendeleo ya technolojia urusi?

    Kumbe sio usa tu pekee imesaidiwa na wayahudi katika maendeleo ya tecnolojia hata urusi pia ambayo tunaaminishwa itasaidia iran imesaidia pakubwa sana na wayahudi katika maendeleo ya tecnolojia hapa kuna list ya wanasayansi wakubwa wa urusi wenye asili ya kiyahudi na gunduzi zao 1. Andrei...
  2. The Burning Spear

    Technolojia ni Mwiba kwa Wanasiasa waongo mwoneni Ruto hapa acha vijana wamnyoloshe

    GT. Wakenya wanadai kile Ruto aliahidi.
  3. FORTUNE JR

    Mchezo wa mauti, Jinsi technolojia inavyomaliza kizazi kizima

    Tunaishi katika kizazi kilicho na: Simu zenye akili kuliko watumiaji wake. Mitandao ya kijamii yenye ushawishi kuliko wazazi, walimu, au viongozi wa dini. Maarifa mengi, lakini hekima haba. Je, maendeleo haya yanatupeleka kwenye nuru au tunazidi kuzama kwenye kivuli cha giza lisiloonekana...
  4. dorge

    Nilichokipitia leo, kimenipa funzo, na kwa kweli umbea na papara kwenye technolojia sitarudia.

    Natumia simu flan Samsung sasa bana nina tabia ya ku install app mbalimbali. Kurekodi sauti, nk Sasa kuna app moja sijui ni ya Samsung ama nimeiwekaa bana nika ipa permit iwe on.. Simu imenitesa na kwa sabab ni naitumia kuhudumia watu nje na nsani ya ofsi kila kitu kilienda hovyo. Tabia zetu...
  5. Faana

    China yaja na technolojia mpya ya kuunganisha mtandao

    Kampuni ya Chang Guang Satellite imeweka kiwango kipya cha 100 Gbps kwa kutumia kiunganishi cha laser kutoka angani hadi Duniani, ikiiacha Starlink nyuma na kutanguliwa na satelaiti za Jilin-1, hii sio tu kuhusu intaneti ya kasi zaidi—ni hatua kubwa kuelekea uvumbuzi wa hali ya juu wa kuelekea...
  6. mackj

    Gharama za ada ya usajili wa huduma za technolojia TCRA zinakatisha tamaa wabunifu wanaoanza (start-up innovators)

    Serikali kupitia mamlakaya mawasiliano nchini TCRA inahimiza wabunifu kubuni huduma mbalimbali za kiteknolojia ili kuchochea kasi ya maendeleo na kuboresha huduma ili kurahisisha maisha Lakini kikwazo kikubwa ni ughali wa leseni za usajili wa huduma hizo za kibunifu kwa wabunifu wanaoanza yaani...
  7. F

    SoC04 Tanzania yenye ajira lukuki, likifanyika jambo hili inawezekana

    TANZANIA YENYE AJIRA LUKUKI INAWEZEKANA Likifanyika Jambo Hili. Twende Moja Kwa Moja Kwenye Point, Sekta Binafsi Ni Moja Ya Sekta Muhimu sana katika kuzalisha Ajira. Sitaki kuongelea Mazingira Yaboreshwe kuruhusu Uwepo wa Sekta Binafsi nyingi, Nachotaka Kushauri Mimi ni hiki hapa.. SERIKALI...
  8. Kang

    Google wanaongeza teknolojia za kuwakwaza wezi wa simu kwenye Android

    Google wametangaza maboresho ya kupunguza wizi na kulinda data pale simu inapoibiwa. Baadhi zitakuja na Android 15 na baadhi zitakuja kwenye Android kuanzia 10 kwa kupitia update ya Play. Android’s theft protection features keep your device and data safe Theft Detection Lock Simu itatumia AI...
  9. Kaka yake shetani

    Tumetoka mbali kwenye teknolojia?

    Moja ya kitu ambacho kilikuwa kina nikera ili kwenye kufungua tovuti.
Back
Top Bottom