Umofia kwenu!.
Dunia inabadilika, zama pia zinabadilika. Hata miili pia inalazimishwa kubadilika.
Sura za wanawake zinachakachuliwa sana. Mpaka kukosa uhalisia wenyewe. Yote haya ni kwa ajili ya kumnasa mwanaume. Kuanzia kujichubua, make up, plastic surgery na makorokocho mengine kibao. Sasa...