sukuma gang

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Just Pray

    PostGE2025 Hawa ndiyo waliotupwa nje baraza jipya la mawaziri

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza Baraza la Mawaziri huku wakiwekwa kando baadhi ya mawaziri waliokuwamo kwenye baraza lililopita. Walioachwa na wizara zao walizoziongoza kwenye baraza lililopita ni aliyekuwa, 1. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko, 2...
  2. Septemba 6AM

    Waambieni wanachama wa CHADEMA, Sukuma Gang na wakristo wa- download VPN tunajambo letu

    Aluta... Siku 13 zimebakia. Jambo letu linaenda kukamilika kikamilifu. Tunaenda kuonyesha ulimwengu Legacy ya Nyerere. Ukombozi. Ambia wanachadema, Sukuma gang, na Wakristo wote wenye smartphone wapakue VPN app zenye security nzuri. Tutafanya tofauti, maandamano yetu hayatafanana na mengine...
  3. funaku

    GE2025 Makonda ameondoa ombwe la kilichoitwa SUKUMA GANG

    Wana wa stratejia ndani ya CCM wamefanikiwa sana kumleta Makonda Paul ambaye ni msukuma mvaa utepe mkononi unaoashiria majonzi . Makonda ameenda kanda ya ziwa na kuhakikisha kura za "kisukuma" zinapatikana. Heko kwao kwa wanazuoni ndani ya ccm kwa mpangilio bora wa kampeni.
  4. Lord Denning

    GE2025 Meza zinageuka sana: Kipindi cha Magufuli Mtandao walitamani ziwepo Reform za Katiba, sasa Mtandao wameshika hatamu Sukuma Gang wanahubiri Reforms!

    Mwaka 2016 hadi 2020 wakati wana Mtandao wanashughulikiwa vilivyo na Sukuma Gang walianza kuona umuhimu wa kuwa na Mchakato wa Katiba Mpya ili kuwabana Viongozi wasitumie madaraka yao vibaya. Kipindi kicho Sukuma Gang walikuwa na msemo eti Katiba haileti ugali mezani. Sasaivi Sukuma gang...
  5. Lord Denning

    Lijue kundi la Wajamaa CCM linalojulikana kama Sukuma Gang

    Amani iwe nanyi Wanabodi. Baada ya kulielezea kundi la Wanamtandao napenda tena kuwaletea Uchambuzi mdogo kuhusu kundi kinzani la Wajamaa ndani ya Chama cha Mapinduzi. Hawa wanajulikana kama Sukuma Gang au Chato Gang. Kuna nadharia nyingi zimeenea kwa miaka kadhaa kuhusu uwepo wa Kundi la...
  6. mdukuzi

    Adui nambari moja wa Samia Suluhu ni Sukuma gang, sio Tundu Lissu

    TAL anatetea maslahi ya Tanganyika. Ameanza hizo harakati tangu enzi za mzee Benjamin Mkapa mpaka sasa. Sukuma gang wanatetea maslahi yao na matumbo yao Sukuma gang sio kabila bali wafuasi wote wa jiwe bila kujali makabila au asili yao
  7. MIXOLOGIST

    Ni upi mustakabali wa SUKUMA GANG baada ya azimio la chama pendwa?

    Hili Genge lilitamba sana miaka ya nyuma na kutuaminisha kwamba lenyewe ndiyo lina hati milili ya uongozi wa nchi yetu Mambo yanaenda kasi sana, na tayari chama chetu pendwa kimekuja na azimio., azimio linalilosababisha vijana zaidi ya 1000 kutembea kutoka Dodoma hadi Dar-es Salaam kuliunga...
  8. R

    PreGE2025 Sukuma gang hatuta-support CCM 2025, tutakwenda na Tundu Lissu

    Huo ndio msimamo mpya , baada ya yote yaliyopita na kutokuwepo jf kwa zaidi ya mwaka nimeona niweke wazi msimamo watu tunaoamini katika falsafa za hayati Magufuli ni kwamba tutamsupport TL popote alipo . Niweke wazi ,sukuma gang sio kabila ni itikadi ya kizalendo . Ni hayo tu .
  9. D

    Sukuma gang tunasema hii ni laana ya Magufuli kwa mbowe baada ya kushangilia kifo chake.

    DJ, DJ, DJ nimekuita mara tatu wahi chato ukaombe radhi... Sasa umekufa kisiasa umebakizwa kuzikwa. Ulimsema sana mzilakende kwa ukabila na kuzusha uongo mwingi leo sacos yako inaenda kufa iko hoi taabani na dawa pekee ni wewe ubwage manyanga au uongoze chama maiti.
  10. D

    Tulisema mwamba amelamba asali, tukambiwa sukuma gang hatupendi maridhiano

    DJ sasa anaelekea kwa lipumba, hayati mrema na ndugu yao Odinga. Wanasiasa wa upinzani huwa hawaaminiki hasa africa bara la kiza.
  11. E

    Niligundua ni bora kuongozwa na Sukuma gang kuliko CHADEMA

    Misimamo ya Sukuma gang ipo wazi Demokrasia sio kipaumbele ni kazi tu CHADEMA hawana chochote wanachosimamia ,haijulikani wanapinga ufisadi au la
  12. Nehemia Kilave

    Mambo machache Sukuma Gang bado wanayahitaji yafanyiwe kazi

    Wapenda Nchi waliopewa jina maarufu la Sukuma gang wana haya machache na kama ntakuwa nimesahau mengine wataongezea , lakini kiujumla wanafurahishwa na mwenendo wa Mama . 1. Wanaomba suala la nidhamu makazini ifanyiwe kazi 2.Wanasema ,Dhana ya kula kwa urefu wa kamba mara ya mwisho...
  13. S

    Adhabu ya spika kwa Mpina ni mwendelezo wa watoto wa mjini kuwang'onyesha sukuma gang?

    Kuna maneno na minongong'ono mingi sana vijiweni, kufuatia adhabu inayodhaniwa kuwa ya uonevu iliyotolewa na spika kwa Mpina. Wapo wanaodai spika ana unasaba ama "amewekwa sawa" na wafanyabiashara (mafisadi), lkn wapo wanaodai kuwa hii ni vita ya chini kwa chini kati ya ccm ya watoto wa mjini...
  14. The Burning Spear

    Zile propaganda za Sukuma Gang ziliishia wapi?

    Wazee wanasema Ngoma ya watoto haikeshi. Hicho ndicho ninachoweza Kusema. Sisi tulipaza sana sauti kumwambia Samia unaelekea kwenye matope tukaishia kuitwa sukuma gang. Oooh mara Tukazikwe Naye Chato. Watu wazuri hawafi.ujinga Mtupu Kila aliyefungua kinywa na kumsonda kidole Samia aliitwa...
  15. S

    Kwa mwendo huu machawa wa Samia wataendelea kupeta

    Salama ya upinzani kuchukua dola ilikuwa mikononi mwa maridhiano ambayo yangepelekea uundwaji wa katiba mpya ambayo ingezaa tume huru ya uchaguzi. Na jambo hili lilikuwa pia linasubiriwa kwa hamu kubwa Sana na sukuma gang ili wajaribu kutupa karata yao kumuondoa Samia na kundi lake. (Ndiyo...
  16. S

    Tusipoangalia Sukuma Gang watafanikiwa sana

    Kwa namna mambo yalivyokuwa yanaenda sukuma gang walikuwa hawapumui kabisa na walikuwa wamebanwa kila kona. Maombi yao yalikuwa ni kuona Rais Samia anakosea ili wapate mlango wa kutokea. Mwanya umejitokeza kwenye hili sakata la DP World naona sukuma gang wanasukuma ajenda zao kwa kasi ya...
  17. R

    Nimefuatilia na kujiridhisha kwamba SUKUMA GANG twende na Tundu Lissu hakika 2025 tunachukua dola

    Habari, Binafsi nlikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la Kushambuliwa Tundu lissu. Alichokifanya Tundu lissu katika mazingumzo haya hapa chini kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni...
  18. THE BIG SHOW

    Kuna kila dalili CHADEMA na Sukuma Gang wameunda umoja wa siri dhidi ya Serikali. Umoja wenu uwe na hoja za msingi zenye mashiko

    Friends and Enemies, Ngoma ambayo mwenyekiti wa kudumu wa chadema Freeman Mbowe aliianzisha wiki kadhaa zilizopita ndiyo kiini hasa Cha taharuki ya tunachokiona kinaendelea Kwa sasa. Either nichukue nafas yangu kumpongeza Waziri Mkuu Majaliwa kwa kufanya clarifications za kina kuwa hakuna...
  19. Superbug

    Tuache kutumia neno sukuma gang kwasababu ya aliyoyafanya Magufuli ambae hakuwa Msukuma

    Ndugu zangu naomba tuache kutumia hii phrase ya sukuma gang ni kweli magufuli alifanya mambo ya hovyo sana katika historia ya nchi yetu na ndipo waungaji mkono wake (wema kwa wabaya) wakaitwa sukuma gang lakini honestly magufuli sio Msukuma kwa kabila hivyo tuache kuwanyanyapaa wasukuma kwa...
  20. K

    Ukionekana unatetea sana maslahi ya taifa unaanza kuitwa Sukuma Gang

    Inashangaza sana, hata wabunge wanaopinga ufisadi na kutetea masilahi ya taifa kama Luhaga Mpina wanabatizwa kuwa hao ni kundi ka Sukuma gang! Kwanza hiyo kitu haipo. Kilichopo ni sera. Sisi tunataka uwajibikaji na kukomesha wizi na uzalendo. Hivyo mliokuwa mnawatukania na kumdhihaki aliyewafia...
Back
Top Bottom