sudan

Sudan (; Arabic: السودان‎ as-Sūdān), officially the Republic of the Sudan (Arabic: جمهورية السودان‎ Jumhūriyyat as-Sūdān), is a country in northeastern Africa. It is bordered by Egypt to the north, Libya to the northwest, Chad to the west, the Central African Republic to the southwest, South Sudan to the south, Ethiopia to the southeast, Eritrea to the east, and the Red Sea to the northeast. Sudan has a population of 43 million people (2018 estimate) and occupies a total area of 1,886,068 square kilometres (728,215 square miles), making it the third-largest country in Africa and also the third-largest in the Arab world. Before the secession of South Sudan from Sudan on 9 July 2011, the united Sudan was the largest country in Africa and the Arab world by area. Sudan's predominant religion is Islam, and its official languages are Arabic and English. The capital is Khartoum, located at the confluence of the Blue and White Nile. Since June 2011, Sudan is the scene of an ongoing military conflict in its southern states.
Sudan's history goes back to the Pharaonic period, witnessing the kingdom of Kerma (c. 2500 BC–1500 BC), the subsequent rule of the Egyptian New Kingdom (c. 1500 BC–1070 BC) and the rise of the kingdom of Kush (c. 785 BC–350 AD), which would in turn control Egypt itself for nearly a century. After the fall of Kush, the Nubians formed the three Christian kingdoms of Nobatia, Makuria and Alodia, with the latter two lasting until around 1500. Between the 14th and 15th centuries much of Sudan was settled by Arab nomads. From the 16th–19th centuries, central and eastern Sudan were dominated by the Funj sultanate, while Darfur ruled the west and the Ottomans the far north. This period saw extensive Islamisation and Arabisation.
From 1820 to 1874 the entirety of Sudan was conquered by the Muhammad Ali dynasty. Between 1881 and 1885, the harsh Egyptian reign was eventually met with a successful revolt led by the self-proclaimed Mahdi Muhammad Ahmad, resulting in the establishment of the Caliphate of Omdurman. This state was eventually destroyed in 1898 by the British, who would then govern Sudan together with Egypt.
The 20th century saw the growth of Sudanese nationalism and in 1953 Britain granted Sudan self-government. Independence was proclaimed on 1 January 1956. Since independence, Sudan has been ruled by a series of unstable parliamentary governments and military regimes. Under Gaafar Nimeiry, Sudan instituted Islamic law in 1983. This exacerbated the rift between the Islamic north, the seat of the government and the Animists and Christians in the south. Differences in language, religion, and political power erupted in a civil war between government forces, strongly influenced by the National Islamic Front (NIF), and the southern rebels, whose most influential faction was the Sudan People's Liberation Army (SPLA), eventually concluding in the independence of South Sudan in 2011. Between 1989 and 2019, Sudan experienced a 30-year-long military dictatorship led by Omar al-Bashir. Due to his actions, a War in Darfur Region broke out in 2003. Bashir was accused of ethnic genocide. Overall, the regime left 300,000–400,000 dead. Protests erupted in late 2018, demanding Bashir's resignation, which resulted in a successful coup d'état on April 11, 2019.

View More On Wikipedia.org
  1. Yesha

    The president of South Sudan in East Africa.

    This is Salva Kiir Mayardit, the president of South Sudan in East Africa. The nation’s future largely depends on his leadership. It’s clearer now why numerous African countries face deep challenges. Future generations may question how our continent allowed such leadership failures and...
  2. mcTobby

    Rais wa Sudan amteua mtu ambaye ni marehemu tayari

    https://x.com/i/status/2018740673470513646 Tanzania huu ujinga huwezi kufanyika hata siku moja.🫡
  3. Dalton elijah

    Rais Salva Kiir ameteua Mjumbe aliyekufa kwenye Baraza la Mawaziri

    Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir amemteua bila kukusudia mtu aliyekufa kuwa mjumbe wa kamati itakayoandaa uchaguzi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki. Msemaji wa ofisi ya rais amesema hii leo kwamba mamlaka zilipitiwa wakati wa uteuzi baada ya Steward Sorobia Budia, mwanasiasa wa zamani wa...
  4. Kijakazi

    Al-jazeera: to understand the war in sudan, start here!

    hii vita nilikuwa sijailewa mpaka hii docu ya al jazeera, pure evil ... https://www.youtube.com/watch?v=ZaQnaF3pP4I
  5. L

    Wataalamu wa China waleta unafuu kwa jamii zinazokabiliwa na uhaba wa huduma za matibabu nchini Sudan Kusini

    Agnes Alison Nunu, mwenye umri wa miaka 38 na mama wa watoto sita, amesitisha biashara yake ndogo ya kuuza vitafunwa kutokana na maradhi yanayomsumbua mtoto wake, mpaka pale timu ya madaktari wa China ilipowasili katika eneo la makazi yake kando ya mji mkuu wa Sudan Kusini, Juba. Desemba 6...
  6. Samia atosha tukutane2030

    Tanzania ina aina ya ulinzi wa tofauti kabisa. Si rahisi kuingizwa kwenye shimo kirahisi kama Sudan au Libya

    Kuna vijana Libya walikuwa front line kuhakikisha Gaddafi anaondolewa Libya bila ya kujua kuwa nyuma yao kuna nguvu ovu inawasukuma. Vijana wengi wa Libya walipambana na serikali yao wakijidhani wamevaa vazi la uzalendo kumbe ni mipango iliyosukwa kwa ustadi na waroho wa rasilimali za Libya...
  7. Mhaini

    Sio Buzwagi tu wanaiba Dhahabu, Sudan Kusini, tani 5 zaa dhahabu zinaibiwa kila Mwaka

    Ripôti mpya iliotolewa na shirika SWISSAID imeonesha kuwa nchi ya sudan Kusini huzalisha tani 5 ya dhahabu kila mwaka, lakini hakuna dhahabu inayorekodiwa au kusafirishwa kwa njia halali, hii ikiashiria namna serikali imeshindwa kusimamia uchimbaji wa madini licha ya kuwepo kwa kanuni, hali...
  8. ELI COHEN

    UN imekatalia gaza pekee. Sudan na pengine wapo kimyaaa!!

    Kuna wakati trump aliwa diss sana sana UN, ni namna gani wapo bias na wanafiki Sasa ndio naelewa kwanini This is what we call paid activism, wanafurahia pesa za mafuta hawa🚮🚮
  9. Richard

    Chuo kikuu cha Yale wamechukua picha za satelite zinoonyesha mauaji huko El Fashar. Je, waweza kufanya hivyo kwenye miji ya Tanzania?

    Picha hii ilichukuliwa tarehe 1 Novemba ikionyesha mahala ilipozikwa miili ya watu walouawa karibu na msikiti kwenye mji wa ElFashar nchini Sudan: Picha na Aljazeera. Chuo Kikuu cha Yale kilichopo nchini Marekani ni moja ya vyuo vikuu vikubwa nchini humo kilojikita kwenye sayansi na uvumbuzi...
  10. R

    Video: Wapiganaji wa RSF walivyotekeleza mauaji mji wa Al Fasher Sudan

    Wapiganaji wa RSF nchini Sudan wanaendeleza mauaji ya halaiki katika mji wa Al Fasher, baada ya kudai kudhibiti ngome ya mwisho ya jeshi la Sudan katika eneo hilo la magharibi mwa nchi Oktoba 26 SF
  11. Huihui2

    Alaah Salah kiongozi wa Gen Z wa Sudan mwaka 2019, na je amefanikiwa kiasi gani kuijenga Sudan mpya

    Maaka 2019 Alaah Salah alikuwa na umri wa miaka 22 huku akiwa mwanafunzi wa mwaka wa 2 pale University of Sudan. Aliongoza na kuhamasisha maandamano yaliyomtoa Omar Bashir madarakani. Mpaka sasa Omar Bashir yuko kifungoni akitumikia adhabu ya makosa ya jinai aliyotenda. Hapo awali Sudan...
  12. MK254

    Njaa imetanda Sudan huku wakiuana na kuchinjana hadi basi tu, binadamu amechafukwa hana huruma

    Haya mapicha yanasikitisha, hapa kuna link kwa yeyote mwenye uwezo wa kutoa misaada abofye akasaidie, hali ni mbaya, hadi nimekosa hata hamu ya kula...
  13. Dalton elijah

    Umoja wa Mataifa wameshtushwa sana na kuzorota kwa hali katika jimbo la al-Fasher la Sudan

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kusitishwa mara moja kwa mapigano katika jimbo la Darfur nchini Sudan baada ya shambulio baya la ndege isiyo na rubani siku ya Ijumaa kuwauwa waumini zaidi ya 70 huko El-Fasher, na kueleza hofu kubwa kuhusu hali inayozidi kuzorota. "Mapigano lazima...
  14. ELI COHEN

    Naamini kuna mamlaka zinazohakikisha kile kinachopaswa kuzungumzwa ni Palestine pekee huku maeneo kama Sudan, Syria, Nigeria kaskazini, etc.. kimya

    Jeshi la houthi lisababisha vifo ya mamilioni ya watoto huko yemen na kuacha utapia mlo ambao upo hadi leo unatesa watoto. Jeshi la ISIS liliwateka wanawake wa kisyria na iraq na kuwageuza watumwa wa kingono na wengine kuwauza kwa watu wengine. Jeshi la boko haram limesababisha chaos nigeria...
  15. McLaren

    Sudan watu zaidi ya 1,000 wafariki dunia kwenye maporomoko ya ardhi. Kijiji chote kilifunikwa

    Wakuu, Maporomoko mabaya ya ardhi katika eneo la Darfur nchini Sudan yamefuta kijiji kizima, yakiua zaidi ya watu 1,000 na kumuacha mtu mmoja pekee hai, kwa mujibu wa Harakati ya Ukombozi wa Sudan/Jeshi (SLM/A). Tukio hilo lilitokea tarehe 31 Agosti baada ya mvua kubwa kunyesha kwa siku kadhaa...
  16. mcTobby

    Kabla huruma zetu hazijavuka mipaka hadi Gaza, basi tuanze kuwaonea huruma wa Sudan na maeneo mengine ndani ya Afrika

    Tusiwe wanafiki.. au kwa vile palestina ipo live aljazeerq basi ndio sisi akina baba+mama huruma tunajikuta tunawasikitikia wa Gaza ila wa hapa kwetu ndani ya bara la Afrika hatuwaoni sio? Tuacheni unafiki.. hata hapo Sudan kuna wa Afrika wenzetu wanakufa na njaa... yeah CHARITY BEGIN AT...
  17. U

    Majadiliano: Wapalestina kupelekwa Sudan Kusini

    Ikiwa ni kweli; Je, viongozi wa Sudan Kusini watajifunza kutokana na historia au watatanguliza njaa zao? Kipindi kile Janjaweed wanawaua Wasudan weusi, wanahistoria wakasema kuwa, Wasudan weusi ndiyo walikuwa wenyeji wa Sudan na ndiyo waliwakaribisha Waarabu lakini mwisho wa siku Waarabu wakawa...
  18. Beira Boy

    Sudan Kusini wamepata wapi u special wa kutrend dunia nzima na kukubalika namna hiyo na kuwa kivutio namna hiyo?

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Hawa watu wa sudani kusini ambao walikuwa na njaa na kufukuzwa na waarabu wenzao wa Sudan mbona wamemugeuka kuwa maarufu ghafla sana Wametoa wapi u special huo maana saiz kila ukingia mtandaon ni wao tu Kwa wale wapenda madem ukitoa mimi...
  19. ndege JOHN

    Naomba kupashwa habari kuhusu Rapid Support Forces wa Sudan

    Wakuu wajuzi wa mambo hawa wanamgambo wanasemekana ni waasi na wako oppose na jeshi la serikali ila kwenye tovuti Yao wanajinasibu wanafanya operation zao under chief military na pia Wana support kubwa toka falme za kiarabu je NI kweli NI magaidi au NI jeshi la namna gani hili?
  20. S

    Sudan: Watu wameanza kula majani ya pori au chakula cha mifugo ili kuendelea kuishi

    Habari: El Fasher, mji mkuu wa Darfur Kaskazini nchini Sudan, umekuwa chini ya mzingiro wa Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF) kwa zaidi ya miezi 14, hali iliyosababisha janga kubwa la kibinadamu kwa wakazi takriban 900,000. Athari kwa Binadamu Masoko yamekauka, bidhaa za msingi kama sukari...
Back
Top Bottom