sua

  1. Z

    JamiiForums Tanzania Waziri Ndalichako, bado wanafunzi tunaibiwa Vyuoni, SUA na UDSM wamo

    Bodi ya mikopo ya wanafunzi kwa kushirikiana na viongozi wa vyuo vikuu ilikuwa ikiiba pesa za wanafunzi hewa, walioacha masomo na hata waliofariki. Bahati mbaya hakuna hatua ya maana iliyochukuliwa. Kuna mtindo mpya wa wizi. Vijana wetu wanapomaliza masomo na kufuatilia vyeti, huambiwa...
  2. NILISOMANAE YULE

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa ulipaji ada pale Sokoine University (SUA)

    Wakuu ningependa kufahamu kama unatumia Control Number au Account Number ya chuo kukamilisha hili jambo.
  3. aztec

    JamiiForums Tanzania Bachelor of Agriculture Economy and Agribusiness

    Wakuu naomba kuuliza juu ya kozi ya ""Bachelor of Agriculture Economy and Agribusiness """ iliyopo pale sua . Ipoje na fursa zake zipoje.
Back
Top Bottom