ssd

  1. S

    CPU mashine kubwa kabisa na mpya HP 290 G4, SSD ndani

    IMEUZWA
  2. I

    🔥 Je, SSD Yako Ina Afya Nzuri? Hivi Ndio Namba Zinavyosema

    🔥 Je, SSD Yako Ina Afya Nzuri? Hivi Ndio Namba Zinavyosema Wengi hudhani SSD (Solid State Drive) ikishafanya kazi basi haina matatizo—lakini ukweli ni kwamba, kila SSD ina maisha yake. Kila namba unayoiona kwenye SMART data au software ya monitoring ni kama kura kwenye uchaguzi: inakueleza...
  3. Official jr

    GAMING PC FOR SALE

    GAMING PC MOTHERBOARD: CVN B460 GAMING FROZEN CORE i5 -10500 12 CPUs (10th GENERATION ) RTX 2060 6GB 16GB RAM (DDR4) 4 Slots 120GB SSD 500GB HDD 520Watt Antec PSU NZXT CASE ORIGINAL LENOVO CONTROLLER GAMES: FC 25 COD MODERN WARFARE II UNCHARTED COLLECTION GTA COLLECTION PRICE: 1.3m...
  4. Big Fat Lady

    INAUZWA SSD zinauzwa @ 120,000/=

    SSD zinauzwa 512GB SATA Moja 120,000/= (zipo mbili) Zipo Mbezi beach Mawasiliano: +255625550108
  5. I

    Watumiaji na Wataalamu Hawatumii HDD Tena Wana M.2 SSD, Wewe Je?”

    M.2 SSD ni Nini? Fahamu Chanzo cha Kasi Mpya kwenye Kompyuta za Kisasa Na Maleko GJ Ikiwa kuna kitu kimoja watumiaji wa kompyuta wanataka zaidi kila siku, ni kasi. Kasi ya kuwasha kompyuta, kufungua programu, kuhifadhi mafaili, na kufanya kazi nzito kama video editing au gaming. Na jibu la...
  6. Nyamwage

    Nimenunua SSD 512GB ya SATA Kariakoo lakini kila nikiigoogle sioni manufacturer wake nahisi nimepigwa

    Mpaka naamua kujifariji au ni brand mpya haijafahamimika bado sokoni maana bei nilio uziwa nikilinganisha na maduka mengine inaweza kuwa ni nusu bei kingine kinachonipa wasiwasi nafasi kawaida ssd 512 ukiweka inasomeka 476gb lakini hii inasomeka 443gb nimetest kuhamisha large files za GB 271...
  7. Binadamu Mtakatifu

    Computer inauzwa bei 230k ram 8, ssd 128

    Bei ni 230k nipo dar Problem ni hii nilinunua mwezi wa kwanza mwaka huu refub, ishu ni inapassword kwenye eufi sijui ni bios (ambayo siijui na niliponunulia warranty ni miez sita) Ram 8GB, Ssd 128, Battery 3hrs Bei maelewano
  8. Nyamwage

    SSD 128 itatosha kwa windows

    Nina HDD 1tb nimeongeza na 128gb SSD kwa ajili ya Windows na system ili kuwezesha PC kuwaka haraka na kweli mabadiliko nayaona PC inawaka haraka na inakuwa tayari kwa matumizi bila ya kuirefresh nimeweka na game moja humo kwenye 128 SSD lina 28 gb tangu hapo sijainstall kitu chochote humo kwenye...
  9. Jumanne Mwita

    Msaada: SSD 1080 PRO NGFF M.2 4TB Haifanyi Kazi Kwenye Laptop Yangu

    Habari wanajamvi, Nimenunua kifaa cha kuhifadhi data aina ya 1080 PRO NGFF M.2 SSD 4TB Kwa ajili ya kuongeza uwezo wa laptop yangu. Hata hivyo, baada ya kukifunga kwenye laptop yangu, haisomi ingawa inaonyesha kuwaka kama kawaida. SSD iliyokuwepo awali ni ya 128GB M.2 NGFF ambayo niliinunulia...
  10. Rungwe88

    Computer4Sale Nauza Dell Laptop Latitude 5300, core i5, Ram 8GB SSD 500GB. 8 generation

    SPECIFICATION Model : Dell Latitude 5300 Processor: Core i5 Ram : 8 GB SSD : 500 GB Size : Inch 14 Generation : 8 Window : 11 Screen: Normal and Touch screen Bei : 500,000/= Computer ni used ila ipo kwenye ubora mzuri sana kama mpya. Inakaa na charge zaidi ya masaa kumi ukitumia mfululizo. Ina...
  11. sky soldier

    Hard disks ni teknolojia ya zama za kale, zina uwezo mdogo wa kufanya kazi kwenye computer / Laptops, weka SSD kwa bei rahisi speed ya radi

    Teknolojia ya vifaa vya kushikilia data imekuwa kubwa sana ni ajabu naona bado Tanzania tunaendelea kutumia Hard Disks. Hard Disks huwa zinasoma data kwa vifaa kuzunguka ndani yako, Zipo slow sana, hata ukiweka ram kubwa ama uwe na processor nzuri, itakuwa na msaada kidogo, ni sawa na mtu...
  12. Mpetde

    Nini tofauti ya SSD, Cloud Storage & Virtual Storage?

    Mkuu The bump Tunaomba utoe ufafanuzi wa vifuatavyo SSD ni nini, faida yake ni nini na kazi yake ni nini? Cloud storage ni nini, faida yake ni nini na kazi yake ni nini? Virtual storage ni nini, faida yake ni nini na kazi yake ni nini? Tunaomba maelezo yaliyojitosheleza maana nimefanya km...
  13. The bump

    All in one HP Envy 20TB plus 2TB SSD inauzwa

    Computer ya HP all in one inauzwa ina internal Storage ya SSD 2TB na EXTERNAL STORAGE ya 18TB. Computer iko very perfect nzuri inavutia Mayai classic. Screen Touch yenye ukubwa wa inch 27 RAM 16gb Storage 20tb Core i7 (8th Gen) instaled window 11pro Kasoro zake Wireless keyboard yake na...
  14. luangalila

    Kwanini Computer za siku hizi zina SSD ndogo ndogo?

    Wadau najiuliza kwann siku izi computer nyingi unakuta storage yake ni 256 yaan imekuwa common Unakuta mashine ina processor kubwa ila storage ndogo. Watalaam naomba mnijuze
  15. Mpinzire

    INAUZWA Jipatie SSD SATA (SATA III) 512 GB kwa Tsh 100,000/= tu

    Kwa wale ambao Computer Laptop au Computer Desktop zao ni nzito mpaka unahisi kero usijali. Mzigo huu hapa SSD SATA III GB 512 kwa Tsh 80,000/= tu unafurahia maisha kwa Computer yako kuwa chap! Napatikana Dar es Salaam, Lindi na Msimbazi Street (Kariakoo) #0622901670
  16. R-K-O

    Kuongeza ufanisi wa pc kwa bajeti, Je ninunue SSD GB 128 kwajili ya windows kisha niigeuze hdd ya 1 tb kwajili ya storage au ni lazima iwe 1TB SSD ?

    Nina laptop yangu ni core i5 - 7th gen, Ram ni 8 gb - ddr4, storage ni 1 TB - Hdd. laptop yangu ina vyumba viwili vya ram, chumba kimoja kwa sasa hakifanyi kazi kwahio natumia ram moja tu yenye 8GB, zamani zilikuwa nafasi mbili jumla ya ram ilikuwa 16 gb. nimeona speed ya pc imepungua si kama...
  17. monotheist

    SSD ipi kati ya hizi pichani inaendana na desktop yangu

    Nimeambatanisha na picha kwa upande wa ndani wa desktop
  18. J

    INAUZWA HDD, SSD, RAM vinauzwa bei poa

    Vimeuzwa, asanteni
  19. Complex

    Computer4Sale Jipatie Computer Yenye SSD Storage, RAM 8 GB kuanzia 349,000 Pekee

    Heri ya mwaka mpya kwenu nyote wana teknolojia. Ozone Technologies imerudi tena kivingine katika mwaka huu wa 2023 kuhakikisha kila mtu anakuwa na Computer mpakato yenye kasi na ufanisi. Ili wateja wetu wapate kufurahia kasi ya computer watakazonunua kutoka kwetu, tumehakikisha computer zetu...
  20. Mpinzire

    Karibu nikuuzie M.2 SSD kwa Ofa ya Mwaka mpya

    Ni Ofa ya mwaka mpya na mambo mazuri kwa bei poa kabisa. Ni Adata Legend M.2 SSD Mpya kabisa kwa Tsh 150,000/= kila moja. Description ● PCIe Gen3 x4 interface ● Fast read/write performance ● Heat sink keeps things 15% cooler ● Great upgrade option for creators ● High capacities ● Supports...
Back
Top Bottom