sportpesa

  1. C

    kwa nini sportpesa inasumbua ku login?

    kwema wakuu? kwa wale tunaopenda kubet naomba msaada najribu ku login sportpesa inakataa na username na password nimeziandika vizuri tu. Sijajua tatizo liko wapi
  2. Kurunzi

    Yanga FC yaingia mkataba mpya na SportsPesa wa miaka 3 wenye thamani ya Tsh Bilioni 12

    Yanga leo inakwenda kuweka historia nyingene, Futilia live hapa Ni mKataba wenye thamani ya tshs bilioni 12 na Milioni 300 kwa miaka 3, Kila Mwaka Yanga itakuwa inapata bilioni nne, pia yanga akichukuwa ligi milioni 150, na ikifika Fainali FA itapata Tshs Milioni 75. --- Mabingwa wa...
  3. JanguKamaJangu

    Simba yatangaza rasmi kumaliza mkataba na SportPesa, mdhamini mpya mbioni kutangazwa

    Klabu ya Simba imekiri kuwa mkataba wa udhamini wa jezi kati yao na SportPesa umeshamalizika na kwa sasa wapo katika mazungumzo ya mkataba mpya na mdhamini mwingine. CEO wa Simba, Barbara Gonzalez amesema: “Mkataba wa SportPesa uliisha tangu Mei 11, 2022 lakini kibinaadamu tunaendelea hadi Juni...
  4. pantheraleo

    SportPesa Wazindua Supa Jackpot Ya Bilioni Moja kwa 1000

    Cheza sasa kwa 1000 ushinde Bilioni 1 na SportPesa. Ni Supa Jackpot Ya Bilioni Moja kwa 1000. Jackpot mbili kila wiki za SportPesa!. Dar es Salaam. 25 Mei ,2022. KAMPUNI ya Michezo na Burudani SportPesa leo imezindua rasmi Jackpot mpya inayoitwa Supa Jackpot kama moja ya huduma yao nyingine...
  5. AKILI TATU

    Voice from within ya ndugu Pascal Mayala ni kweli. Hili limenikuta leo kwenye jackpot ya sportpesa

    Ndugu wanabodi kwanza niwape salamu, lakini kipekee nimpe salamu za heshima ndugu yetu hapa jamvini Pascal Mayalla , ambapo amekuwa kitujuza mambo mbalimbali haswa mada zake za Voice from within, binafsi nimekuwa shabiki wake bila kujali mada hizo zinamrengo gani. Bila kupoteza muda, kama...
  6. mugah di matheo

    Fundi Magari ashinda kitita cha Tsh. bilioni 1.2 sport pesa jackpot

    Leo imetusuliwa ngoja tusubiri maelezo zaidi
  7. VinJoe

    Kwa Experience yangu ya muda mfupi kwenye "Betting" nimegundua mambo machache

    Jambo la kwanza na kubwa kabisa betting is addictive very addictive hutaamini itakavyo kukamata na kuingia kwenye mishipa ya damu yaani kuna wakati kukaa bila kua na ka mkeka unakokasubiria ka tick ✅ basi unahisi kama kuna kitu hakiko sawa hivi. Jambo lingine ni kwamba utakua na matumizi yasio...
  8. pantheraleo

    SportPesa kudhamini timu ya Wabunge Kwa kuwapa vifaa vya michezo

    • Ni mashindano ya Mabunge ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. • Timu 8 kupewa vifaa ili kushiriki. Jumanne,November 30. Kampuni ya michezo Na burudani SportPesa leo imetoa vifaa vya michezo vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 20 kwa timu ya Bunge ambayo inatarajia...
  9. aka2030

    Kwanini jezi za yanga za watoto hazina tangazo la sportpesa ila zinatangazo la gsmfoam mgongoni?

    Wote ni wadhamini wa yanga kwanini tangazo hili la sportpesa wamelitoa kwa jezi za watoto wadau huku la gsmfoam likibaki?
  10. K

    Son of major Sportpesa shareholder and former Nairobi Mayor commits suicide

    The Directorate criminal investigation (DCI) is investigating an incident in which a son of major Sportpesa shareholder and former Nairobi Mayor Dick Wathika committed suicide in Nairobi The young man identified as Kanyiri Wathika is a son of a major Sportpesa shareholder. He was found dead in...
  11. Erythrocyte

    GE2020 Abbas Tarimba achukua fomu ya kuomba ubunge Kinondoni, Usaliti wa Mtulia wafika ukingoni

    ======= Abbas Tarimba ambaye alikuwa Diwani wa Kata ya Ananasif, amechukua fomu za kuomba kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kugombea Ubunge katika Jimbo la Kinondoni.
  12. KDRTV

    Betting firm SportPesa opts out

    Leading betting firm SportPesa has cancelled all sponsorship deals in the country. This comes as a surprise to many despite a court case currently being heard. In a statement in the firms website, SportPesa expressed regrets in cancelling all sponsorship it currently has with immediate effect...
Back
Top Bottom