In physics, sound is a vibration that propagates as an acoustic wave, through a transmission medium such as a gas, liquid or solid.
In human physiology and psychology, sound is the reception of such waves and their perception by the brain. Only acoustic waves that have frequencies lying between about 20 Hz and 20 kHz, the audio frequency range, elicit an auditory percept in humans. In air at atmospheric pressure, these represent sound waves with wavelengths of 17 meters (56 ft) to 1.7 centimetres (0.67 in). Sound waves above 20 kHz are known as ultrasound and are not audible to humans. Sound waves below 20 Hz are known as infrasound. Different animal species have varying hearing ranges.
Today marks 8 years since Popular Uganda Muscian Mowzey Radio passed on.
But Eight years down the road, his music still sounds like newly released songs and even better than most popular artists today, He was A talented Writer and Musician at the same time,
Death robbed Uganda a star.
Baada ya kuona hakuna njia za kujipenyeza ili mkafanye uhalifu kwa kisingizio cha maandamano waandamanaji na wao wamekubali kutii mamlaka kwa kukaa majumbani.
Wakubwa nimecheki huko Mjini Facebook, kuna wakenya huko wanatamba na hizi Sound System za magari wanaweka majumbani mwao hii idea imekaaje, make sote tunajua mziki wa gari huwezi linganisha na Sabufa za hapa na pale.
Habari wakuu,nina gari aina ya Toyota Belta X niki lock kwa kutumia remote yake ina flash taa za indicator mara 1 na nikitoa lock ina flash taa za indicator mara 2 kimya kimya bila kutoa sauti ya ku beep ya aina yoyote,naomba kujuzwa namna ya ku activate iwe ina beep nikiweka lock au kutoa...
Zamani unakuta unakalili wimbo wa westlife ili uuchomeke ndani ya mistali ambayo utakayokuwa unampiga mtoto mzuriz na kusema kwwli mtoto alikuwa ana appreciate kikamilifu haswaa.
Ila sasa hivi katoto ka miaka 20, kanakuanaglia juu hadi chini kama unafanania mtu wa kumpeleka beach wiki mara 3😂😂
Audio sound card 2 zinauzwa hazijatumika Bongo imported from UK
1 . M_Audio njia mbili haijatumika .Bei 350000
2.¹Focusrite 3rd generation
Bei 450000
Simu 0712652110 Dar
Wapwa habari ya jion boss mkubwa majizzo amatoa sound zake zinaitwa jizo sound nimesikia zimeanza kuuzwa pale palm village
Je Kwa mliotembelea shop pale vipi Bei yake ipoje na pia sound yake ipo vipi
Jizo sound speark kama zitakuwa na mfumo mzuri wa hi Fi basi anaweza pindua soko la sound speaker
Habari wadau,
Nimekwama hapa, mana hakuna check engine light inayowaka.
Gari inalia knock kwa mbali lakini nikiwa naendesha, huwa inapotea, ila nikisimama naanza kusikia mlio wa knock. Saa nyengine nikiwa idle, hakuna mlio wa knock kabisa, engine inanguruma vizuri tu, na sometime ikiwa idle...
Watu wakiambiwa kuwa majina yanaunda wanachukulia powa, tanzania ni moja kati ya nchi ambayo wazazi awazingati namna ya kuwapa majina watoto wao, wanaangalia tu namna inavyo sound mdomoni, nchi zilizoendelea bado wanazingatia sana haya mambo, nataka niwape kisa kimoja
Mimi nimezaliwa naitwa...
Wakuu nasumbuliwa na korodani lakin kila nikienda hospital hawaonj. Wanaishia kupiga ultra sound na kunipa ant pain.
Lqkin mm naamini ugonjwa upo maana tqtzo lilianzaga na UTI. baadae ikafika kwa korodan.
lakin UTI ilipona ila hizi ndude had leo zinauma
Hakwambii kama hana au atakutafutia kesho anaanza kukupanga Mara ooh subiri kidogo kipengele hapa usafiri Mara blah blah kibao yaani lazima akuingize viswahili acheni ujanja ujanja watu wa dar sio unamuaminisha mtu asubiri ukipigiwa simu inazingua acheni kudanganya danganya wakuu.
Kenya, Uganda na Tanzania.
Tumekopi sana na tunaendelea kopi, hatuwi sisi.
It's high time that we have a tune , sound, beat, Melody, lyric of our own.
Kwanini kukopy..
Embu sikieni wimbo huu..listen to this gospel
From South Africa..
Wakuu habari za boxing day.
Mojawapo ya mipango yangu ya 2024 ni kubadilisha na kupendezesha kisebule changu na vifaa vya kisasa vya kielektroniki.
Sasa nilikua naomba ushauri ama review ya sound bar taja hapo juu kutoka JBL.
Kwa sasa natumia JBL 9.1 ila nataka mwakani mapema ni upgrade...
I have Grand mark ii gx110 produces a loud clunk when I shift from parking to reverse and drive , I have changed all the rear bushing and CV cross joint but still the problem persist I need your help please
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.