Maana kwa sasa ni pamoto sana, Mama Samia muachie Lissu, fanya Reform na ingia kwenye uchaguzi bila kuogopa kitachotokea na ndiyo heshima kubwa utaiachia nchi hii.
Wananchi watakutetea sana, ila makada unaowaamini na umekaa nao ndio hao sasa kina slow slow wamezanza kutoka na wapo wengi mpaka...