Sokoni II is an administrative ward in the Arumeru district of the Arusha Region of Tanzania. According to the 2002 census, the ward has a total population of 23,369.
Habari wanajf
Kuna rafiki yangu ni mwajiliwa mahari flani , anamuda mwingi wa ziada baada ya kazi, anataka huo mda wa ziada ajifunze kozi nzuri online ambayo ipo sokoni Ili imsaidie kupata pesa ya ziada baada ya kumaliza masaa ya kazi.
Vifaa vya kujifunzia vipo Pc, smartphone, bando 24/7 hours...
Wakati wateja wengi zaidi wako sokoni siku ya Jumamosi, maduka ya wasabato yamefungwa. Wateja wanaenda kutafuta bidhaa na huduma, wao wameenda kupumzika, Wateja hutafuta maduka mengine, wateja wao wengine huamia maduka mengine.
Kuwafungia duka wateja Jumamosi ni kama kusema “hatuwahitaji”,
Na...
Drone ni used imetumika nje ipo clean sana
Sifa za drone
•12MP Camera
•4K Video at 30fps
•3-Axis Gimbal
•4x Digital Zoom
•JPEG & RAW Photo Formats
•31-Minute Flight Time
•10km Transmission Range (OcuSync 2.0)
•Level 5 Wind Resistance
•Max Speed: 57 km/h (Sport Mode)
•QuickShots (Dronie...
Museveni siku hizi amelegea, makobaz ameyaachia yanaanza kuzagaa na yanamshika kidevu, hili ni tukio la pili mwanamke kujilipua bomu. Kuna lile la kwanza ambapo mwanamke na mwanaume walilipukiwa na bomu walilokusudia kutumia kulipua Wakatoliki waliokua wamekwenda kuhiji.
Halafu hili soko...
Ebwana, Habari wana JamiiForum
Nimeleta muswada huu mbele yenu kutangaza biashara ya milango (USED) kutoka kwenye nyumba ya mshua mmoja mtunzaji sana wa mali zake
Aisee hii milango iko katika good condition na ipo sokoni mpaka kesho kutwa ambapo boss akikosa mteja ataigawa anapojua
Kwa...
Kiwanja kinauzwa Mbande sokoni. Panafaa sana kwa biashara, biashara yoyote. Unaweza kujenga:
1) Fremu
2)Duka kubwa
3)Ghala
4) Mgahawa
5) Bar
6) Nyumba ya kulala wageni
7) Chekechea
8) Ukumbi wa sherehe
9) Kituo cha Afya
10) Kituo cha huduma ya dini. N.k
Bei milion 100, bei inapungua.
Simu...
Kama inavyotajwa hapo juu, ninahitaji frem ya biashara mabibo sokoni kwa ajili ya biashara ya nafaka, hata nje ya sokoni pembeni mwa barabara fresh. Kama unayo njoo na ofa yako inbox.
Salaam
Samsung Galaxy A35 5G
Storage GB 256
Two Sim Cards
Imenunuliwa 22/01/2025
Simu bado ni mpya kabisaa
Ina Screen protector ya Privacy
Bei: 700,000
Maongezi yapo
Ipo Dsm kigamboni
Simu: 0783242247
Wa kuiwahi maana ni simu nzuri sanaa. Haina dalali, mmiliki ni mimi mwenyewe. Naiuza kwakua nime...
Wakati wananchi wa Tanzania wakilalamika kupanda kwa bei za nafaka sokoni hasa bei ya mahindi hali hiyo imekuwa gumzo zaidi nchini Malawi.
Kwa mujibu wa bei elekezi iliyotolewa na wizara ya kilimo ya nchini Malawi kilo moja ya mahindi inauzwa kwa kwacha 1050 ambayo ni sawa na Tsh 1600 bei...
Kwa yoyote anayehitaji mashine ya juice ya miwa ipo sokon inauzwa mashine inatumia umeme na mafuta mashine pia ina kibanda cha kujikinga na jua
Bei yake ni 950000
WhatsApp 0686298896
Location .dodoma
Winga wa Manchester United, Alejandro Garnacho yupo kwenye mpango wa kuiuza nyumba yake iliyopo Jijini Manchester uamuzi ambao umeanza kutafsiriwa na mashabiki wa timu yake kuwa inawezekana ni sehemu ya mpango wa kujiandaa kuondoka.
Raia huyo wa Argentina aliinunua nyumba hiyo kwa Pauni Milioni...
Mwanamke hata akienda sokoni na shilingi elfu moja kununua sindano ya kushonea nguo, atazunguka soko lote na kuuliza bei ya kila bidhaa.
"Hili dela ni bei gani?"
"Hivi viatu ni bei gani?"
"Hili gauni ni bei gani?"
"Hii skirt ni bei gani?"
"Hili sofa ni bei gani?"
"Hii TV na Subwoofer ni bei...
Kuna watu wakienda sokoni wanajikuta wananunua bidhaa nyingine (nyingi) ambazo hawakupanga kununua, hayo ni matumizi mabaya ya pesa. Zifuatazo ni kanuni kuu mbili za kwenda kununua bidhaa sokoni.
(1). IFAHAMU VIZURI BIDHAA UNAYOKWENDA KUNUNUA SOKONI:
Usiende sokoni kichwa kichwa, utapigwa...
Wapendwa kwema poleni na majukumu nimeona fulsa kidogo hapa kijijini kwetu.
Kakatika pitapita zangu nimeona fulsa ya ndizi huku kijijini kwetu nimeona zinapatana kwa wingi sana sasa kabla sijaanza kusafilisha nilihitaji kujua bei ya huko sokoni kwenu ikoje nione kama inalipa.
Kama nitapata...
Dar hapa bei ya tango sio poa
Tango 1 linaanzia 1000 kupanda juu
Zamani tulinunua sh 100 tu
Matango Yana kazi nyingine huko Dar
Matango yanaadimika au be mkasi
Matango hayapendwi na watoto na watu wengi
Huwezi kula tango zaidi 1
Kwanini bei iwe kubwa hivi
Namalizia utafiti wangu wa...
Kwanza niwapongeze kwa kufanikiwa kweny manunuzi ya mtandao wa tigo na mkaubadilisha jina kuwa" YAS"
Mahali mnapofeli kwa sasa
1. Mmebweteka saana, kweny promotion mkiendelea kutegemea promo za zamani za tigo na mnachofanya ni kubadili jina tuu la promotion.
2. Kukosekana kwa ubunifu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.