sokoni

Sokoni II is an administrative ward in the Arumeru district of the Arusha Region of Tanzania. According to the 2002 census, the ward has a total population of 23,369.

View More On Wikipedia.org
  1. Megfar2001

    Online skills gani iko sokoni sahivi, ambayo mtu akisomea hata juta maishani mwake?

    Habari wanajf Kuna rafiki yangu ni mwajiliwa mahari flani , anamuda mwingi wa ziada baada ya kazi, anataka huo mda wa ziada ajifunze kozi nzuri online ambayo ipo sokoni Ili imsaidie kupata pesa ya ziada baada ya kumaliza masaa ya kazi. Vifaa vya kujifunzia vipo Pc, smartphone, bando 24/7 hours...
  2. N

    Hawa ndugu zetu wasabato wasahau kutoboa kwenye biashara, Wakati wateja wengi wako sokoni Jumamosi, wao wamepumzika

    Wakati wateja wengi zaidi wako sokoni siku ya Jumamosi, maduka ya wasabato yamefungwa. Wateja wanaenda kutafuta bidhaa na huduma, wao wameenda kupumzika, Wateja hutafuta maduka mengine, wateja wao wengine huamia maduka mengine. Kuwafungia duka wateja Jumamosi ni kama kusema “hatuwahitaji”, Na...
  3. jamaikatz

    Biashara ya mtaani na biashara ya sokoni ipi ni bora ?

    Hivi kufanya biashara mtaani na sokoni au sehemu ya senta yenye vibanda vingi ipi ndio sehemu nzuri zaidi? ?!!
  4. Mafian cartel

    Dji Mini 2 Drone ipo sokoni

    Drone ni used imetumika nje ipo clean sana Sifa za drone •12MP Camera •4K Video at 30fps •3-Axis Gimbal •4x Digital Zoom •JPEG & RAW Photo Formats •31-Minute Flight Time •10km Transmission Range (OcuSync 2.0) •Level 5 Wind Resistance •Max Speed: 57 km/h (Sport Mode) •QuickShots (Dronie...
  5. MK254

    Tukio lingine tena la mwanamke kujilipua bomu sokoni, Uganda

    Museveni siku hizi amelegea, makobaz ameyaachia yanaanza kuzagaa na yanamshika kidevu, hili ni tukio la pili mwanamke kujilipua bomu. Kuna lile la kwanza ambapo mwanamke na mwanaume walilipukiwa na bomu walilokusudia kutumia kulipua Wakatoliki waliokua wamekwenda kuhiji. Halafu hili soko...
  6. RaJhumoR

    Milango ya Mitondoo

    Ebwana, Habari wana JamiiForum Nimeleta muswada huu mbele yenu kutangaza biashara ya milango (USED) kutoka kwenye nyumba ya mshua mmoja mtunzaji sana wa mali zake Aisee hii milango iko katika good condition na ipo sokoni mpaka kesho kutwa ambapo boss akikosa mteja ataigawa anapojua Kwa...
  7. S

    Kiwanja kinauza kipo karibu na sokoni

    Kiwanja kinauzwa Mbande sokoni. Panafaa sana kwa biashara, biashara yoyote. Unaweza kujenga: 1) Fremu 2)Duka kubwa 3)Ghala 4) Mgahawa 5) Bar 6) Nyumba ya kulala wageni 7) Chekechea 8) Ukumbi wa sherehe 9) Kituo cha Afya 10) Kituo cha huduma ya dini. N.k Bei milion 100, bei inapungua. Simu...
  8. DR HAYA LAND

    CHAUMMA brand yao kubwa ni "Ubwabwa" ndo imetambulisha sokoni wao wanapigania tumbo

    Hiki chama kinaitwa CHAUMMA ndio nimekisia Ila nadhani ni chama cha mfukoni. Haiwezekani Sera yako iwe ubwabwa huu ni utoto mkubwa.
  9. M

    Natafuta frem mabibo sokoni

    Kama inavyotajwa hapo juu, ninahitaji frem ya biashara mabibo sokoni kwa ajili ya biashara ya nafaka, hata nje ya sokoni pembeni mwa barabara fresh. Kama unayo njoo na ofa yako inbox. Salaam
  10. H

    SAMSUNG GALXY A35 5G BADO MPYAA IPO SOKONI KWA BEI YA KUTUPA

    Samsung Galaxy A35 5G Storage GB 256 Two Sim Cards Imenunuliwa 22/01/2025 Simu bado ni mpya kabisaa Ina Screen protector ya Privacy Bei: 700,000 Maongezi yapo Ipo Dsm kigamboni Simu: 0783242247 Wa kuiwahi maana ni simu nzuri sanaa. Haina dalali, mmiliki ni mimi mwenyewe. Naiuza kwakua nime...
  11. Peter Mwaihola

    Bei ya Mahindi haishikiki sokoni

    Wakati wananchi wa Tanzania wakilalamika kupanda kwa bei za nafaka sokoni hasa bei ya mahindi hali hiyo imekuwa gumzo zaidi nchini Malawi. Kwa mujibu wa bei elekezi iliyotolewa na wizara ya kilimo ya nchini Malawi kilo moja ya mahindi inauzwa kwa kwacha 1050 ambayo ni sawa na Tsh 1600 bei...
  12. W

    Habar zenu wadau kwa yoyote anayehitaji mashine ya juice ya miwa inayotumia mafuta na umeme ipo sokoni inauzwa

    Kwa yoyote anayehitaji mashine ya juice ya miwa ipo sokon inauzwa mashine inatumia umeme na mafuta mashine pia ina kibanda cha kujikinga na jua Bei yake ni 950000 WhatsApp 0686298896 Location .dodoma
  13. JanguKamaJangu

    Alejandro Garnacho aiweka nyumba yake ya Manchester sokoni kwa siri

    Winga wa Manchester United, Alejandro Garnacho yupo kwenye mpango wa kuiuza nyumba yake iliyopo Jijini Manchester uamuzi ambao umeanza kutafsiriwa na mashabiki wa timu yake kuwa inawezekana ni sehemu ya mpango wa kujiandaa kuondoka. Raia huyo wa Argentina aliinunua nyumba hiyo kwa Pauni Milioni...
  14. K

    Phone4Sale Samsung Galaxy S20 ULTRA ipo sokoni

    Simu imenunuliwa mpya imetumika wiki mbili tuu. RAM: 12GB ROM: 256GB BEI: 600,000Tsh LOCATION: AIRPORT DSM PHONE: 0686210608 & 0748474936 ~KARIBUNI SANA~
  15. Right Marker

    Wanawake wakifika sokoni wanauliza gharama ya bidhaa zote ndio maana wanachelewa

    Mwanamke hata akienda sokoni na shilingi elfu moja kununua sindano ya kushonea nguo, atazunguka soko lote na kuuliza bei ya kila bidhaa. "Hili dela ni bei gani?" "Hivi viatu ni bei gani?" "Hili gauni ni bei gani?" "Hii skirt ni bei gani?" "Hili sofa ni bei gani?" "Hii TV na Subwoofer ni bei...
  16. Right Marker

    Kanuni mbili za kwenda sokoni kununua bidhaa

    Kuna watu wakienda sokoni wanajikuta wananunua bidhaa nyingine (nyingi) ambazo hawakupanga kununua, hayo ni matumizi mabaya ya pesa. Zifuatazo ni kanuni kuu mbili za kwenda kununua bidhaa sokoni. (1). IFAHAMU VIZURI BIDHAA UNAYOKWENDA KUNUNUA SOKONI: Usiende sokoni kichwa kichwa, utapigwa...
  17. I

    Nipeni bei ya ndizi hapo sokoni kwenu

    Wapendwa kwema poleni na majukumu nimeona fulsa kidogo hapa kijijini kwetu. Kakatika pitapita zangu nimeona fulsa ya ndizi huku kijijini kwetu nimeona zinapatana kwa wingi sana sasa kabla sijaanza kusafilisha nilihitaji kujua bei ya huko sokoni kwenu ikoje nione kama inalipa. Kama nitapata...
  18. T

    Jamaa anaosha maziwa kabla ya kupeleka sokoni

  19. ngara23

    Bei ya tango sokoni imekuwa kubwa

    Dar hapa bei ya tango sio poa Tango 1 linaanzia 1000 kupanda juu Zamani tulinunua sh 100 tu Matango Yana kazi nyingine huko Dar Matango yanaadimika au be mkasi Matango hayapendwi na watoto na watu wengi Huwezi kula tango zaidi 1 Kwanini bei iwe kubwa hivi Namalizia utafiti wangu wa...
  20. A

    Mtandao wa "YAS" Msipokuwa serious mtaanguka sokoni

    Kwanza niwapongeze kwa kufanikiwa kweny manunuzi ya mtandao wa tigo na mkaubadilisha jina kuwa" YAS" Mahali mnapofeli kwa sasa 1. Mmebweteka saana, kweny promotion mkiendelea kutegemea promo za zamani za tigo na mnachofanya ni kubadili jina tuu la promotion. 2. Kukosekana kwa ubunifu na...
Back
Top Bottom