simba

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mwambieni kocha Fadlu mashabiki wa Simba tumechoka na ufundishaji wake wa 'Back Pass'

    Hakuna kitu kinachotukera ndani ya Simba kama Back Pass, mpira akishika Razak Hamza anarudisha kwa Camara, Che Malone akianzishiwa mpira anasogea nao halafu anamrudishia tena Camara, Kagoma naye hivyo hivyo, Ngoma naye hivyo hivyo, yaani kurudisha nyuma kwa kipa Camara yaan Back Pass hata kama...
  2. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Camara nae apewe maua yake..Hili goli sawa na goli la Yanga alilorudiaha mpira ndani..Maua yako mpendwa

    Huyu kijana ninashauri apewe maua yake Anatusaidia sana wana yanga kwa kweli Wengi mnammpigia kelele chasambii hamjaona upuuzi wa kamara alioufanya. Hakuna tofauuti na goli la yanga Yeye yuko nyuma yle mpira angeuacha ulikuwa n kona Hakukuwa na haja ya kurudisha ndan mpira kama umeshajua...
  3. ngara23

    JamiiForums Tanzania Niwatie moyo mashabiki wa Simba

    Simba sio timu mbaya, ni timu nzuri mno Lakini laZima tubaki kwenye lengo mama kuwa tunatengeneza timu. Timu yetu Bado changa kushindana Kwa ajili ya ubingwa, tusiwape wachezaji wetu pressure Kuna mashabiki walijidanganya ati wanachukua ubingwa msimu huu Utachukuaje ubingwa mbele ya Yanga...
  4. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Refa kutunyima Penati ya wazi: Wazee wa Simba watoe tamko.

    Kwanini refa ametunyima penati? Baada ya kipa kupata kadi mbili za njano ilibidi tupate penati ili kufidia dakika zetu. Yani alivyotoa kadi yapili ya njano angetenga mpira kwenye box, na azuie mtu yeyote kukaa golini ili mutale afunge tuongoze ligi. Kwa maamuzi haya ya leo ya refa wazee watoe...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Presha waliyopigwa simba kwa ushindi mfululizo wa Yanga kwa 100% ndio anguko lao leo,,zilikuwa ni mbio za marathoni ili kuona nani atasalimu amri!

    Mbio hizi zilihitaji timu husika iwe Bora kweli kweli na Ichange karata zake vizuri kwenye Kila mechi ili kuweka sawa mahesabu, Timu ambayo ingeteleza kidogo tu basi ndio ingeanza kutoa fursa kwa mwenzake kuuelekea ubingwa,,yanga aliteleza kwa Azam na Tabora na amepata somo kwamba alifanya kosa...
  6. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Refa aliecheza mechi ya simba aondolewe achunguzwe...Tff msibebe wajinga kama hawa mtasababisha fujo

    Niliwahi sema aliesema mpira wa tanza kichwa cha mwendawazimu hakukosea kabisa. Yaan maamuzi ya kijinga ya kipuuzi kabisaa Goli la simba offside kabisa hakuna goli kama lille hata kama mhamala wa simu umesoma. Amejizalilisha sana refa na wenzie Kaongeza dk 10 Unachezesha dk 13 Kwenye nchi za...
  7. Powder

    JamiiForums Tanzania Naona Kocha wa Fountain Gate kaamua kuwatafutia Simba Hili.

    Kwa kuwaambia Wachezaji wake kipindi Cha pili wafunguke mwanzo mwisho.
  8. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Wana Simba SC tumetamba vya kutosha huenda kuanzia leo nao Wakatamba kwa kutuacha kwa Alama (Points) Mbili (2)

    Kinujumu (Kinyota) na hata Kihistoria ya Klabu yetu ya Simba ikiwa na Mechi zake katika Siku za Alhamisi kama ya hii Leo huwa inapata Matokeo makubwa mawili tu ambayo ni ama Kusare au Kufungwa. Tukishinda leo basi ni Asante Kubwa kwa Mwenyezi Mungu ila kwa Uzoefu wangu na Ubobezi wa mambo...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Kocha wa Fountain Gate: Mimi ni shabiki wa Simba, asema mechi ya leo ni kuonana kwa Simba na Simba

    Kuelekea mchezo kati ya Fountain Gate Fc dhidi ya Simba Sc, Kocha mkuu wa klabu ya Fontain Gate Fc, Robert Matano ameweka wazi kuwa yeye kwao Kenya anaitwa Simba na anakwenda kukutana na mnyama mwenzie. "Mimi ni mpenzi wa Simba toka miaka mingi toka nacheza wakati huo marafiki zangu wanacheza...
  10. kipara kipya

    JamiiForums Tanzania Fountain gate dhidi ya simba mechi nzuri yenye kuvutia upinzani wa soka la bongo hii haina uhusianao na singida?

    JIoni ya leo tunashuhudia mechi halisi mpira halisi na matokeo halisi yaani fair play yasiyo na chembe ya mashaka fountain gate dhidi ya simba ni mechi ya kukamiwa simba ni aina ya mechi simba anazo zipenda huwapa mazoezi na ukomavu wachezaji wao si mechi za bahasha si ajabu kukuta kibu d au...
  11. Tembosa

    JamiiForums Tanzania Full Time: Fountain Gates FC 1-1 Simba SC | NBC Premier League | Kwaraa Stadium, Babati | 06-02-2025

    SIKU YA MECHI KALI. VIKOSI VINAVYOANZA LEO. p UPDATES..... 4:15pm Kandanda imeanza tayari, Game inapigwa zazuri kabisa. DK 2 Simba wanafanya move nzuri hapa, inababatizwa na Mchezaji wa FG inakuwa warusha. Unarushwa hauleti madhara yoyote 0-0 DK 4 Mpira unaendelea vizuri kabisa hapa. Simba...
  12. ngara23

    JamiiForums Tanzania Wapo wapi makocha wa zamani wa Simba Zoran Mark, Robertinho na Benchikha?

    Hawa makocha baada ya kupigwa na Yanga walitimuliwa wote Kwa nyakati tofauti, hadi Leo hawajulikani wapo wapi? Labda wapi makwao wakilea wajukuu Yaani hao makocha hawana hadhi hata ya kufundisha championship Yanga ndo timu inawapa platform coaches, wanakuja Yanga wanapata jina na kuaminiwa na...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Vibe la Wabunge mashabiki wa Simba, walivyotambulishwa wachezaji wa Simba ndani ya Bunge

    Uongozi wa Klabu ya Simba Pamoja na wachezaji wamehudhuria Mkutano wa 18 wa Bunge leo tarehe 4 Februari, 2025, jijini Dodoma ambapo wapo jijini humo wakiwa wameweka kambi ili kuikabili Fountain Gate tarehe 6 Februari, 2025, shangwe nyingi zimesikika bungeni wakati wekundu hao wakitambulishwa na...
  14. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Simba bado inajenga timu

    Kwa mechi ya Jana na Tabora na mechi iliyopita na CS Constantine inaonekana kabisa kuna marekebisho makubwa Sana yanatakiwa kufanyika wakati Simba inajenga timu. Kwanza wachezaji waongeze umakini kwenye kumalizia mipira ya mwisho ili yale magoli wanayokosa kwenye Kila mechi wafunge. Naamini...
  15. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Yanga msivuke mipaka mnapotoa ahadi kuhusu mechi za Simba

    Komeo Lachuma, Minjingu Jingu, Labani og, Medecin
  16. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Simba yatangaza tenda ya jezi, mashabiki wazitamani Adidas, Puma na Nike

    Hii ni kufuatia mkataba wa bilioni 2 kwa miaka miwili kati ya Simba na Sandaland kuelekea ukingoni
  17. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Simba ya ‘Tunajenga Timu’ lengo ni kuwapumbaza wasiojielewa

    Timu iko nafasi ya 5 sijui ya 6 kwa orodha za CAF, Orodha za dunia haikosi ya 100 bora Kuna vitimu havijulikani hata CAF na hata ukilazimisha Rank zitaangukia 1000+ Ila ukisikia tambo zao mwezi mmoja kabla ya mechi unaogipa na unaweza kupata stroke. Simba wao kimyaaa wanadai wanajenga timu...
  18. A

    JamiiForums Tanzania Wakati Arsenal na Man city zimecheza mechi 23 za ligi, Zote Zina penalties 2 tu, Simba mechi 16 penalties 8..Tafakarini

    Tuweke Ushabiki kando. Hii ligi yetu inaelekea wapi. Timu za Arsenal na Manchester City tunazozifahamu wengi wetu. Ni timu zilizo kwny nafasi za juu kwenye ligi ya Uingereza. Ni timu zilizo na falsafa ya kuchezea na kumiliki mpira wakati mwingi. Sasa Inakuwaje timu hizo hadi leo hii zimepewa...
  19. ngara23

    JamiiForums Tanzania Vita ya familia imekwisha Simba vs Tabora

    Wote tumeshuhudia mechi ya ovyo ya upangaji matokeo Watanzania wote tungeshangaa kama matokeo yangekuwa tofauti na haya Yaani Rage mlezi wa Tabora United ambaye ndo alikuwa Mwenyekiti pale Simba na alipata kuwaita mashabiki wa Simba mbumbumbu Na waamzinwakafanya Yao Wacha Sasa nitazame...
  20. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Hawa Simba mnaowaona humu baada ya tarehe 08/03/2025 hamtawaona tena

    Kiboko ya Simba koko ni Yanga... Simba watapiga piga kelele...waambie Yanga huyoooo.... Wanaweka mkia makalioni wanalala mbele. Wepesi kama kamasi za kichanga. Wacha washinde match zoooote. Watakuja tema points 3 kwa sisi wakali wao. Wakali wa hizi kazi. Mi nawacheck....nasikitika tu maana...
Back
Top Bottom