simba sc

Simba Sports Club is a football club based in Kariakoo, Dar es Salaam, Tanzania. Founded in 1936 as Queens, the club later changed their name to Eagles, then to Sunderland. In 1971 they were renamed Simba (Swahili for "Lion").
Simba is one of the two biggest clubs in Tanzania, alongside cross-city rivals Young Africans. Simba have won 21 league titles and five domestic cups, and have participated in the CAF Champions League multiple times. They are also one of the biggest clubs in East Africa, having won the CECAFA Club Championship six times.
Nicknamed "Mnyama" (The Beast) or "Wekundu wa Msimbazi" (The Reds of Msimbazi), Simba play their home games at the Benjamin William Mkapa Stadium and the National Stadium. In 2020 Simba were the fastest growing Instagram account among football clubs, with 1.9 million followers and a growth of 89% from the previous year.

View More On Wikipedia.org
  1. SankaraBoukaka

    JamiiForums Tanzania Kulazimisha kuwategemea Zimbwe na Kapombe/Kijiri wapige Cross kama Pre-assist au Assist vinachangia kuiporomosha Simba

    Nimekuwa nikifuatilia huu mfumo unaochezwa na Simba sasa wa kuwategemea mabeki wa pembeni waje kutengeneza nafasi kwenye kufanikisha mashambulizi pale na kushuhudia unavyotufelisha kwa sasa. Kwasababu: Zimbwe tokea enzi hizo ni mbahatishaji kwenye kupiga cross sahihi na pasi za mwisho, na...
  2. Carasco Putin

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi kwa mdhamini na mwendeshaji wa klabu moja kudhamini vilabu vingine?

    Kujisifiia Mmesajili Wachezaji wazuri Alafu Bado mnawekeza Nguvu Kwenye Timu Ndogo Siku mkikutana Mpate Mseleleko Ligi Namba 5 Ya Mchongo Mchongo tu. Wana Simba Nguvu Yetu Akili Yetu Iwaze Michuano Ya Shirikisho Basi Siyo Hii Ligi Ambayo Mwenzio Tayari Ana Point 36 Kibindoni😡
  3. kavulata

    JamiiForums Tanzania Manula ameivunja ndoa ya Simba na Azam Sheikh akiwa Yanga

    Simba na Azam ni marafiki wakubwa, wanapeana hadi wachezaji kilaini kabisa. Lakini baada ya goli 5-1 dhidi ya Yanga (sheikh) Simba ikamsukumia zigo lote la lawama Manula. Manula alitaka kutimkia Azam lakini Simba wakamwekea ngumu kwakuwa Inafahamika kuwa Simba iliumia sana kunyang'anywa na Azam...
  4. DELETED ACCOUNT

    JamiiForums Tanzania Hakuna Leonel boya, Simba tumefunga zoezi la usajili kwa kishindo tukutane dimbani

    Niliongea na tajiri Mo akanisikiliza. Tajiri alikuwa kachafukwa. Aliona dharau zimezidi mtaani. Kaenda Uarabuni kabeba chuma kingine. Simba misimu hii miwili imechukua wachezaji wawili ACTIVE kutoka timu za Uarabuni, tena timu kubwa. USMA ndiyo wale waliwapiga mabomu vyura usiku na mchana na...
  5. ngara23

    JamiiForums Tanzania Simba hizo rank za CAF hazina uhalisia wa timu kwa sasa, viongozi wanazitumia kuwapumbaza

    Hii team Hakika Rage alikuwa nabii kuwaita mbumbumbu Matatizo ya team Yao hawayaoni, hawahoji chochote eanajidanganya eti ni team namba 6 Africa 😆 Simba wanadanganywa na nafasi waliopanda kwa Africa nafasi waliyoipata kipindi kina Miquison wapo katika ubora wao. Tofauti kati ya Simba na pamba...
  6. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kijana shituka, mpira wa miguu ni biashara ya watu

    Biashara ya mpira wa miguu inalipa sana. Unajazwa upepo na wewe mjinga unafula na kusema tumeujaza uwanja. Wewe hujaujaza uwanja bali wenye akili wamekujaza uwanjani kisha wanaondoka na mamilioni. Somebody mnayemwita msemaji wa timu yenu anawaambia tusikubali lazima tujaze uwanja nyie kwa...
  7. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Leo dirisha Kubwa la usajili linafungwa saa sita usiku. Vipi Feitoto bado anaenda Simba?

    Hofu yangu bado ipo mpaka nikoona saa sita imefika Suala la Feisal kwenda Simba limentesa sanaa ngoja tuone Soma Pia: Simba yamtaka Fei Toto. wamepeleka ombi la mazungumzo Azam FC.
  8. King Leon 1

    JamiiForums Tanzania Alichoandika Amri Kiemba kwa Msemaji wa Simba Ahmed Ali juu ya Lameck Lawi

    Mwanamichezo mstaafu na mchambuzi wa michezo Amri Kiemba ameandika maoni ambayo yamenifanya niwaze na kukaa chini kutafakari juu ya kauli na maneno ya msemaji ambayo kila siku yanazidi kushangaza na kumshushia tu Professional wake. AMRI KIEMBA ANAANDIKA: Kuna vitu unaweza kuviangalia halafu...
  9. Majok majok

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Simba muache kuishi kizamani sasa hivi kila timu inajua haki zake na zimejidhatiti

    Nafikiri tatizo kubwa la kwanza lililopo pale Simba ni uongozi. Viongozi wa Simba wengi pale waliopo ni wazee ambao wanaishi bado kizamani awataki kubadilika na kwenda na kasi ya mabadiliko yaliyopo Sasa hivi kwenye Kila kitu. Viongozi wa Simba wengi wakina Magori, Try again na wengine bado...
  10. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetoa Orodha mpya ya Vilabu Bora Afrika kuelekea msimu mpya 2024/25

    SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetoa Orodha mpya ya Vilabu Bora Afrika kuelekea msimu mpya 2024/25 . 1. Al Ahly (Egypt) – 87 points 2. Esperance (Tunisia) – 61 points 3. Wydad AC (Morocco) – 60 points 4. Mamelodi Sundowns (South Africa) – 54 points 5. Zamalek (Egypt) – 48 points 6. RS Berkane...
  11. Nehemia Kilave

    JamiiForums Tanzania Klabu namba 7 kwa ubora Afrika, haya mambo ya Awesu tusiyaendekeze

    SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetoa Orodha mpya ya Vilabu Bora Afrika kuelekea msimu mpya 2024/25 1. Al Ahly (Egypt) – 87 points 2. Esperance (Tunisia) – 61 points 3. Wydad AC (Morocco) – 60 points 4. Mamelodi Sundowns (South Africa) – 54 points 5. Zamalek (Egypt) – 48 points 6. RS Berkane...
  12. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Nikisema Uongozi wa Simba SC ni wa Kihuni na wa Yanga SC unajitambua mnanichukia, haya malizeni na la Awesu Awesu

    Na kwa taarifa yenu kuna ya Wachezaji wengine akina Kagoma na Mashaka nao huko walikotoka Vilabu vyao Vimelalamika TFF na Wao watashinda Kesi kama ilivyoshinda KMC. Najua mtamalizana nao hawa Leo kabla ya Dirisha la Usajili kufungwa rasmi Kesho Saa 5 na dakika 59, ila hiki Kitendo kinatosha...
  13. King Leon 1

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Simba ndio wanaiua timu bila wao kujua kwa kufanya usajili wa kizamani mwishowe wanapoteza wachezaji je nini kifanyike?

    Kila nikiamka nakutana na habari mbaya za Simba tu bila kuelewa zinatoka wapi na je Viongozi kazi yao nini? Utaratibu wa kusajili kwasasa umebadilika na kuwa wa kisasa zaidi yaani uwazi na ukweli hakuna tena umafia wala njia za mkato kama ilivyo zamani ila naona viongozi wa Simba wameshikilia...
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Israel Mwenda arudisha pesa zote Simba SC na kusepa klabuni hapo

    Klabu ya Simba Sc imethibitisha kuridhia ombi la mchezaji Israel Mwenda kuondoka klabuni hapo baada ya nyota huyo kudai kuwa amepata timu nyingine Taarifa ya Wekundu hao wa Msimbazi imebainisha kuwa nyota huyo alisaini mkataba mpya wa miaka miwili lakini kabla ya kuanza kuutumikia, aliandika...
  15. King Leon 1

    JamiiForums Tanzania Nawashauri Simba SC wamrudie tena Elia Mpanzu amerudi kwao Congo, waachane na mchezaji wao wa ovyo

    Nimeona taarifa juu ya uyu mchezaji Elias Mpanzu ambae Simba ilijaribu kutumia nguvu kumpata ila wakashindwa kwasababu ya ofa kubwa toka ulaya ,kwa bahati mchezaji uyo ameshindwa vigezo vya kujiunga na timu iyo ya ubelgiji na kurudi kwao Congo. Nawasihi viongozi wa Simba kama kweli wanataka...
  16. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Simba SC inakwenda kuwanyamazisha wengi

    Nimeiangalia Simba sc kwa utulivu, ikicheza mechi zake tatu zilizooneshwa. Nikiri wazi kuwa Simba imebadirika na inacheza mpira mkubwa tofauti na mpira uliokua ukichezwa na kina babacar sarr, kina kanoute n.k (hapa mashabiki maandazi na mashabiki wa ile timu inayorukaga mageti ili ipate access...
  17. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Ili kuuonyoosha Uongozi wana Simba SC tungekuwa na Akili tungesusia kwenda Viwanjani, ila kwakuwa tunapenda Kudanganywa kama Kuku tunaenda tu

    Nikiambiwa kwa sasa nitoe Alama za Kikosi cha Simba SC cha sasa baada ya Kukiona natoa ni 10% tu, ila 90% Kibovu. Soma Pia: Mashabiki wa Simba tukatae kukosa weledi kwa viongozi wa timu Mangungu Simba sc hapamfai,Na Mashabiki Hawamuhitaji Mangungu. Nawapongeza mno Mashabiki wa Simba SC kwa...
  18. Kurunzi

    JamiiForums Tanzania Yanga imejipata, kuitazama Simba lazima uwe na msokoto wa bangi pembeni

    Yanga wapo kwenye kiwango bora cha maisha yao. Kweli itatuweka huru. Japo ni kweli iliyobeba gharama zenye hisia ya maumivu kwa mashabiki wa Simba. Yanga wanacheza kitimu katika muunganiko uliotukuka. Wame copy na ku paste maisha ya 'siafu.' Hakuna kutegeana, timu ina morali kama haijawahi...
  19. Mpigania uhuru wa pili

    JamiiForums Tanzania Madhara ya kusajili bila kocha yameanza kuonekana Simba SC kabla hata msimu kuanza

    Wakati simba wanasijili bila kocha tuliongea na kusema sio utaratibu ila mashabiki wa simba walitukebehi na kutubeza amekocha kocha kuna baadhi ya wachezaji amesema haridhishwi nao kama lakred, ngoma, koblan na onana. Mpaka sahivi timu imeingia gharama nyingine ambazo hazikua na ulazima za...
  20. Labani og

    JamiiForums Tanzania Ali Kamwe: Simba ina mabosi wengi, Yanga ina watendaji wengi

    “Siku ya Mwananchi Uwanja Tulikabidhiwa saa 6 usiku, kama ingekuwa simba ndio wamekabidhiwa ule uwanja muda huo asubuh kila mtu angeshika kichwa, wangefanya mambo ya hovyo kwasababu wana maboss wengi watendaji wachache. “Ilivyofika saa 6 usiku kila mtu alishika eneo lakini hadi saa 12 asubuh...
Back
Top Bottom