Siasa za Tanzania hufanyika katika mfumo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Muungano, ambapo Rais wa Tanzania ni mkuu wa nchi, Amiri Jeshi Mkuu na mkuu wa Serikali katika mfumo wa vyama vingi.
KIAPO SIO SABABU YA KUFANYA DHULMA NA UHALIFU. MTU ASITUMIE KIAPO KAMA FIMBO YA KUKUGEUZA WEWE UFANYE USHETANI.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Unapoapa apa kiapo cha kutetea Haki. Kupinga dhulma. Kama ni kulinda nchi utaapa kuilinda kwa Haki.
Kama ni kumlinda Kiongozi utaapa kumlinda kwa...
Louis Farrakhan, kiongozi wa Taifa la Uislamu, amekuwa akizungumza mara kwa mara kuhusu Muammar Gaddafi, kiongozi wa zamani wa Libya, hasa katika muktadha wa kifo chake mnamo mwaka wa 2011. Maoni ya Farrakhan mara nyingi yanaakisi mtazamo wake kuhusu rangi, siasa, na jukumu la nguvu za magharibi...
"Ukiwa mwanasiasa, jifunze kwa team Hatuchezi Ng’oo, ukilala chali, unaamka chali, hakuna kuegemea ubavuni! Maumivu yana GPS, yanakupata popote ulipo. Siasa si sinema, ni gym ya roho." — Alloyce, P.R.
CCM twende na wakati ,kila nyakati na watu wake na changamoto zake, kijana wa 1960s sio wa kijana wa leo, wengi wameenda shule na wanajua kinachoendelea duniani,
Unamsikia binti anasema
“Mimi siasa sio vitu vyangu”
Kikubwa nakula nashiba nalala naamka!
Au kijana wa maana kabisa anakwambia
“Mimi ishu za siasa sizimii kabisa zinanipotezea muda”
Kikubwa uhai tu!!.
Binti au kijana huyo huyo akienda
kupanda mwendokasi akakutana na zile mbilinge mbilinge...
Sheikh hatakiwi kuivaa siasa. Ukimuona sheikh anaivaa siasa mwisho wake huwa mbaya huangukia kuwa chawa wanasiasa kama sheikh Ponda hivi sasa na heshima kwa jamii hushuka.
Tumuangalie Mtume Muhammad (SAW) alikuwa kiongozi wa kisiasa katika muktadha wa jamii ya wakati wake. Alikuwa:
.1...
Leo siku ya siku ya Eid Al Adha karibu viongozi wote wa dini wameongea siasa kwenye mahubili ya swala zao maani woto wameongelea jambo la uchaguzi mkuu wa October kuwa uko palepale na wamesisitiza wananchi waende wakachague wala wasitumike vibaya.....
Mbona hao hawasemwi kuwa wanahubiri siasa...
Ndugu zangu Watanzania,
Ni raha na kuna raha kubwa sana pale unapoishi mioyoni mwa watu,pale unapoleta furaha na tabasamu machoni na mioyoni mwa watu,pale unapoonekana tumaini la watu,pale unapoonekana jawabu la matatizo ya watu,pale unapoonekana faraja kwa Maisha ya watu,pale unapoonekana...
### Utangulizi
Wazo la "Matrix" limejikita katika tamaduni maarufu tangu kuanzishwa kwa filamu ya "The Matrix" mwaka 1999, likihudumu kama mfano wa dhana kwamba uhalisia tunaoona unaweza kuwa ni udanganyifu. Kauli mbiu "kutoroka matrix" mara nyingi inaashiria kuvunja kutoka kwa mitazamo ya...
"Ulemavu wa akili katika siasa hujidhihirisha pale ambapo kikundi cha matusi (wanaharakati uchwara) wenye kujifanya werevu kwa kuchonganisha wananchi na mamlaka, wakivuruga mshikamano kwa maslahi binafsi. Hawa si wanaharakati wa mabadiliko, bali ni mawakala wa mgawanyiko na machafuko wanaoishi...
Mjadala mkubwa kwa sasa ni habari zinazowahusu Boniface Mwangi kutoka Kenya na Agather Atuhaire kutoka Uganda walipokuwa Tanzania.
Wakati serikali ilikanusha madai ya ukiukwaji wa haki zao, baadhi ya raia na mashirika ya kiraia walitilia shaka mazingira ya tukio hilo.
Lakini hata kama...
Ukiona namna wanasiasa wanavyoingia makanisani kuhubiri siasa na namna hao hao wanavyowazuia viongozi wa dini wawe wa kweli au feki kama Gwajima, unashangaa kama wanajua dhuluma wanayofanya. Je kuchanganya siasa na dini ni kwa viongozi wa dini tu au inawahusu wanasiasa wanaofanya hivyo tena bila...
Na. M. M. Mwanakijiji
Sielewi kwanini suala la Askofu Gwajima limefanywa kubwa mno kivile. Hakuna jambo lolote ambalo alilisema kwenye kile kikao chake na waandishi wa habari tunaloweza kusema lilikuwa ni kubwa mno kiasi cha kuonekana "kuchochea" wananchi dhidi ya serikali. Suala la matukio ya...
Makamishna wa TRA
Wakurugenzi wa miradi ya wafadhili (donor-funded projects)
Wakuu wa vyuo vikuu vya umma
Maafisa wa ubalozi (diplomats)
Wakurugenzi wakuu wa manunuzi (chief procurement officers)
Wakuu wa idara ya uhamiaji, polisi, magereza
Wakurugenzi wa bodi za mikopo au elimu
wafanyakazi...
Alitengeneza mamia ya vyama vya siasa ili kuidanganya dunia kuwa Congo kuna demokrasia na vyama vingi. Vyama vya siasa vya kidalali vilikuwa vinajifanya kushindana nae kwenye uchaguzi alafu vinatangaza kumuunga mkono.
Alitegeneza machawa wa kumsifia kila kona na kwenye kila jambo kiasi kwamba...
Mheshimiwa Mama Yetu Samia Suluhu Hassan,
Wapo wanaoongoza kwa mikono, wachache kwa akili, lakini wachache sana huongoza kwa moyo. Wewe ni miongoni mwa hao wachache uliyesimama si kwa nguvu, bali kwa upendo.
Katika historia ya taifa letu, jina lako limechipua kama mti wa mkaratusi wakati wa...
Hamjambo!
Falsafa ya Yesu ni Mungu katika Ukristo haipo katika personality na ID. Wakristo huamini Yesu ni Mungu sio kwa sababu Mungu ni Mtu au alizaliwa na binadamu.
Uungu wa Kristo ni umoja wao katika baadhi ya Majukumu na utendaji.
Kwa wasioelewa, nitawapa Mfano rahisi,
Mwanamke na...
Bill Cooper alikuwa mwanaharakati na mwandishi maarufu kwa kazi yake ya "Behold a Pale Horse," ambapo alijulikana kwa kuandika kuhusu nadharia mbalimbali za njama na masuala ya serikali. Katika kitabu chake, aligusia mada nyingi, ikiwa ni pamoja na mauaji ya Rais John F. Kennedy.
Cooper alidai...
Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), John Heche amesema chama hicho kimewaelekeza wanasheria wa chama hicho kumshitaki Msajili wa Vyama vya Siasa wakipinga kutenguliwa kwa viongozi walioteuliwa na Baraza Kuu Januari 22, 2025.
Soma pia: Heche amvaa Msajili
Mei 13, 2025, Msajili wa Vyama vya...