siasa za ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Raia Fulani

    GE2025 Hivi kama ndani ya CCM wanaweza kunyang'anyana haki, ndio iwe kwenye chaguzi nje ya chama?

    Fikiria Kigwangala anaporwa ushindi. Anaumia moyoni kisha anaunga mkono uporaji. Fikiria Ummy anakwapuliwa nafasi yake halali. Anaugulia moyoni kisha anatoka hadharani kuunga mkono Fikiria Gambo anapigwa kumbo laivu.. Yani haruhusiwi hata kugombea. Analialia kisha tunamsahau. Mpina...
  2. ngara23

    GE2025 Hamasa ya Watanzania kwenye masuala ya siasa inatishia amani ya mafisadi

    Watanzania wameamka mno Story za Yanga na Simba hazitambi mtaani Story za udaku za sijui Diamond kaachana na nani hazitambi Magazeti ya siasa yananunuliwa mno Watu wanahoji mambo ya msingi Kwa uchungu Mtanzania wa Sasa sio wa kipindi cha Mzee Mwinyi Ati kwamba Mtanzania wa Sasa...
  3. Idugunde

    Kwa mtanzania makini toka familia duni ukipitia hii orodhaya WanaCCM alafu bado unashabikia kishabiki una matatizo

    Usulutani na ufalme ndani ya Chama ambacho kiliundwa kutetea maslahi ya wakulima na wafanyakazi. 1. Salma Kikwete 2. Ridhiwan Kikwete 3.Wanu Hafidh Ameir 4. Abdul 5. Adul Mwinyi 6. Jesca Magufuli 7. Fred Lowassa 8. Mathayo David 9. Karume 10. Karume 11. Karume Orodha ni ndefu sana.
  4. winnerian

    Ipo shida kubwa kwa Watanzania na sio siasa za ccm wala watawala.

    Ujue tatizi kubwa sana ni wananchi wa Tanzania. Wamekubali na kuridhia kuliwa kwa namna yeyote ile mlaji anvyotaka na sio kwasababu hawajui ila ni wavivu wa kujishughulisha na mambo yao wenyewe. Ndio maana hivi karibuni kabla ya uchaguzi unaenda kutokea mwezi wa 10 mwaka huu 2025 kumeibuka kundi...
  5. The Burning Spear

    Imewezekanaje Harbinder Sethi kushiriki siasa za CCM huku akiwa ni raia wa Kenya?

    GT Naendelea kusema maCCM ni Wahuni sana . Huyu Seth toka.mwaka 2016 ni Raia wa Kenya inakuwaje anaingia kwenye siasa za maCCM. Halafu kuna wqtu wanasema nchi hii ina usalama wa taifa, hakuna kitu kama hicho hao mi huwa nawaita wahuni tu walio kwa ajili ya matumbo yao.
  6. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Siasa za CCM Mafia zinazidi kuwaka moto

    HUKU vikao vya Chama ngazi ya Mkoa vikiendelea kwa ajili ya kufanya maamuzi ya mwisho kwa Wagombea Udiwani na Ubunge, siasa za Kisiwa cha Mafia zinatajwa kuwa moto. Pamoja na ushindi wa Omar Kipanga katika kura za maoni bado kunaonekana kunafukuta chini kwa chini huku maamuzi ya mkoa yakiwa...
  7. N

    Familia ya Makamba imefanya nini hadi kupoteza ushawishi katika siasa za CCM, walianza kumweka kando Mzee Makamba, round hii ni January

    Ni tishio ? Wamepitwa na wakati ? Wamegombana na Ccm ? Mgongano wa masalahi ? au ?
  8. T

    GE2025 Kuminywa kwa CHADEMA kumeathiri siasa za CCM. Uteuzi umeshindwa kuwa gumzo

    Waliosema siasa ni sayansi hawakukosea. Siasa inahitaji watu tena wale wenye kujenga hoja. YAnayoendelea ndani ya CCM kipindi hiki cha kupitisha majina ya wanaotarajia kugombe ubunge na udiwani ni kama mchakato umekosa mvuto. Zile hamasa hata za 2020 hazipo kabisa. Binafsi naona ni athari ya...
  9. PLOII

    Vijana muwe makini na wanaharakati wa msimu na wanasiasa maslahi mtaacha generation yenu katika hali mbaya, taifa litakufa play safe

    Salute to you all hustlers ..... Direct to the topic, Niongee na mtu ambaye kwao hamna DED, RCO, RC, NAIBU WAZIRI, WAZIRI , VICE - PRESIDENT n.k. Nimeanza Kwa kusema hivyo Kwa sababu wanaotoka kwenye familia hizo kiuhalisia hawawezi kunielewa ni sawa na wajumbe wa Chama cha Mapinduzi hawawezi...
  10. Fbn

    Serikali inakataza watumishi kuwa kwenye vyama vya siasa ila CCM inawafanya serikali kuwatumia watumishi kwenye siasa za CCM

    Leo tunaona msajili wa vyama kukumbatia CCm. Leo tunaona polisi kama sio mwana CCm basi maisha yako ni kenge. Leo tunaona magari ya polisi kubeba wananchi washiriki mkutano wa CCM. Leo tunaona watumishi wanaendeshwa na CCM wala sio serikali. Hivi tutafika kwa maisha haya.
  11. kipara kipya

    Tutafakari siasa za CCM na Chadema kwa mfano wa Msumbiji frelimo na podems nayaona hapa kwetu..

    Nchini Msumbiji walifanya uchaguzi wao oktoba 29/2024..uchaguzi ulikuwa na wagombea kutoka vyama kadhaa lakini vilivyokuwana upinzani wa karibu ni Frelimo kilichowakilisha na Daniel chapo huku Podems ikiwakilishwa na Venancio Mondlane..uchaguzi ulifanyika baada ya kampeni kali zilizokuwa na...
  12. Magufuli 05

    CCM anguko lenu haliko mbali,Mungu hachelewi na wala hawahi hujibu kwa wakati

    Hiki mnachokifanya na mnachowafanyia watanzania wenye akili timamu kitawarudia. Karma is real. Kama mnadhani watanzania ni wajinga na waoga wote,jibu ni hapana. Ni kweli mtaji wenu ni baadhi ya watanzania kuwa na sifa hizo lakini si wote. Ujinga na uzandiki mnaofanya nyie siyo wa kwanza...
  13. Dalton elijah

    PreGE2025 Watanzania wenzangu, tusipoamka sisi na kufunguka fahamu zetu, CCM wataendelea kutuona kama "toilet paper"

    Watanzania wenzangu, tusipoamka sisi na kufunguka fahamu zetu, CCM wataendelea kutuona kama "toilet paper". Watatutumia wapendavyo na kututupa. Hakuna cha maana zaidi hawa watu wanaweza kututendea kama taifa. Fikra zao zimefika ukomo. Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, CPA...
  14. Mwizukulu mgikuru

    Mwisho wa CCM utakuwa ni mbaya sana

    Tujifunze kupitia nyakati tofauti zilizopita, walikuwepo watu wenye nguvu sana hapo zamani lakini mwisho wao ulikuwa ni mbaya sana Wapo waliojifanya Wana nguvu na wengine madikteta uchwara lakini vifo vyao vilikuwa vya kinyonge sana....ccm ichakachue inavyoweza, iwanunue chadema inavyoweza...
  15. Lord Denning

    PreGE2025 Ukweli mchungu: Tusahau maendeleo ya kweli wakiendelea kutuongoza CCM

    Wakati deni la Taifa linakua kwa kasi ya kutisha, ukweli ni kwamba; 1. Watoto wetu bado wanasoma kwenye shule zenye miundombinu duni sana huku elimu yao ikiwa haijengi kesho bora kwao kwenye dunia hii ya ushindani, 2. Miradi ya maendeleo si barabara, si majengo inajengwa chini ya viwango kwa...
  16. JF Member

    PreGE2025 CCM imekosa msemaji na kiongozi?

    Kwa sasa CCM ni kama chama ambacho kimechoka na kukata tamaa kabisa. Kimebaki kuendesha mikutano yake kama matamasha na kuzungusha watu Dar kwenda kujaza mikutano ya viongozi maeneo mengine.. Kama vile wasanii. Kwa kiasi kikubwa wasanii ndio wanakiendesha chama. Sio mbaya kwa sasa ni wananchi...
  17. Megalodon

    PreGE2025 Siasa za CCM ni za aibu, Vijana aina ya Mwijaku wamechagua kupotoka na ujinga

    Hivi ndivyo CCM imetufikisha na kutuharibia nchi. Ili kuirudisha nchi kwenye misingi na kuwarudisha vijana kwenye sense of life and minds …… REFORM NI LAZIMA NDUGU ZANGU. REFORM YA constitutional ni LAZIMA…..otherwise in the next 10 years vijana wetu watapata tabu sana. CCM cares only about...
  18. Mindyou

    PreGE2025 Kada wa CCM Sophia Simba: Enzi zetu hakukuwa na uchawa. Watu walikuwa wanapata vyeo kwa uwezo wao

    Wakuu, Suala la Uchawa limezidi kuwa gumzo nchini. Huyu hapa ni Sophia Simba, kada mtiifu wa CCM ambaye alishawahi kuwa Waziri huko Serikalini. Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 "Sisi enzi...
  19. Mnyenz

    Je wajua: Siasa za CCM & CHADEMA huamua bei elekezi ya vitu hivi?

    Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi, sisi kama wananchi tunayo mengi ya kujifunza. Tunayo haja ya kuchuja sera zao kwa upana kwa maana wao hawa wanasiasa ndio huamua bei za vitu tunavyohitaji katika maisha ya kila siku. Leo nakuchapishia picha ya vyombo vya moto ambavyo wanasiasa...
  20. Tlaatlaah

    Mchujo wa kura za maoni CCM katika chaguzi zote ndio mara zote huamua na kuakisi sura ya Bunge lijalo

    Kura za maoni ndani ya CCM ndio hasa mwanzo wa kuwapata Rais wa nchi, wabunge na madiwani wa maeneo mbalimbali nchini. Ndio uchaguzi ambao unakuaga na mchuano mkali zaidi ya uchaguzi mkuu wenyewe ambao mara zote hua ni katika kukamilisha tu ratiba, sheria na matakwa ya kikatiba, lakini uchaguzi...
Back
Top Bottom