Unajua, huwezi kujenga chama bila clear policy positions.
CDM imekuwa ikikosoa CCM na serikali yake tu lakini criticism isn't policy. (Ukosoaji sio sera)
Watanzania wangapi wanajua msimamo wa CDM kuhusu kodi, foreign policy, defence policy, immigration, labour rights, mazingira ,kilimo.afya...