Guys kwa wale wazee wa kubeti Online kuna baadhi ya kampuni ni wezi.
Iko hivi, umeweka mkeka umekula hela nyingi say 50M -->, au hata 20M tu.
Wanabadilisha matokeo ya mkeka wako, wanaweza kuweka timu ambazo wewe haukuweka au ulipoweka over 1.5 wakaweka 0ver 2.5.
Niliandaa mkeka kwenye...