saratani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiForums Tanzania Msaada: Dada yangu anaangamia kwa ugonjwa Saratani ya Ini, damu na titi

    Ndugu zangu, Nipo/ tupo katika kipindi kigumu sana kama familia, dada yetu aligundulika kuwa saratani ya Ini, damu na titi. Vyote hivyo vipo katika stage ya mwisho na mbaya sana na Madaktari wametupasha kuwa hakuna kitu wataweza kufanya kunusuru uhai wa ndugu yetu. Mioyo imejawa na simanzi...
  2. JamiiForums Tanzania Siku ya Saratani Duniani: Saratani ni Ugonjwa wa Pili kwa kuua Duniani huku asimilia 25 ya vifo vya Saratani husababishwa na Tumbaku

    Saratani ni kundi la Magonjwa yanayoweza kuanza takriban kwenye kila Kiungo cha mwili, seli zinapokua kuliko kawaida bila kudhibitiwa. Ukuaji huo unaweza kuvamia viungo vingine vya mwili vilivyo pembeni na kilichoathirika Hadi mwaka 2018, Saratani ni ugonjwa wa pili kwa kusababisha vifo...
  3. JamiiForums Tanzania Uingereza: Dawa ya saratani imepatikana, bado kujaribiwa tu

    Ugunduzi wa mfumo mpya wa kinga unaweza kutumika kutibu aina zote za saratani, wanasema wanasayansi. Kundi hilo kutoka chuo kikuu cha Cardiff liligundua mtindo wa kutibu saratani ya tezi dume, ile ya matiti ya mapafu na aina nyingine za saratani katika vipimo vya maabara. Matokeo yake...
  4. JamiiForums Tanzania Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR): Asilimia 70 ya Saratani yabainika kwa Wanawake

    Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), imesema mzigo wa magonjwa ya saratani upo kwa wanawake kwa asilimia 70. Pia imesema hakuna takwimu za kuthibitisha Kanda ya Ziwa inaongoza kwa matukio ya saratani nchini. Hayo yalielezwa jana na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo, Prof...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…