Sera za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMMA Salum Mwalim Akiwa Nyakanazi, Biharamulo mkoani Kagera, wakati akielekea mkoani Kigoma, ameahidi mageuzi makubwa katika sekta ya kilimo.
Amesema, endapo atachaguliwa kuwa Rais, atahakikisha...