Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!
Binafsi kuanzia Leo Mimi UMUGHAKA WA BHAGHAKA
Nimejivua rasmi uanachama wa klabu ya Young Africans almaarufu kama Yanga!
Nimekuwa shabiki wa hii timu ningali bado niko shule ya msingi,nimekuwa mpenzi wa hii timu ningali bado kinda,nimekuwa mkereketwa...