Enzi za JK wilaya ya Tarime walikuwa na vijitabia vya ukatili katili wakaanzishiwa kanda maalumu wakatulizwa kibabe.
Njombe na Geita wana ujanja wa kizamani,ukatili na kuuana,
Ushauri wangu kwa wahusika, Geita itangazwe kanda maalumu ya kipolisi na pia waweke RPC mbabe.
Huyu mama Safia Jongo...