POSTA YAJIDHATITI KUIMARISHA HUDUMA ZAKE JIJINI DODOMA.
Na mwandishi wetu- Dodoma
Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania, Bw. Macrice Mbodo amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Anthony Mtaka, kwenye Ofisi za Mkuu huyo wa Mkoa, Jijini Dodoma.
Kikao hicho...