Nguvu wanayoitumia Polissi kupambana na raia wangeitumia shule sasa hivi wasingekuwa polissi.
Anyway msiwalaumu sana maana 99% ni wale waliofeli shule wakakimbimbilia upolisi, hata hao wenye degree wengi i wale wa uwe na D mbili ikiwemo ya hisabati. Kwa kifupi walifeli shule wakaunga unga...