polisi kenya

Francis Polisi Loile Lotodo was a Kenyan Politician and a Member of Parliament for Pokot West, which was later changed to Kapenguria Constituency in West Pokot County.

View More On Wikipedia.org
  1. F

    Askari polisi Kenya ajichanganya

    Iko askari mpumbavu aliamua kumsomesha mpenzi wake chuo kikuu alitumia takriban 800,000 za kenya baada ya kuhitimu mpenziwe alimuacha na kusema ako na elimu zaidi ya polisi. Polisi alimfuata kwake na kumpiga risasi kumi na saba hadi kufa. Je, makosa ni ya nani?
  2. R

    Mwanaume ajinyonga kituo cha polisi Kenya, Familia yatilia mashaka maelezo ya polisi ikidai uchunguzi ufanyike kubaini kilichojiri

    Vyombo vya habari nchni Kenya vimeripoti kwamba mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 44 amefariki akiwa chini ya ulinzi wa polisi katika Kituo cha Polisi cha Turasha kilichoko Wadi ya Githioro, Eneo Bunge la Kipipiri, Kaunti ya Nyandarua Kwa mujibu wa ripoti ya polisi, Simon Thumbi Kihanya...
  3. Dalton elijah

    Inspekta Jenerali wa polisi Kenya ameagiza kukamatwa kwa afisa aliyempiga risasi kichwani mchuuzi wa barakoa jijini Nairobi

    Huduma ya Polisi ya Taifa (NPS) imepokea kwa wasiwasi mkubwa tukio la kupigwa risasi kwa raia asiye na silaha na askari wa polisi aliyekuwa akitumia bunduki ya kudhibiti ghasia, tukio lililotokea katika eneo la biashara kuu jijini Nairobi (CBD) tarehe 17 Juni 2025. Kufuatia tukio hilo, Inspekta...
  4. Dalton elijah

    SI KWELI PreGE2025 Maria Sarungi Anashikiliwa na jeshi la polisi Kenya kwa utakatishaji fedha

    kumekuwa na chapisho linalo samba kwenye mitandao ya kijamii hususani facebook linaeleza kuwa Mwanaharakati Maria Sarungi amekamtwa na jeshi la polisi nchini kenya huku ikieleza kuwa taarifa hiyo imechapishwa na godbless Lema huku x pia chombo cha Habari cha Jambo tv kuchapisha huko X Taarifa...
  5. Mshana Jr

    Inspekta Mkuu wa Polisi Kenya athibitisha, mwanablogu Albert Ojwang alizuiliwa rasmi katika kituo kikuu cha polisi Nairobi

    Inspekta mkuu wa polisi nchini Kenya, Douglas Kanja amethibitisha kuwa mwanablogu, Albert Ojwang alizuiliwa rasmi katika Kituo Kikuu cha Polisi chini ya OB nambari 136/7/6/2025. Kanja alisema kuwa Ojwang alikamatwa kufuatia malalamishi yaliyowasilishwa na Naibu Inspekta Jenerali Eliud Lagat...
  6. Mkalukungone Mwamba

    Aibuu! Polisi usalama barabarani Kenya anaswa akitaka Rushwa kwa mwananchi na mbaya zaidi alikuwa amelewa!

    Afisa wa polisi wa barabarani aliyekuwa na nia ya rushwa leo alijaribu kumdai hongo dereva wangu – hadi akatufuatilia kwa pikipiki. Ilibidi nishuke kutoka kwenye gari, na mara aloniona akasema, “MADOLLAR, nakujua, sisi ni marafiki.” Ndugu zangu, je hamjui kuwa ndivyo watu wanavyosumbuliwa na...
  7. R

    Maafisa wanne wa Polisi Kenya wafikishwa mahakamani kwa mauaji ya mtoto katika uchaguzi wa mwaka 2017 kwa kumpiga Risasi

    Hawa walimuua mtoto kwa kumpiga risasi katika chaguzi za 2017. Kwa vile Kenye to a great or lesser extent ni democratic country, polisi leo wamefikishwa mahakamani kujibu mauaji na mateso ya watu wengine katika uchaguzi. Tuombe Mungu kuna siku ataturehemu!
  8. Ikaria

    Kaimu IGP Masengeli ahukumiwa kifungo cha miezi 6 jela kwa kudharau Mahakama

    Mahakama ya Juu imemhukumu Kaimu Inspekta Jenerali wa Polisi Gilbert Masengeli kifungo cha miezi 6 jela kwa kosa la kudharau mahakama. IGP alipuuza agizo la mahakama takriban mara 7 la kumtaka kufika mbele ya Jaji Lawrence Mugambi kueleza waliko watu watatu wanaodaiwa kutekwa na maafisa wa...
  9. Dalton elijah

    Mkuu wa Polisi Kenya atoa siku 21 kukamilisha uchunguzi wa mauaji ya Kuare, Nairobi

    Kaimu mkuu wa polisi nchini Kenya Douglas Kanja amewahamisha maafisa wote wa kituo cha Kuare kiliko mita chache kutoka machimbo ya mawe ambako maiti zi;likutwa zimetupwa, ili kuruhusu uchunguzi huru kufanyika. "Ili kuhakikisha uchunguzi wa haki na usio na upendeleo, nimewahamisha maafisa hao...
  10. W

    IGP Koome ajiuzulu, Ruto aridhia kujiuzulu kwake

    Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Kenya, IGP Japhet Koome amejiuzulu. Rais wa Kenya, William Ruto ameridhia kujiuzulu kwake. ===== NAIROBI, Kenya July 11, 2024 – Kenya’s Police Chief Japheth Koome has resigned following mounting pressure over police brutality during recent protests that rocked...
  11. TODAYS

    VIDEO: Never Seen Anywhere in Afrika: Polisi Kenya wapevuka, Kijana wa Gen Z awapa somo na Uraia wamemuachia

    Kuna matukio mengi sana yanayohusu maandamano wanayofanya wananchi wa Kenya kwa ajili ya ugumu wa maisha unaotegemewa kuletwa na ongezeko la kodi katika bidhaa kadhaa nchini humo. Ila sasa, tukio la masaa kadhaa yaliyopita kwa vijana kuamua kuingia ndani ya bunge la nchi hiyo ndilo kubwa. Na...
  12. P

    Raia wasimama kidete kwa polisi walioingia kwenye gari yao kwa mabavu wakitaka kufanya ukaguzi

    Tazama hapo kwenye video raia wanauliza kwanini umevamia gari yetu polisi hawana majibu, wanaulizwa tumefanya kosa gani hawana majibu, wanaambiwa watoe vitambulisho kuthibitisha kuwa wao ni polisi kweli wanasuasua tu, mwishowe wanaishia kuwaambia unajua mimi na nani. Ni dhahiri jamaa walikuwa...
Back
Top Bottom