Lipo Kijiji cha mfriga
Kata ya mfriga
Tarafa ya lupembe
Mkoa wa njombe
Ukubwa ni eka 30
Bei ya kila eka ni tsh 100000
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929 au 0784340024
Sent using Jamii Forums mobile app
Utafiti unaonyesha kuwa mbegu ya parachichi inakiwango cha asilimia 65 cha amino acids na pia ina kiwango kikubwa cha fiber ukilinganisha na vyakula vingine.
FAIDA ZA MBEGU YA PARACHICHI
1- Inapambana na tatizo la arthritis, sababu mbegu ya parachichi ni anti-inflammatory ( inatabia ya...
Mbegu ya Parachichi ina muonekano kama Mtoto akiwa ndani ya mji wa mimba
Kama ilivyo kwa mimba, Parachichi huchukua miezi 9 hadi kukomaa kwake
Parachichi husaidia afya ya Mama Mjamzito na ukuaji wa mtoto aliye tumboni
Parachichi husaidia kupunguza uwezekano wa mtu kupata Saratani ya Kizazi
The value of Kenya’s avocado exports jumped 93 per cent to Sh4.26 billion in the first quarter of this year compared to the previous period, data by the Horticulture Directorate shows, buoyed by improved demand in global markets.
Kenya, which is ranked eighth globally in avocado production...
Nataka nifanye kilimo cha parachichi, nimeambiwa zinalimwa Njombe na mkoani Mbeya has a wilaya ya Rungwe, swali langu ni wapi rahisi kupata shamba kati ya sehemu hizo, changamoto za maeneo hayo ni zipi na wapi soko ni zuri kati ya maeneo hayo.
Members wakulima na wazoefu wa hayo mazao,
Naomba kuelewa kama muongozo kwa ufupi mapato ya wastani kwa mwaka kwa kila zao hapo juu.
Naomba tu share uzoefu wetu kwa manufaa yetu sote.
Habari ya majukumu wakuu. Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Maparachichi ni matunda bustanini na mashambani. Maparachichi yana matumizi mengi yenye faida kubwa kwa wakulima na wadau wengine.
Maparachichi ni chakula chenye viini lishe bora kama vitamini {A, B2, C, D, E, K} na...
Hongera kwa wadau wote waliohusika kutafuta masoko....
The sale and export of avocado is the main income stream for the agricultural company. FILE PHOTO | NMG
Kenya’s avocado exports jumped 15 percent to 68,000 tonnes over the 12 months to October, fetching the country Sh14 billion.
Kenya...
Mapingamizi yote yameondolewa na tayari kontena zimeanza kutua Uchina, ni mwendo wa kukusanya hela, wakulima wetu mpoooo!!!
Kenya has started export of frozen avocado to China, yielding to pressure on conditions that Beijing had issued before they allow in imports of the fruit from the country...
Tuendelee kutia bidii bandugu....
Horticulture earnings in the first eight months of the year rose to Sh101 billion from Sh97 billion in similar period last year, as more countries opened up their economies on easing of Covid-19 restrictions.
The earnings were boosted by higher demand of...
Kama kuna thread hapa zinahusu mazao hayo naomba kupewa link.
Kama hakuna basi naomba anaejua kuhusu hayo mazao anisaidie all the infos
------------
link za kilimo cha uyoga
Kilimo, soko na faida za Uyoga - JamiiForums
Kilimo cha uyoga - JamiiForums
Uyoga kwa kipato, ajira na kupunguza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.