Maneno ya Humphrey Polepole yameweka hadharani kile ambacho tulikuwa tukisema kwa miaka mingi – CCM si chama tena cha siasa, bali ni kampuni ya mafisadi wenye maslahi binafsi.
Amedai wazi kuwa mchakato wa kumpata mgombea wa urais ndani ya CCM umekiuka kanuni, taratibu na miongozo ya chama...