Akipatikana na Hatia, Hukumu ya Kunyongwa Mtuhumiwa Lissu itekelezwe kabla ya Oktoba 2025 kabla ya KUTIKI

Akipatikana na Hatia, Hukumu ya Kunyongwa Mtuhumiwa Lissu itekelezwe kabla ya Oktoba 2025 kabla ya KUTIKI

SSH2025_2030

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
9,661
Reaction score
9,779
Mahakama iharakishe Hukumu dhidi ya Lissu ili akipata na Hatua Anyongwe Hadi Kufa kabla ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025
 
20250702_011219.jpg
 
Kwani ameshashtakiwa kwa uhaini? Atahukumiwaje kabla hata serekali haijaamua kama imshtaki kwa uhaini au isimshtaki
 
Mahakama iharakishe Hukumu dhidi ya Lissu ili akipata na Hatua Anyongwe Hadi Kufa kabla ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025
Wakati fulani mtu mwerevu anaweza akajiuliza ni kwa nini watu wa aina yako hamletwi hapa duniani kama vitoweo aina ya ng'ombe, kuku, mbuzi, sungura, samaki, nk! Na badala yake mnaletwa kwa mfano wa binadamu.
 
Zamani niliamini kwamba kuna ndoto za usiku na ndoto za mchana, kumbe zipo na ndoto za chooni.
Ndoto za chooni ndio kama hizi tena choo cha kienyeji
 
Mahakama iharakishe Hukumu dhidi ya Lissu ili akipata na Hatua Anyongwe Hadi Kufa kabla ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025

Kwani lazima muue ndio msherehekee 100% zenu si mmeshashinda inatosha? Mshazoea kumwaga damu za watanzania mnasikia kiu sasa, muda umepita sana tangu mmwage ya mdude sio
 
Back
Top Bottom