nyama choma

The nyama choma is a specialty of grilled goat meat, very popular in Kenya where it is considered the national dish.., also in Tanzania. The expression nyama choma mean « barbecue meat » in kiswahili.

View More On Wikipedia.org
  1. emmarki

    Marination nzuri kwa nyama choma mbuzi, ng'ombe au kuku

    Kwenu wataalamu wa kuchoma nyama za aina zote. Naomba tips za kibabe kuhusu namna ya kumarinate nyama kabla ya kuichoma na baada. Viungo gani vitumike, kiasi gani, balancing ya moto haswa kwenye jiko la mkaa iweje.
  2. chlorine gas

    Wale tuliowahi kula mbuzi nyama choma Melela tujuane

    Habari wakuu, I hope mpoo good na mapumziko ya wiki leo ni Jumamosi kwetu tumeamka na mvua ya upepo fulani hivi. Anyway twende kwenye mada husika hapo juu, moja ya moment nzuri ninazo zikumbuka nikiwa kwenye harakati za kujenga taifa hasa nikiwa na route ya Iringa road kuelekea Mikumi basi ni...
  3. Equation x

    Mobile nyama choma

    Maisha ya hapa duniani ni kupambana ili kuweza kumudu mahitaji yako ya kila siku. Na ili ufanikiwe inabidi kuweka aibu chini na kupambana kwa juhudi na maarifa ili kuweza kutimiza ndoto zako. Kuna hii biashara ya nyama choma, ambayo ukiifanya vizuri inaweza ikakutoa sehemu moja kwenda nyingine...
  4. safaris56

    Ugali Nyama Choma(T-Bone Steak)

    Leo nachukuwa fursa hii kuwa karibisha wadau na wapenzi wa UGALI na NYAM CHOMA (T-BONE STEAK) katika mgaha wetu pale NAMANGA,MSASANI, dakika 1 kutoka kituo cha Namanga. Ugali : 500 Nyama : 3000 Tsh3,500 Delivery: ugali:500 Nyama :3,500 Tsh4,000 Delivery Fee: Kuanzia...
  5. EINSTEIN112

    Leo Jumapili tarehe 13.06.2021 karibuni Mnadani Kibamba Chama

    Wakuu tukutane Kibamba chama kuna mnada wa nyama ya Mbuzi na Kondoo [emoji238][emoji231][emoji207][emoji238][emoji238] Ntawapa Updates. Tokeni na Familia zenu[emoji1285][emoji1293][emoji2026][emoji2025][emoji2022][emoji2034] financial services haya toka na mdau wako Mshana Jr achana na...
Back
Top Bottom