📣📣📣📣📣📣📣📣
Nguvu ya kucha na nywele katika ulimwengu wa kichawi
🗣️Leo nimeona ni vyema niwaletee makala hii fupi kuhusiana na kucha na nywele zinavyo husika katika ulimwengu wa kichawi ulimwengu huu ni mpana sana, basi bila kupoteza wakati twende sawa.
👉Nywele na kucha zinaaminika kuwa na nguvu...
Naam mipango na matumizi pia nidhamu.....huwa thabiti pale unapokuwa huna kitu yaani kabla hujashika fedha.
Lakini pindi fedha inapokuwa mkononi ile mipango yooote ile nidhamu yooote na ile listi ya matumizi uliyoipamga mwenyewe,,,wewe mwenyewe ndio unaibomoa...
Hii ni namna ya utaalamu wako...
Tutakua wa mwisho kujibu matusi yenu dhidi ya Taifa letu na tutakua wa mwisho kuchukua hatua dhidi ya uchokozi wenu wa kichochezi dhidi ya amani yetu, but ni vizuri mkafahamu,
Kwa vivu mkubwa na uzalendo wa kiwango cha juu sana, tutailinda amani, umoja na usalama wa Taifa letu Tanzania bila...
Suala ya udhulumaji haki kwa wananchi wa Tanzania linalofanywa na watawala, lina uhalali na haki ya kupata msaada mkubwa kutoka jumuia ya kimataifa.
Ni mwendawazimu pekee ndiye anaweza kutamka kuwa eti udhulumaji wa haki, ikiwa ni pamoja na utekaji na mauaji ya wakosoaji, ni suala la ndani ya...
Katika muktadha wa maendeleo ya taifa lolote lile, uongozi wenye maono ni nguzo muhimu ya kujenga msingi imara wa uchumi, elimu, na ustawi wa jamii. Hata hivyo, changamoto kubwa inayolikumba taifa letu ni kuwa chini ya uongozi usioelewa faida ya kuwa na wananchi wenye nguvu, kiakili, kiuchumi...
Wakuu hebu tujadili kitu kimoja hapa.
Media na watu maarufu na machawa kutwa kucha ni kusifia tu na wakati kuna mambo kibao yanatokea ambayo siyo mazuri ambapo walipaswa kuwa wanayaongelea pia lakini wao kazi waijuayo ni kusifia.
Anyways tuseme wanaogopa kukosoa kwasabab absolutely watapitia...
Hello wana JF,
kama unakaa Moro, kuna brand ya karanga ya Regina. Kila sehemu amepenya. Kuna waliojaribu kuiga wakashindwa. Karanga zake zinatoka kwa oda.
Siri yake ni ipi?
Mbona tunatumia nguvu nyingi dhidi ya Tundu Lissu?
Kuna swali najiuliza ni kwa nini tunatumia nguvu nyingi dhidi ya Mh Tundu Lissu? Halafu mwisho wa siku hatufanikiwi.
Nina mifano michache ya kutoa:
Mfano wa kwanza, kipindi Tundu Lissu anagombea urais wa Chama cha Mawakili Tanzania, nguvu...
Wanasema mwanadamu ametokana na udongo lakini udongo wa maskini huonekana kuwa wa thamani pungufu. Ni kana kwamba aliumbwa si kuishi, bali kubeba, kutumikia, na kuteseka. Misuli yake ni injini ya viwanda, damu yake ni mafuta ya mashine ya mfumo, lakini jina lake halionekani kwenye faida...
Hii picha ya sigil Tayari ina:
Nguvu ya kinga (alama ya jicho na siraha za ulinzi).
Mvuto wa pesa (mfuko wa pesa na alama za mafanikio).
Vichocheo vya nishati (alama za sayari, nyota, na pentagram).
Unachotakiwa kufanya sasa:
1. Ichapishe au ichore kwenye karatasi ya kawaida nyeupe.
2...
Tanzania- full dikteta
Kenya - full dikteta
Uganda - full dikteta
Rwanda- full dikteta
Burundi- full dikteta
Kongo-full dikteta
Mozambique-full dikteta
Tunazidiwa na nchi Kama Zambia
Vijana wa East Africa tuamke turudishe nchi zetu kwenye utawala wa
Sheria
Haki
Uwajibikaji
Uwazi
Na kukomesha...
Mnamo mwaka 1973, dunia ilishuhudia tukio la kihistoria ambalo lilibadilisha mwelekeo wa siasa za kimataifa na uchumi wa dunia. Mhusika mkuu wa tukio hili alikuwa Mfalme Faisal bin Abdulaziz Al Saud wa Saudi Arabia.
Uamuzi Ulioitikisa Dunia
Wakati wa Vita ya Waarabu na Waisraeli (maarufu kama...
Nilimsikia tulia anasema "huwezi kusema mtu ametekwa wakati hujamuona"
kwanza kutekwa ni kupi ?
Tulia kutekwa ni kuchukuliwa kwa nguvu na watu wasiojulikana na kupelekwa sehemu isiyofahamika sio hadi uone akitekwa ndio tuseme ametekwa.
Tuache kukwepa hoja siziso za msingi mtu aliyetekwa sio...
Mungu hutupa neema kubwa kubwa na ndogo ndogo. Neema ni kitu unapewa tu bila kukisumbukia au kukitarajia. Akupaye neema hatarajii uifanye kuwa haki na siku akitaka kuchukua hatarajii ugome bali umshukuru kwa angalau alichokupa. Pia anaweza kuamua kuongeza neema juu ya neema kwa kadiri atakavyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.