nafasi za ubunge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mafyangula

    Wasimamizi wa uchaguzi Uganda waliowatangaza wagombea wa upinzani kushinda nafasi za Ubunge na Udiwani wakamatwa na polisi na kushushiwa kipigo

    Afrika ni ngumu sana kwa baadhi ya mataifa! Mfano mataifa ya Afrika Mashariki yanatia aibu sana katika mchakato wa uchaguzi walau Kenya kuna misingi ya Haki na sio Tanzania wala Uganda na mataifa mengine ni kunaukandimizaji wa haki mkubwa sana katika kipindi cha uchaguzi! Ukoloni mpya unazidi...
  2. funaku

    Walioshinda nafasi za ubunge 2025

    Thread hii ni kwa ajili ya kuwatambua wabunge wateule kwa kila jimbo kufuatia uchaguzi wa 2025. Tuma jina la Mbunge mteule wa jimbo lako hapa
  3. Adharusi

    Watumishi wa UMMA waliogombea nafasi za ubunge CCM, waunga mkono NRNE

    Nina marafik zangu ambao ni watumishi wa Umma kama wanne walichukua fomu CCM kugombea Ubunge 2025 katika majimbo na viti maalumu, ila kura hazikotosha na wengine Kamati Kuu haikuwateua Sasa serikali imewaweka benchi mpaka Leo hawajapewa kibali cha kurudi kwenye utumishi, zaidi ya mishahara...
  4. K

    Ni muda sahihi Kwa waliokosa nafasi za ubunge na udiwani waende veta

    Baada ya kura za wajumbe kufanyika waliokosa nafasi za kuwakilisha vyama vyao kwenye uchaguzi wa 10.29.2024 katika ngazi za ubunge na udiwani Kwa Sasa ni muda muafaka wa wao kwenda Veta
  5. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Uteuzi wa awali wa wagombea nafasi za ubunge kupitia viti maalumu wanawake

    1) MKOA WA ARUSHA 1) Ndugu Lilian Joseph BADI 2) Ndugu Zaytun Seif SWAI 3) Ndugu Athuman ISSA 4) Martha Gido KIVUNGE 5) Dkt. Asanterabi Ngoyai LOWASSA 6) Ndugu Navoi MOLLEL 7) Ndugu Martha Martin AMO 8) Ndugu Catheline Valentine MAGIGE 2) MKOA WA DAR ES SALAAM 1) Ndugu Janeth Elias MAHAWANGA 2)...
  6. R

    PreGE2025 POTOSHI Witara akimwaga machozi baada ya kuliwa kichwa na wajumbe

    Waitara analia. Magufuli hayupo Wajumbe wamemla kichwa tayari
  7. Prof_Adventure_guide

    GE2025 Je, Vigezo vya Kujua Kusoma na Kuandika Vinatosha Kuamua Ustahiki wa Mbunge?

    Tupo katika wakati mgumu ambapo nafasi za ubunge zinageuka kuwa njia ya kupima bahati badala ya ujuzi na uwezo wa kiuongozi. Vigezo vya msingi kama “kujua kusoma na kuandika” haviwezi kuwa kipimo sahihi cha mtu anayepewa dhamana ya kutunga sheria, kusimamia rasilimali za taifa, na kuwakilisha...
Back
Top Bottom