nactvet

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    DOKEZO NACTVET katibu mtendaji hafanyi kazi, watumishi pia hawafanyi kazi kazi kupiga stori na kuombana rushwa Waziri mwenye dhamana shughulikia hili

    Katibu mtendaji hafanyi hatimizi wajibu wake kimegeuka kijiwe cha kupiga soga na kuombana rushwa bila kutekeleza majukumu yake. Hii Nactvet makao makuu ya Dodoma mnashindwaje kumaliza shida za wanaohusika, kazi ni kuombana posho mnashindwa kumsaidia raisi katika kuwatumikia wananchi. Kazi...
  2. Roving Journalist

    NACTVET: Baraza limeongeza kasi ya kushughulikia maombi yote ya AVN Number kwa dharura

    Mara baada ya Mwananchi kuwasilisha malalamiko kwa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) kuhusu changamoto ya kukosekana kwa Namba ya Utambuzi wa Tuzo (AVN) kwa Watu waliohitimu ngazi ya Diploma na hivyo kukwama kufanya maombi ya kujiunga na vyuo mbalimbali...
  3. S

    KERO Responded NACTVET watusaidie tupate AVN number kwa uharaka tunashindwa kuomba Chuo

    Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) ninaomba wajitathmini wanachotufanyia sio sawa. Habari naomba niwasilishe changamoto mbili zinazonikabili mpaka muda huu na nimeshindwa kupata msaada wowote kutoka kwa watu wa nactevet nje kuonjesha juhudi za Hali na mali...
  4. T

    NACTVET website yenu kwa ajili ya udahili mbona haifunguki ?

    Wakuu, husika na kichwa hapo nimelimdanyia maombi ya chuo ndugu yangu kwa ngazi ya diploma lakini kila siku nikijaribu kuingia kwenye website ya nactvet CAS mfumo unagoma. Nashindwa kujua hii shida ni kwangu tu au ja wengine mmekutana na hii changamoto?
  5. T

    Je, inawezekana kuhama diploma under NACTVET kwenda TCU?

    Habari Wana JamiiForums, The home of great thinkers. Moja kwa moja niende kwenye mada. Kuna dogo yeye anasoma chuo fulani Cha diploma kozi ya diagnostic radiography cha private. Sasa kutokana na kile chuo kutokuwa na facilities za kutosha anahitaji kuhama kwenda vyuo vingine vya serikali maana...
  6. jojilo

    Nactvet

    Naulizia wadau kama kuna mtu anayo namba ya nactvet ofisi za dar es salaam Nina changamoto Namba za kwenye websites hazipatikani
  7. A

    NACTVET-Matokeo ya VETA level-II

    Kama mdau wa elimu ya ufundi napenda kutoa shukran zangu kwa NACTVET kwa namna walivyojitahidi kuwahisha matokeo ya VETA level II mwaka huu, ni wazi maboresho ya msingi yamefanyika. Hata hivyo tunaendelea kuwaomba wajitahidi kufanyia kazi suala la vyeti vimekua vikichukua muda mrefu kutolewa...
  8. khmbrzy

    AVN number kutoka Nactvet

    Habari nduguzangu, Mimi ni muhitimu wa diploma, nahitaji kuendelea na masomo ya degree, ila nina changamoto moja, ni kwamba kwenye account yangu ya kuomba AVN number nimesahau password na nikitaka ku reset inasema niweke number ya simu ya zamani ambayo kwa sasa siitumii, yaani sina kabisa hiyo...
  9. H

    KERO Taasisi za Serikali chini ya NACTVET na mambo ya bima ya afya

    Wanajamvi ikiwa leo ni jumapili tukufu huku tukisherekea sikukuu ya Mapinduzi ya Zanzibar binafsi nina jambo linalonishangaza. Ambalo ni michango inayoitwa ya Bima ya afya inayochukuliwa na vyuo vya serikali na vile vilivyoko chini ya NACTVET. Ni jambo la kawaida kwa mwananchuo kutakiwa...
  10. A

    DOKEZO NACTVET wanafelisha wanafunzi wa Clinical Officer makusudi, mamlaka husika naomba iliangalie

    Hello habari, Malalamiko yamekuwa mengi kwa wanafunzi wa clinical officer kwa vyuo vingi hapa Tanzania, wanafunzi wanafelishwa makusudi, vyuo vingi wanaopata pass hata robo ya darasa hawafiki, wanaopata sup wakienda kuzifanya wanafelishwa tena na wanapata Repeating Modules hivyo inawalazimu...
  11. G

    KERO Responded Ni kwanini mfumo wa AVN Number wa NACTVET unasumbua wakati una watu wachache wanaoomba ukifananisha na bodi ya mikopo(HESLB)

    Mfumo wa NACTVET kushindwa kutoa AWARD VERIFICATION NUMBER. USERNAME na PASSWORD walionitumia baada ya ku create account hazikubali ku log in na hata nikifanya FORGOT PASSWORD bado mfumo unanipa notification kwamba USER NAME na NAMBA YA SIMU sio Sahihi. Halafu ukienda ofisini kwako pale...
  12. J

    KERO NACTVET hawaoneshi ushirikiano kwa wanafunzi wanoomba AVN number kwa ajili ya matumizi ya kuomba mikopo na vyuo

    Ikiwa Leo ni siku ya nne, najaribu kuingia kwenye system ya "NACTVET" Kuomba "AVN NUMBER" lakini sifanikiwi licha ya kuwa nimejisajili, ila system haijanipa nafasi ya kutengeneza password, na hata siwezi kuingia kabisa, na mbaya zaidi mfumo unload tu Wala hata haufunguki. Ikiwa zimebakia siku...
  13. A

    KERO NACTVET wamepandisha bei huduma ya Academic Transcript

    Taasisi za Umma kama NACTVET Wamekuwa na tabia ya kupandisha bei za huduma bila sababu na hawatoi taarifa hivi karibuni. NACTE wamepandisha huduma ya ACADEMIC TRANSCRIPT kutoka elfu 15 kwa wanaoombea zone na elfu 10 wanaoomba HQ, sasa hivi ni 25,000 kwa wanaoomba zone. HUDUMA ZA UMMA...
  14. K

    KERO Nini sababu ya kuwalipisha wanachuo pesa ili wapate AVN namba?

    Habari zenu wana Jamii Forums. Niende kwenye mada moja kwa moja, nimekua kwenye wakati mgumu kimtazamo kutokana na mambo yanavyoenda kwenye Nchi yetu, na moja ya jambo ambalo limekua likinipa ukakasi ni juu ya swala la NACTVET kulazimisha wanafunzi wanaotaka kusoma hatua ya Degree kununua namba...
  15. Murashani GALACTICO

    Changamoto ya mfumo wa nactvet kushindwa kutoa avn

    Mfumo wa NACTVET kushindwa kutoa AWARD VERIFICATION NUMBER. USERNAME na PASSWORD walionitumia baada ya ku create account hazikubali ku log in na hata nikifanya FORGOT PASSWORD bado mfumo unanipa notification kwamba USER NAME na NAMBA YA SIMU sio Sahihi. Mwenye uelewa wa hii changamoto naomba...
  16. DavidsonM42

    Award Verification number (AVN)-DIT & NACTVET

    Habari wadau, Ninatumaini kuwa mnaendelea vyema na Majukumu. Mimi ni Mhitimu wa diploma idara ya Umeme katika taasisi ya teknolojia Dar es salaam DIT Mwaka wa masomo 2021/2022. Ninawaandikia thread kuomba msaada na kufikisha Malalamiko yangu kuhusu kucheleweshewa au kushindwa kupatiwa...
  17. vnn

    Namba zote za ofisi ya NACTVET hazipatikani na Hii ni ofisi ya umma inayotoa huduma

    Tangu Jana nina tatizo kubwa ambalo nahitaji msaada kwa NACTVET lakini namba zao zote zilizopo kwenye website yao hazipatikani. Inamaana mimi nitumie nauli kuvuka mikoa kwa mikoa niende ofisini kuulizia kitu tu? Na hapo nimejaribu hafi kwa njia ya email ila haijajibiwa. Mkurugenzi wa NACTVET...
  18. Roving Journalist

    NACTVET: Malalamiko kuhusu vyeti yanatakiwa kuwasilishwa kwetu kwa maandishi

    Baada ya malalamiko kutolewe na member kwenye Jukwaa la Habari na Hoja ndani ya JamiiForums.com kuhusu Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) kuwazungusha baadhi ya watu ambao wanafanya mabadiliko ya taarifa za vyeti vyao vya elimu, mamlaka husika imetoa maelezo...
  19. A

    DOKEZO Responded Nimelipia marekebisho ya cheti cha Chuo, huu ni mwezi wa nne sasa, NACTVET wananizungusha tu

    Nina malalamiko yangu kuhusu Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET). Kuna watu tupo wengi tuliomba tubadilishiwe matokeo ya Chuo kwa makosa ya kibinadamu katika Uandishi, tukalipia pesa kupitia “Control Number”. Mpaka sasa miezi minne imefika kila tukienda...
  20. M

    Kwanini TAMISEMI wamechagua wanafunzi kujiunga NACTVET?

    Mh waziri Tamisem Angela Kairuki, wiki hii ametangaza chaguzi/selection za vijana wa kidato cha nne kujiunga na kidato cha tano pamoja vyuo mbalimbali. Miaka ya nyuma vijana wote waliokuwa wakijiunga na vyou vya ufundi pamoja na uwalimu serikali ilikuwa inacover gharama zote au baadhi. Leo hii...
Back
Top Bottom